Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ulikuwa na akiba yako ya pesa tuwasiliane nikupe mchongo muda mfupi tu wataanza kuamkiaKazi Nilikuwa nafanyia kwenye moja ya taasisi kubwa za kimataifa. Wiki iliyopita kuna changamoto ilitokea ghafla Sasa kwa sababu Mimi ndiye nilikuwa team leader nikafukuzwa kazini!
Taarifa zilienea kwa Kasi ya Moto wa msituni na Baada ya muda Mfupi nikatengwa na Ndugu jamaa na marafiki. Hawapokei simu na nikiwatembelea hawanionyeshi ushirikiano ule wa mwanzo.
Niliowapenda na kuwajali Sasa hawapo upande wangu. Nahisi nipo shimoni! Hata kanisani wameninyang'anya nafasi ya uongozi, wakampa Mwenye kazi. I am tired of this fucking life.
Hii story mbona kama vile Haina mashiko? Week moja TU yameshatokea yote hayo? Ndugu na marafiki wameshakutenga, kanisani wamekuondosha kwenye uongozi. Kama tukio limetokea week iliyopita, lini umeitwa kwenye disciplinary committee? Au tuseme ni kosa kubwa kiasi kwamba ilibidi uwe fired instantly, kwahiyo nani alitangaza? Anyway, najaribu kuunganisha muda vs matukio nakosa logical flow. Pole All will be wellKazi Nilikuwa nafanyia kwenye moja ya taasisi kubwa za kimataifa. Wiki iliyopita kuna changamoto ilitokea ghafla Sasa kwa sababu Mimi ndiye nilikuwa team leader nikafukuzwa kazini!
Taarifa zilienea kwa Kasi ya Moto wa msituni na Baada ya muda Mfupi nikatengwa na Ndugu jamaa na marafiki. Hawapokei simu na nikiwatembelea hawanionyeshi ushirikiano ule wa mwanzo.
Niliowapenda na kuwajali Sasa hawapo upande wangu. Nahisi nipo shimoni! Hata kanisani wameninyang'anya nafasi ya uongozi, wakampa Mwenye kazi. I am tired of this fucking life.
Ndio hapo sasa. Mtu ufukuzwe kazi hapo hapo watu wakutenge? Si nyie mnasemaga kila mtu na maisha yake? Mtu hata akikusahauri badala ya kuheshimu ushauri( hata kama hutaufata) unamjibu kwa jeuri kwamba its my life , me and I. Sasa yakienda kombo unataka walie na wewe?Usijali huku jeiefu hautatengwa.
Hapo sawa.Kuna ujumbe anaufikisha.
Kama umefukuzwa kwa scandal ya ngono, au rushwa au wizi ulitaka kanisa liendelee kukuamini mkuu? Acha kanisa lijitenge na uovu mkuu. Subiri Mungu akutakase.Kazi Nilikuwa nafanyia kwenye moja ya taasisi kubwa za kimataifa. Wiki iliyopita kuna changamoto ilitokea ghafla Sasa kwa sababu Mimi ndiye nilikuwa team leader nikafukuzwa kazini!
Taarifa zilienea kwa Kasi ya Moto wa msituni na Baada ya muda Mfupi nikatengwa na Ndugu jamaa na marafiki. Hawapokei simu na nikiwatembelea hawanionyeshi ushirikiano ule wa mwanzo.
Niliowapenda na kuwajali Sasa hawapo upande wangu. Nahisi nipo shimoni! Hata kanisani wameninyang'anya nafasi ya uongozi, wakampa Mwenye kazi. I am tired of this fucking life.
Sasa huo ndo muda mzuri wa chujio.Kazi Nilikuwa nafanyia kwenye moja ya taasisi kubwa za kimataifa. Wiki iliyopita kuna changamoto ilitokea ghafla Sasa kwa sababu Mimi ndiye nilikuwa team leader nikafukuzwa kazini!
Taarifa zilienea kwa Kasi ya Moto wa msituni na Baada ya muda Mfupi nikatengwa na Ndugu jamaa na marafiki. Hawapokei simu na nikiwatembelea hawanionyeshi ushirikiano ule wa mwanzo.
Niliowapenda na kuwajali Sasa hawapo upande wangu. Nahisi nipo shimoni! Hata kanisani wameninyang'anya nafasi ya uongozi, wakampa Mwenye kazi. I am tired of this fucking life.
Haileti mantiki, hii ni ndoto tu, haya matukio yanatokeaga ndotoniYaani kazi ufukuzwe ndani ya wiki tu ndugu na jamaa wameshakutenga?? Sitaki kuamini hii.
Wewe ulitaka wafanye nini labda ili usione umetengwa?Nimehakikisha ninalolisema. Nimetengwa
Kuna baadhi ya makabila ukiishia uundugu anaishia hapoNdio hapo sasa. Mtu ufukuzwe kazi hapo hapo watu wakutenge? Si nyie mnasemaga kila mtu na maisha yake? Mtu hata akikusahauri badala ya kuheshimu ushauri( hata kama hutaufata) unamjibu kwa jeuri kwamba its my life , me and I. Sasa yakienda kombo unataka walie na wewe?
Maisha tunategemeana. Yakikunyokea acha dharau, hata kama humsaidii mtu basi usipende kuwatweza watu kwa vimaneno vya shombo.
Hakuna aliyemtenga huyu jamaa sema yeye anajitenga kifikra.
Na badala achukue time ya kukaa mwenyewe kujitafuta, anaanza root za kuzurura kwa ndugu.Hii story mbona kama vile Haina mashiko? Week moja TU yameshatokea yote hayo? Ndugu na marafiki wameshakutenga, kanisani wamekuondosha kwenye uongozi. Kama tukio limetokea week iliyopita, lini umeitwa kwenye disciplinary committee? Au tuseme ni kosa kubwa kiasi kwamba ilibidi uwe fired instantly, kwahio nani alitangaza? Anyway, najaribu kuunganisha muda vs matukio nakosa logical flow. Pole All will be well
Ttry to be positive don't blem anybody. Focus kwenye kujikwamuwa hapo ulipo.Kazi Nilikuwa nafanyia kwenye moja ya taasisi kubwa za kimataifa. Wiki iliyopita kuna changamoto ilitokea ghafla Sasa kwa sababu Mimi ndiye nilikuwa team leader nikafukuzwa kazini!
Taarifa zilienea kwa Kasi ya Moto wa msituni na Baada ya muda Mfupi nikatengwa na Ndugu jamaa na marafiki. Hawapokei simu na nikiwatembelea hawanionyeshi ushirikiano ule wa mwanzo.
Niliowapenda na kuwajali Sasa hawapo upande wangu. Nahisi nipo shimoni! Hata kanisani wameninyang'anya nafasi ya uongozi, wakampa Mwenye kazi. I am tired of this fucking life.