Nimefuatilia na kujiridhisha kwamba SUKUMA GANG twende na Tundu Lissu hakika 2025 tunachukua dola

Nimefuatilia na kujiridhisha kwamba SUKUMA GANG twende na Tundu Lissu hakika 2025 tunachukua dola

Uncle Kulwa Jilala ashageuka naye anamtaka Lissue, wakati CCM tuna watu nguli kama, Lusinde, Phd Msukuma, Deo Sanga, Mwijaku, Tivu ake, Maulidi Kitenge, Zembwela.
Duh 🙄 !!!
 
Sio muda tunabadili mawazo
 
Hahahah leo kawaambia magufuli alikutwa na dola milioni 42 nyumbani kwake baada ya kufariki je bado sukuma gang tunaenda na Tundu Lissu?
 
Habari,

Binafsi nlikuwa nahisi kwamba Tundu Lissu anamchukia sana Hayati Magufuli hasa baada ya kile kisicho na ushahidi kuhusishwa kwake na Tukio la Kushambuliwa Tundu lissu.

Alichokifanya Tundu lissu katika mazingumzo haya hapa chini kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli.

View attachment 2671785

Binafsi nimemfuatilia kwa muda mrefu/ nimejiridhisha na kukubaliana na Baadhi ya wazalendo kwamba twende na Tundu Lissu 2025 popote alipo.​
Tundu Lissu has lost the positive rating in Lake zone and will stumble as he keeps on trading nuisance with the real patriotic citizens
 
Hahahah leo kawaambia magufuli alikutwa na dola milioni 42 nyumbani kwake baada ya kufariki je bado sukuma gang tunaenda na Tundu Lissu?
TAL is dying horse hind kicking everywhere he anticipates appealing for political support from 'Wananchi' without considering the subsequent repercussions would backfire on his moral integrity.
 
TAL is dying horse hind kicking everywhere he anticipates appealing for political support from 'Wananchi' without considering the subsequent repercussions would backfire on his moral integrity.
the new political pattern has changed. Have a new look to TAL in CHADEMA election pre season
 
As a courier and herald, his skills were unmatched, but leadership demands a sharper discipline, a mind steady as a sniper’s aim and a tongue trained to deliver only calculated truths. His reliance on incoming intel served him well in his former role, yet in command, that stream narrows. Strategy demands precision, structure, and control. Let’s see if he can adapt to the shift in the mission profile 👋
 
Back
Top Bottom