Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Umejuaje kuwa hamlei au wewe wa Mkoa!!!!!! ok! hamlei kwa hiyo?? km mlezi hataki je?karidhika unataka atembee nae mgongoni? Sungura Madini unamjua au unaleta zako za Mkoa???kama ni mlezi na alimlea why now kafanikiwa hamlei back na anazidi kutumia ubin wake?
Ungekoma wewe ni msanii?nimefurahi pia sababu angeshinda tungekoma!!
naamimi hata baadhi ya wasanii wenzie wamefurahi
Tena ngoja tuwaongezee nyundo ya Msumari '' Chuki zenu ndo Sala na Mafanikio yetu!! Diamond piga kazi Baba mpaka kieleweke wajifukie na udongo tani saba hao visokolokwinyo!!! Mambo badoooooooooooooO!O!O!O!O!O!O!O!O!O!OoHaswaaa , haijapunguza kitu bali imemuongezea thamani na kuwajua binadamu walivyo.
Wenzake wamevaa suti yeye kapiga kimasai,Babu tale pale kachemsha mawe.Na vile alivyovaa kimasai ndo katia kinyaa kabisa!
Umeanza ya sizitaki mbichi tena hizi!!! haya wee!!!! lkn mambo badooo mtalia sana!!! mtachukia sana!! lkn hakuna Msamaha!! afadhali Sungura yeye hakuchukia wala kulia lia eti ili akate Mgomba bali alisusa kijanja!! tena mara moja tu!!View attachment 1833467
Pastor umechagua njia nzuri ya kumriwaza ndugu yako, ila pastor kama ulishindwa kukemea pepo la kukana mzazi, pepo la BET utaliweza?
Hiyo sio kazi yako, akimlea au asipo mlea , lakini ukweli utabaki pale sio baba yake mzazi, kama hataki ubini utumike taratibu zipo, na Diamond amempa Go aheadkama ni mlezi na alimlea why now kafanikiwa hamlei back na anazidi kutumia ubin wake?
Umekariri suti, mavazi ni utambulisho kaamua kutambulisha moja kati ya mavazi ya waafrikaWenzake wamevaa suti yeye kapiga kimasai,Babu tale pale kachemsha mawe.
Ashazoea Ata hizi MTV Africa alishakosaga sana, lakini alipata Kwahiyo apambane maneno ya Wanaharakati uchwara yasimsumbueKumbe jamaa ni sugu?
Najua wajua ya kuwa km ipo ipo tu Baba!! na Mungu akisema Yes..........Majibu unayo!! piga ua galagaza yes ya Mungu haipingwi mtafurahia anguko dogo sana lkn yanakuja makubwa na tegemea makubwa ya kuku malizakama ni mlezi na alimlea why now kafanikiwa hamlei back na anazidi kutumia ubin wake?
Kwani we ndo msemaji wa familia?Umejuaje kuwa hamlei au wewe wa Mkoa!!!!!! ok! hamlei kwa hiyo?? km mlezi hataki je?karidhika unataka atembee nae mgongoni? Sungura Madini unamjua au unaleta zako za Mkoa???
Analia nani kati ya aliye loose na aliye win?Umeanza ya sizitaki mbichi tena hizi!!! haya wee!!!! lkn mambo badooo mtalia sana!!! mtachukia sana!! lkn hakuna Msamaha!! afadhali Sungura yeye hakuchukia wala kulia lia eti ili akate Mgomba bali alisusa kijanja!! tena mara moja tu!! huu wako mkuu bado ni mafano mfu!! leta mwingine '' Siku ya gulio katerelo'' au kabanga ampiga Mkoloni''
Wachawi wapo kila mahali.Kuwa mchawi sio lazima upae kwenye ungo, mleta uzi we mchawi tuu kama wachawi wengine.
Ni kweli sio kazi yangu kwasababu sijari, ila nilikua najibu kwa wanaomuona kama ni mtu fulani hivi mwenye roho nzuri asiye stahili kupingwa kwa mambo yakeHiyo sio kazi yako, akimlea au asipo mlea , lakini ukweli utabaki pale sio baba yake mzazi, kama hataki ubini utumike taratibu zipo, na Diamond amempa Go ahead
Sala ya toba kamuombee sadala probably ata change na kumsaidia baba yakeNajua wajua ya kuwa km ipo ipo tu Baba!! na Mungu akisema Yes..........Majibu unayo!! piga ua galagaza yes ya Mungu haipingwi mtafurahia anguko dogo sana lkn yanakuja makubwa na tegemea makubwa ya kuku maliza...
πππππππππYesu watu walifurahia kusurubiwa kwake!! mpaka leo watu wanafurahi alikomeshwa!!! lkn haimuzuiii kula Bata Mbinguni kwa Mungu,