Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
HahahhahahaYale maduka ya dawa hayana dawa za kuuza, Ila kuna wafanyakazi 24/7 wako pale kuwajibu wateja majibu ya O/S yaani Out of Stock
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahhahahaYale maduka ya dawa hayana dawa za kuuza, Ila kuna wafanyakazi 24/7 wako pale kuwajibu wateja majibu ya O/S yaani Out of Stock
Wacha undezi dogo. Mimi Ni JF expert member na nimeinhia JF mwaka 2012 wewe ukiwa kwenu Swek unasoma shule ya msingi. Angalia details zangu. Wewe umeinhia japa Julai 2018, halafu unadiriki kuniambia Mimi nimeingia leo. Kama niaishani wewe hujabalehe au bado bikra. Heshimu wakongwe wanoweza kuwa baba zakoEenh Heee, wewe umezaliwa leo na kuingia JF leo leo? Mbona unazidi kujidhalilisha hivi!
Ummy Mwalimu alikuwa anashirikiana na Mkurugenzi wa MSD ambaye yuko Segerea kwa tuhuma za utakatishaji fedha. Waziri Ummy, Bwanakunu na mganyabiashara wa dawa Bahari Pharmacy ndiyo wameidhoofisha MSD kwa mikataba feki ya dawa, ku- supply delivery kits zilizo expire.
Waziri Gwajima asijisumbue kwenda mikoani kuwafokea madokta na mafamasia wasio na madawa, bali aende MSD akajionee UOZO. Kuna madawa yapatayo Sh 30 Bilioni ambayo yame expire.
Hata ilipokuwa Jambo Forums nilikuwa member kwa hiyo usininabaishe. Nimekupa takwimu za Wizara ya Afya na fesha za dawa wewe unanipa sweeping statement, bado na wewe unajioa ni great thinker??Wewe ni "mkongwe JF", 2012; na wala hujui yanayoendelea JF?
Ukongwe wa kuwa kiazi namna hiyo haukusaidii chochote. Hiyo 2018 hujui maana yake. Tafuta ujio wa JF na mtangulizi wake utamkuta 'kalamu' kajaa tele.
Shida wala sio Ummy, semaaa umetumwa kuja kumsifia Doroth hapaKila eneo analopita waziri wa afya Dr Gwajima katika ziara zake mikoani ni vilio tu, wananchi wanalalamikia Huduma hafifu, uhaba wa dawa nk.
Kiukweli hii wizara ina madudu mengi sana na sielewi waziri aliyetangulia Da Ummy Mwalimu na wasaidizi wake walikuwa wanafanya kazi gani!?
Chapa kazi Dr Gwajima wananchi tuko nyuma yako.
Maendeleo hayana vyama!
Swali la msingi sana Hilo. TAKUKURU kwa sasa wanayo ripoti kamili ya UFISADI huo. TISS wao hufanya Kama whistle blowers kwa kuandika ripoti na kupeleka juu...wakati UFISADI wote huo unaendelea Tiss na Takukuru walikuwa wapi?
..au walikuwa busy kuwashughulikia viongozi na wafuasi wa upinzani?
Njoo na takwimu Kama Mimi ndiyo utanitoa kwenye msitari. Kinyume cha data kama zangu utakuwa Kama kasuku. Kama huna data Soma tu hapa halafu, nenda ukakojoe na ulaleShida wala sio Ummy, semaaa umetumwa kuja kumsifia Doroth hapa
Namba zisizo na uwiano unaziita "takwimu"? Umesoma shule za "Jalalani"?Nimekupa takwimu
Hata yeye atakapoondoka akija mwingine hadithi itakua hiyo hiyo.Kila eneo analopita waziri wa afya Dr Gwajima katika ziara zake mikoani ni vilio tu, wananchi wanalalamikia Huduma hafifu, uhaba wa dawa nk.
Kiukweli hii wizara ina madudu mengi sana na sielewi waziri aliyetangulia Da Ummy Mwalimu na wasaidizi wake walikuwa wanafanya kazi gani!?
Chapa kazi Dr Gwajima wananchi tuko nyuma yako.
Maendeleo hayana vyama!
Pumbafu mkubwa wewe hujasoma vizuri nilichoandika, rudi ukasome ndiyo uje uandike uharo tena hapa. Nimetoa takwimu za 2015/16 kuwa expenditure kwenye dawa ilikuwa Ts 30 B against Ts 104 B kwa miaka 3 iliyofuata.Namba zisizo na uwiano unaziita "takwimu"? Umesoma shule za "Jalalani"?
Ungesema kwa watu waliokuwepo 1961 fungu la pesa alilotengewa kila mmoja wao na ukalinganisha na wa leo hapo ungekuwa mwanzo mzuri wa kuzungumzia 'takwimu' hata kama hukuweka 'inflation adjustment' iliyopo leo.
Lakini utalinganisha vipi hela ya 1961 na hii ya leo na kuvimbisha shingo na kuropoka kama ulivyoropoka hapo juu, kama wewe ni mtu mwenye akili timamu?
Mimi nimejibu mstari huo mmoja tu ulioanza nao, ambao umeonyesha upumbavu mkubwa ulionao. Nenda kasome nilipoanzia kukujibu.Pumbafu mkubwa wewe hujasoma vizuri nilichoandika, rudi ukasome ndiyo uje uandike uharo tena hapa. Nimetoa takwimu za 2015/16 kuwa expenditure kwenye dawa ilikuwa Ts 30 B against Ts 104 B kwa miaka 3 iliyofuata.
Mwaka 1961 hauna takwimu yeyote zaidi ya ku qualify hoja.
Ni nini usichoelewa ndezi wewe?
Mithali 26:4 Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake usije kuwa sawa na yeye.....Mimi nimejibu mstari huo mmoja tu ulioanza nao, ambao umeonyesha upumbavu mkubwa ulionao. Nenda kasome nilipoanzia kukujibu.
Usisahau pia kwamba huyo Ummy na Katibu Mkuu wake maongezi yao ya simu yaliwahi kudukuliwa na mkubwa mwenyewe na kuyatangaza kila mtu ajue...wakati UFISADI wote huo unaendelea Tiss na Takukuru walikuwa wapi?
..au walikuwa busy kuwashughulikia viongozi na wafuasi wa upinzani?
Nani kaelewa hoja ya hela ya 1961 kulinganishwa na hiyo ya 2018? Ujinga hauwezi kukutoka na unapoongeza na upumbavu ndio unazidi kuwa mpuuzi zaidi.Huna lolote mburula, unabishana na namba.
Mbona wengine wameelewa hoja, wewe ni mlemavu wa akili kama walivyo walemavu wengine. Hatuna msaada zaidi
Mkuu, baada ya hao wawili kuondoka hali ya dawa ikoje?Swali la msingi sana Hilo. TAKUKURU kwa sasa wanayo ripoti kamili ya UFISADI huo. TISS wao hufanya Kama whistle blowers kwa kuandika ripoti na kupeleka juu.
Hali ya dawa bado ni mbaya, MSD inahitaji kupewa mtaji mpya tena zaidi ya ule uliokuwa mishandledMkuu, baada ya hao wawili kuondoka hali ya dawa ikoje?
Wote wameelewa kasoro wewe mburula. Mtaje mwingine ambaye amedadisiNani kaelewa hoja ya hela ya 1961 kulinganishwa na hiyo ya 2018? Ujinga hauwezi kukutoka na unapoongeza na upumbavu ndio unazidi kuwa mpuuzi zaidi.