Nimefuatilia sana sijawahi kuona kijana wa CHADEMA kwenye mabanda ya kubeti na kamari

Nimefuatilia sana sijawahi kuona kijana wa CHADEMA kwenye mabanda ya kubeti na kamari

Hii sijui imekaaje au ni kwa kuwa hawaoni fursa huko?

Au je, ni kwa vile ni vijana wanaojitambua hivyo hawana muda wa kupoteza?

Naapa kabisa mbele yenu wana jukwaa ktk utafiti wangu mdogo kuanzia Dodoma, Morogoro, Dar na Zanzibar sijawahi kuona Vijana na wafuasi wa Chama cha demokrasia na maendeleo kwenye mabanda ya kubeti, kamali na bahati nasibu.

Hawa wanafundishwa na kuelimishwa na nani?

Natamka wazi kuwa Chadema imejijengea hazina kubwa ua viongozi waadilifu hapo baadae.
Unfortunately hao hao unaowadharau ndio wapiga Kura
 
Nakuunga mkono kwamba hawaendi huko hata bar pia huwez kuwakuta lakini haimaanishi kuwa hatubet au hatutumii vilevi,
Kwa mfano mimi huwez kunikuta kwenye kijiwe cha kahawa wala kweny vibanda vya kamari lakini nabet kwenye simu, pia sio kwamba sinywi pombe, nakunywa lakini nanunua nakuja kunywa kwangu.
 
Ndio mzimu wa Nyerere hauwezi kuwaachia nyinyi mchukue nchi hata iweje,

Mtu akishakufa amekufa acha kufikiri kama mtu asiye na Akili.

Huyo Nyerere kama angekuwa ananguvu uisemayo pasingekuwa na mafisadi wanayoichezea nchi waitakayo.

Ikiwa hutakiwi kumuamini mwanadamu aliyehai sembuse mtu aliyekufa ambaye hawezi haya kujigeuza yeye mwenyewe?

Tumia Akili
 
hizi ndio sehemu ccm huta wakuta vijana:
*vijiwe vya kahawa
*kusubiri kukusanywa kwenye matawi yao ya ccm
*makundi ya machawa mifano tunayo
*kwanza wana akili ndogo na wepesi kujitenga

kama unataka kuamini subiri 2025
 
Ba
Nakuunga mkono kwamba hawaendi huko hata bar pia huwez kuwakuta lakini haimaanishi kuwa hatubet au hatutumii vilevi,
Kwa mfano mimi huwez kunikuta kwenye kijiwe cha kahawa wala kweny vibanda vya kamari lakini nabet kwenye simu, pia sio kwamba sinywi pombe, nakunywa lakini nanunua nakuja kunywa kwangu.
Basi wewe ekumbe unabeti kijanja na kiakili sana. Unaona vijana wa Mwenyekiti mlivyo na akili.
 
hizi ndio sehemu ccm huta wakuta vijana:
*vijiwe vya kahawa
*kusubiri kukusanywa kwenye matawi yao ya ccm
*makundi ya machawa mifano tunayo
*kwanza wana akili ndogo na wepesi kujitenga

kama unataka kuamini subiri 2025
Hehehee unajitekenya unacheka mwenyewe. All you mentioned is home for
 
Asante sana Robert
Mtu akishakufa amekufa acha kufikiri kama mtu asiye na Akili.

Huyo Nyerere kama angekuwa ananguvu uisemayo pasingekuwa na mafisadi wanayoichezea nchi waitakayo.

Ikiwa hutakiwi kumuamini mwanadamu aliyehai sembuse mtu aliyekufa ambaye hawezi haya kujigeuza yeye mwenyewe?

Tumia Akili
 
Back
Top Bottom