Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chai iyo mzee, japo ina kafunzo kwa mbalinajaribu kuunganisha muda vs matukio nakosa logical flow
Hii story mbona kama vile Haina mashiko? Week moja TU yameshatokea yote hayo? Ndugu na marafiki wameshakutenga, kanisani wamekuondosha kwenye uongozi. Kama tukio limetokea week iliyopita, lini umeitwa kwenye disciplinary committee? Au tuseme ni kosa kubwa kiasi kwamba ilibidi uwe fired instantly, kwahio nani alitangaza? Anyway, najaribu kuunganisha muda vs matukio nakosa logical flow. Pole All will be well
Kazi Nilikuwa nafanyia kwenye moja ya taasisi kubwa za kimataifa. Wiki iliyopita kuna changamoto ilitokea ghafla Sasa kwa sababu Mimi ndiye nilikuwa team leader nikafukuzwa kazini!
Taarifa zilienea kwa Kasi ya Moto wa msituni na Baada ya muda Mfupi nikatengwa na Ndugu jamaa na marafiki. Hawapokei simu na nikiwatembelea hawanionyeshi ushirikiano ule wa mwanzo.
Niliowapenda na kuwajali Sasa hawapo upande wangu. Nahisi nipo shimoni! Hata kanisani wameninyang'anya nafasi ya uongozi, wakampa Mwenye kazi. I am tired of this fucking life.
Yaani kazi ufukuzwe ndani ya wiki tu ndugu na jamaa wameshakutenga?? Sitaki kuamini hii.
Hii story mbona kama vile Haina mashiko? Week moja TU yameshatokea yote hayo? Ndugu na marafiki wameshakutenga, kanisani wamekuondosha kwenye uongozi. Kama tukio limetokea week iliyopita, lini umeitwa kwenye disciplinary committee? Au tuseme ni kosa kubwa kiasi kwamba ilibidi uwe fired instantly, kwahio nani alitangaza? Anyway, najaribu kuunganisha muda vs matukio nakosa logical flow. Pole All will be well
Jamaa katuuzia chai leo. Anataka kuaminisha watu kwamba marafiki na ndugu ni watu wabaya. Amechemka leoMimi pia nimeikataa hii chai, how comes mtu aliyefanya kazi kwenye shirika kubwa la kimataifa (tena akiwa team leader), eti afukuzwe kazi kisha ndani ya week moja tu atengwe na watu wake wote wa karibu. Kwamba amekuwa na maisha magumu ndani ya kipindi kifupi hivyo??
Najua ni kawaida kutengwa unaposhuka ila sio kwa haraka hivyo.😂
Ofisi ya kimataifa wametangaza kukufukuza kazi mpk kwa ndugu zako!!!!!!!!Sikumuambia mtu. Taarifa zilisambaa kutoka ofisni
chai hiii,, kwanza unapata wapi hata pozi lakuja JF kutangaza suala kama hili?Yaani kazi ufukuzwe ndani ya wiki tu ndugu na jamaa wameshakutenga?? Sitaki kuamini hii.
Ndio changamoto za duniani hizoKazi Nilikuwa nafanyia kwenye moja ya taasisi kubwa za kimataifa. Wiki iliyopita kuna changamoto ilitokea ghafla Sasa kwa sababu Mimi ndiye nilikuwa team leader nikafukuzwa kazini!
Taarifa zilienea kwa Kasi ya Moto wa msituni na Baada ya muda Mfupi nikatengwa na Ndugu jamaa na marafiki. Hawapokei simu na nikiwatembelea hawanionyeshi ushirikiano ule wa mwanzo.
Niliowapenda na kuwajali Sasa hawapo upande wangu. Nahisi nipo shimoni! Hata kanisani wameninyang'anya nafasi ya uongozi, wakampa Mwenye kazi. I am tired of this fucking life.