Nimefuatilia sana sijawahi kuona kijana wa CHADEMA kwenye mabanda ya kubeti na kamari

Nimefuatilia sana sijawahi kuona kijana wa CHADEMA kwenye mabanda ya kubeti na kamari

Ndio mzimu wa Nyerere hauwezi kuwaachia nyinyi mchukue nchi hata iweje,
unafikiri wewe na familia yako ndio mnaamua nani aachiwe nchi au ujinga ulionao wewe na wajinga wenzio huko CCM ndio huwa mnapiga story zenu kwenye makorido ya Lumumba
 
Hii sijui imekaaje au ni kwa kuwa hawaoni fursa huko?

Au je, ni kwa vile ni vijana wanaojitambua hivyo hawana muda wa kupoteza?

Naapa kabisa mbele yenu wana jukwaa ktk utafiti wangu mdogo kuanzia Dodoma, Morogoro, Dar na Zanzibar sijawahi kuona Vijana na wafuasi wa Chama cha demokrasia na maendeleo kwenye mabanda ya kubeti, kamali na bahati na sibu.

Hawa wanafundishwa na kuelinishwa na nani?

Natamka wazi kuwa Chadema imejijengea hazina kubwa ua viongozi waadilifu hapo baadae.
Hata CCM wanalijua hilo
 
Kwa kijana kubeti ni dalili ya kushindwa maisha, maisha ni mipango na inafanyika kwa usahihi katika kila stage kwa umri sahihi, sasa kijana wa miaka 25 anaamka asbh anakimbia kubeti - hili ni janga la kitaifa.

Wengine wasiobeti wanatafuta wajane kwenye mitandao.. 🙂 na mabinti nao wa 18 hadi 25 wanatafuta wastaafu, yaani ni vurugu mechi.
 
Sawa wasiwepo ila kuwang'oa CCM ni jambo jingine labda wamfufue Nyerere mwenyewe aje awape uongozi wa nchi bila hivyo wasahau,
Then unafaidika nini wewe? Miaka 60 ya uhuru bado unalala kwenye nyumba ya udongo?
 
Hii sijui imekaaje au ni kwa kuwa hawaoni fursa huko?

Au je, ni kwa vile ni vijana wanaojitambua hivyo hawana muda wa kupoteza?

Naapa kabisa mbele yenu wana jukwaa ktk utafiti wangu mdogo kuanzia Dodoma, Morogoro, Dar na Zanzibar sijawahi kuona Vijana na wafuasi wa Chama cha demokrasia na maendeleo kwenye mabanda ya kubeti, kamali na bahati na sibu.

Hawa wanafundishwa na kuelinishwa na nani?

Natamka wazi kuwa Chadema imejijengea hazina kubwa ua viongozi waadilifu hapo baadae.
Wengi ni wahitimu wa vyuoni. Ccm inatulete beti beti kila kona, kwenye simu mpaka redio siku hizi zinaendesha bahati na sibu zao.
 
Hii sijui imekaaje au ni kwa kuwa hawaoni fursa huko?

Au je, ni kwa vile ni vijana wanaojitambua hivyo hawana muda wa kupoteza?

Naapa kabisa mbele yenu wana jukwaa ktk utafiti wangu mdogo kuanzia Dodoma, Morogoro, Dar na Zanzibar sijawahi kuona Vijana na wafuasi wa Chama cha demokrasia na maendeleo kwenye mabanda ya kubeti, kamali na bahati na sibu.

Hawa wanafundishwa na kuelinishwa na nani?

Natamka wazi kuwa Chadema imejijengea hazina kubwa ua viongozi waadilifu hapo baadae.
Na kwenye mbege umewakosa
 
Wengi ni wahitimu wa vyuoni. Ccm inatulete beti bfti kila kina, kwenye simu mpaka redio siku hizi zinaendesha bahati na sibu zao.
Redio zote za wasanii wa magu zina vipindi vingi vya kubeti kuliko vya habari na mafundisho?
 
Hii sijui imekaaje au ni kwa kuwa hawaoni fursa huko?

Au je, ni kwa vile ni vijana wanaojitambua hivyo hawana muda wa kupoteza?

Naapa kabisa mbele yenu wana jukwaa ktk utafiti wangu mdogo kuanzia Dodoma, Morogoro, Dar na Zanzibar sijawahi kuona Vijana na wafuasi wa Chama cha demokrasia na maendeleo kwenye mabanda ya kubeti, kamali na bahati na sibu.

Hawa wanafundishwa na kuelinishwa na nani?

Natamka wazi kuwa Chadema imejijengea hazina kubwa ua viongozi waadilifu hapo baadae.
😂😂😂ugonjwa wa akili. Research yako uneifanya kwenye wet dreams zako labda
 
Kwa kijana kubeti ni dalili ya kushindwa maisha, maisha ni mipango na inafanyika kwa usahihi katika kila stage kwa umri sahihi, sasa kijana wa miaka 25 anaamka asbh anakimbia kubeti - hili ni janga la kitaifa.

Wengine wasiobeti wanatafuta wajane kwenye mitandao.. 🙂 na mabinti nao wa 18 hadi 25 wanatafuta wastaafu, yaani ni vurugu mechi.
Hehehe huko ccm kuna majanga. Kuanzia vijijini hadi mijink
 
Back
Top Bottom