Nimefukuzwa kazi, nimetengwa na Ndugu, jamaa na marafiki!

Nimefukuzwa kazi, nimetengwa na Ndugu, jamaa na marafiki!

Tafuta kazi nyingine ila wasikusogelee.
Hiko ndo nilichokifanya.
Nachokifanya sasa.
Yaani sitaki mazoea kabisa.
Halafu hawana aibu ukisharudi kwenye ramani bila haya wala aibu wanajirudisha kama hakuna kilichotokea.
Bora sasa wakukatae kimya au wajitenge nawe kimya ila wanageuka na kuwa maadui kabisa yaani.
Yaani mie sahivi ni mkavu hata nikiwa na million mtu aliyenikataa kwenye dhiki zangu na kaiona million hapo hata 5,000 simpi.

Ndugu mleta mada kwa sasa kubali kila kitu kubali kudhalilishwa, kufedheheshwa, kuonekana hufai lakini utainuka upya, utakuwa sawa.
Na ukiinuka sasa usikubali kurudi tena chini.
Ila pamoja na yote mbona yametokea ghafla ndani ya wiki moja?
Au ulifanya ujambazi ofisini?
 
Kazi Nilikuwa nafanyia kwenye moja ya taasisi kubwa za kimataifa. Wiki iliyopita kuna changamoto ilitokea ghafla Sasa kwa sababu Mimi ndiye nilikuwa team leader nikafukuzwa kazini!

Taarifa zilienea kwa Kasi ya Moto wa msituni na Baada ya muda Mfupi nikatengwa na Ndugu jamaa na marafiki. Hawapokei simu na nikiwatembelea hawanionyeshi ushirikiano ule wa mwanzo.

Niliowapenda na kuwajali Sasa hawapo upande wangu. Nahisi nipo shimoni! Hata kanisani wameninyang'anya nafasi ya uongozi, wakampa Mwenye kazi. I am tired of this fucking life.
Usijali utapata Kazi nyingine hapo Mungu anataka kukuonesha Nani mtu kwao na Nani sio MTU.calm down

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Kazi Nilikuwa nafanyia kwenye moja ya taasisi kubwa za kimataifa. Wiki iliyopita kuna changamoto ilitokea ghafla Sasa kwa sababu Mimi ndiye nilikuwa team leader nikafukuzwa kazini!

Taarifa zilienea kwa Kasi ya Moto wa msituni na Baada ya muda Mfupi nikatengwa na Ndugu jamaa na marafiki. Hawapokei simu na nikiwatembelea hawanionyeshi ushirikiano ule wa mwanzo.

Niliowapenda na kuwajali Sasa hawapo upande wangu. Nahisi nipo shimoni! Hata kanisani wameninyang'anya nafasi ya uongozi, wakampa Mwenye kazi. I am tired of this fucking life.
wanakuona utawaomba hela, dah maisha haya
 
Hiko ndo nilichokifanya.
Nachokifanya sasa.
Yaani sitaki mazoea kabisa.
Halafu hawana aibu ukisharudi kwenye ramani bila haya wala aibu wanajirudisha kama hakuna kilichotokea.
Bora sasa wakukatae kimya au wajitenge nawe kimya ila wanageuka na kuwa maadui kabisa yaani.
Yaani mie sahivi ni mkavu hata nikiwa na million mtu aliyenikataa kwenye dhiki zangu na kaiona million hapo hata 5,000 simpi.

Ndugu mleta mada kwa sasa kubali kila kitu kubali kudhalilishwa, kufedheheshwa, kuonekana hufai lakini utainuka upya, utakuwa sawa.
Na ukiinuka sasa usikubali kurudi tena chini.
Ila pamoja na yote mbona yametokea ghafla ndani ya wiki moja?
Au ulifanya ujambazi ofisini?
Hapana namtetea yalinipataga haya ni leo tu nimemkataza mdogo wangu kufika kwangu.Yangu yalitokana na maradhi ya ghafla na baadae walikula kila fedha iliyotolewa kazini kwa ajili yangu.Yanatukea haya.ILA AWAFUKUZE MAANA HAWANAGA SONI.
 
Pole sana ndg mwamini M/Mungu mfanye kuwa ndie ndugu yako,rafiki yako pia mfanye kuwa mzazi wako nae atakupigania hatokuacha na utakuwa na amani tele,hayo unayopitia mi ndio nayapitia Mwaka wa 3 huu,habari ya msiba wa mama yangu naambiwa na baba mdogo ndugu zangu taarifa walipewa na baba yangu mzazi lkn mwisho wa siku nimemuachia Mungu na nina amani tele
 
Man ndio ukubwa huo, umeshawahi ona kivuli gizani. Jibu hapana kivuli uonekana juani. Tafsiri yake ukiwa na pesa tegemea ndugu, marafiki na majamaa kuwa wengi hao ndio kivuli au nzi. Ukikosa pesa wote wanapotea hii ni nature ya mwanadamu. Hata wwe ukipata pesa utawasahau marafiki mliosota nao utatafuta marafiki wapya.
Maisha hayana formula we ishi jinsi yajavyo. Unaweza ukajibana Sana ukajinyima Sana ukaishia kuwa masikini na unaweza ukala Sana bata na ukaishia kuwa tajiri.
Hii sentensi ya mwisho ni kwa watu ambao tayari wamezaliwa na kuzikuta so wanafanya kuongezea tu.
 
itakuwa ulikuwa hujawajua binadamu, Umekuwa nao kipindi unacho tu ukadhani wana upendo wa kweli, Sasa vitu vingine hutokea kukufunza kwa uhalisia ili uache kujipa matumaini ya kupendwa bali unapendwa kwa sababu ya uwepo wa kitu fulani.
 
"Don't show love to people around you,love will get you killed"
 
Kazi Nilikuwa nafanyia kwenye moja ya taasisi kubwa za kimataifa. Wiki iliyopita kuna changamoto ilitokea ghafla Sasa kwa sababu Mimi ndiye nilikuwa team leader nikafukuzwa kazini!

Taarifa zilienea kwa Kasi ya Moto wa msituni na Baada ya muda Mfupi nikatengwa na Ndugu jamaa na marafiki. Hawapokei simu na nikiwatembelea hawanionyeshi ushirikiano ule wa mwanzo.

Niliowapenda na kuwajali Sasa hawapo upande wangu. Nahisi nipo shimoni! Hata kanisani wameninyang'anya nafasi ya uongozi, wakampa Mwenye kazi. I am tired of this fucking life.
Iliwahi kunitokea hii nilikaaa mwaka mzma bila Kazi Mungu bariki nikapata Kazi wakaanza kujipendekeza tena
 
Ichi ni kipindi cha kujifunza sana kuhusu watu. Kazi utapata na mambo yatakaa sawa, na yakikaa sawa just be a fucking wolf usiwe na mazoea na watu mind your business.

Juzi nilikua na shida na ela ndogo tu nikiwa safar kama 200k maana sikua na kadi karibu na sina sim banking nikawacheki washkaji wa karibu wote wanasema hawana nikaja nikapata kwa mtu ambaye sijawai kumkopa wala hajawai nikopa, ila nilisema ngoja tu nimjaribu . Huwez amini alinitumia na akaniuliza inatosha mkuu?

Tuishi tu na watu vizur ila tusiwafanye marafiki wa karibu. Amini nakwambia ni rahisi sana kusaidiwa na watu ambao mnaheshimiana na kufaamiana na hamna mazoea ya karibu, kuliko watu ambao uko nao kila saaa kwa kofia ya urafiki au undugu.
 
Kazi Nilikuwa nafanyia kwenye moja ya taasisi kubwa za kimataifa. Wiki iliyopita kuna changamoto ilitokea ghafla Sasa kwa sababu Mimi ndiye nilikuwa team leader nikafukuzwa kazini!

Taarifa zilienea kwa Kasi ya Moto wa msituni na Baada ya muda Mfupi nikatengwa na Ndugu jamaa na marafiki. Hawapokei simu na nikiwatembelea hawanionyeshi ushirikiano ule wa mwanzo.

Niliowapenda na kuwajali Sasa hawapo upande wangu. Nahisi nipo shimoni! Hata kanisani wameninyang'anya nafasi ya uongozi, wakampa Mwenye kazi. I am tired of this fucking life.
Nadhani Kuna kizuri zaidi ya hiyo kazi kimeandaliwa Kwa ajili Yako, Sasa wajue kwanza masnich kabla hakijafika. "Nothings permanent, even problems" Charlie chaplin
 
Back
Top Bottom