Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
unafikiri wewe na familia yako ndio mnaamua nani aachiwe nchi au ujinga ulionao wewe na wajinga wenzio huko CCM ndio huwa mnapiga story zenu kwenye makorido ya LumumbaNdio mzimu wa Nyerere hauwezi kuwaachia nyinyi mchukue nchi hata iweje,
Hata CCM wanalijua hiloHii sijui imekaaje au ni kwa kuwa hawaoni fursa huko?
Au je, ni kwa vile ni vijana wanaojitambua hivyo hawana muda wa kupoteza?
Naapa kabisa mbele yenu wana jukwaa ktk utafiti wangu mdogo kuanzia Dodoma, Morogoro, Dar na Zanzibar sijawahi kuona Vijana na wafuasi wa Chama cha demokrasia na maendeleo kwenye mabanda ya kubeti, kamali na bahati na sibu.
Hawa wanafundishwa na kuelinishwa na nani?
Natamka wazi kuwa Chadema imejijengea hazina kubwa ua viongozi waadilifu hapo baadae.
Narudia tena huo ujinga wenu endeleeni kuujadiri Lumumba 2025 jiandaeniNdio imekua hivyo mkitaka mfufueni Nyerere hamuwezi sahahuni kuhusu kuongoza hii Nchi,
Then unafaidika nini wewe? Miaka 60 ya uhuru bado unalala kwenye nyumba ya udongo?Sawa wasiwepo ila kuwang'oa CCM ni jambo jingine labda wamfufue Nyerere mwenyewe aje awape uongozi wa nchi bila hivyo wasahau,
Hivi ukimkuta kijana anasema mama anaupiga mwingi unaelewa huyo ni wa wapi?Mkuu kwaiyo tunapoenda kubeti unakuta tumevaa sare za chama[emoji28]
Wengi ni wahitimu wa vyuoni. Ccm inatulete beti beti kila kona, kwenye simu mpaka redio siku hizi zinaendesha bahati na sibu zao.Hii sijui imekaaje au ni kwa kuwa hawaoni fursa huko?
Au je, ni kwa vile ni vijana wanaojitambua hivyo hawana muda wa kupoteza?
Naapa kabisa mbele yenu wana jukwaa ktk utafiti wangu mdogo kuanzia Dodoma, Morogoro, Dar na Zanzibar sijawahi kuona Vijana na wafuasi wa Chama cha demokrasia na maendeleo kwenye mabanda ya kubeti, kamali na bahati na sibu.
Hawa wanafundishwa na kuelinishwa na nani?
Natamka wazi kuwa Chadema imejijengea hazina kubwa ua viongozi waadilifu hapo baadae.
Mimi huwa sipati jibu mpaka nisikie atakachoongea baada ya hapo. Mana hiyo ni tungo tata.Hivi ukimkuta kijana anasema mama anaupiga mwingi unaelewa huyo ni wa wapi?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Na kwenye mbege umewakosaHii sijui imekaaje au ni kwa kuwa hawaoni fursa huko?
Au je, ni kwa vile ni vijana wanaojitambua hivyo hawana muda wa kupoteza?
Naapa kabisa mbele yenu wana jukwaa ktk utafiti wangu mdogo kuanzia Dodoma, Morogoro, Dar na Zanzibar sijawahi kuona Vijana na wafuasi wa Chama cha demokrasia na maendeleo kwenye mabanda ya kubeti, kamali na bahati na sibu.
Hawa wanafundishwa na kuelinishwa na nani?
Natamka wazi kuwa Chadema imejijengea hazina kubwa ua viongozi waadilifu hapo baadae.
Kama hawaendi kubeti sio rahisi kuwakuta kwenye pombe chafu hizoNa kwenye mbege umewakosa
Wadudu kivipi kama vijana wanajielewa sana ?๐ Ila chadema bhana ๐ mna wadudu vichwani nyie
Wafuasi wa samia uvccm ya zamaniHivi ukimkuta kijana anasema mama anaupiga mwingi unaelewa huyo ni wa wapi?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Redio zote za wasanii wa magu zina vipindi vingi vya kubeti kuliko vya habari na mafundisho?Wengi ni wahitimu wa vyuoni. Ccm inatulete beti bfti kila kina, kwenye simu mpaka redio siku hizi zinaendesha bahati na sibu zao.
๐๐๐ugonjwa wa akili. Research yako uneifanya kwenye wet dreams zako labdaHii sijui imekaaje au ni kwa kuwa hawaoni fursa huko?
Au je, ni kwa vile ni vijana wanaojitambua hivyo hawana muda wa kupoteza?
Naapa kabisa mbele yenu wana jukwaa ktk utafiti wangu mdogo kuanzia Dodoma, Morogoro, Dar na Zanzibar sijawahi kuona Vijana na wafuasi wa Chama cha demokrasia na maendeleo kwenye mabanda ya kubeti, kamali na bahati na sibu.
Hawa wanafundishwa na kuelinishwa na nani?
Natamka wazi kuwa Chadema imejijengea hazina kubwa ua viongozi waadilifu hapo baadae.
Hehehe huko ccm kuna majanga. Kuanzia vijijini hadi mijinkKwa kijana kubeti ni dalili ya kushindwa maisha, maisha ni mipango na inafanyika kwa usahihi katika kila stage kwa umri sahihi, sasa kijana wa miaka 25 anaamka asbh anakimbia kubeti - hili ni janga la kitaifa.
Wengine wasiobeti wanatafuta wajane kwenye mitandao.. ๐ na mabinti nao wa 18 hadi 25 wanatafuta wastaafu, yaani ni vurugu mechi.
Fanya na wewe research yako uje na hitimisho๐๐๐ugonjwa wa akili. Research yako uneifanya kwenye wet dreams zako labda
Waache washupaze shingo kama Bashiru na NdugaiNarudia tena huo ujinga wenu endeleen kuujadir lumumba 2025 jiandaen
Huko kwenye kubet ulwakuta wamevaa nguo za ccm.?Wadudu kivipi kama vijana wanajielewa sana ?
Huwa unapita kuwauliza au vigezo vya kuingia ku bet ni kuvaa sare ya chama. Are you okay upstairs?Fanya na wewe research yako uje na hitimisho