Nimefurahi Diamond kukosa tuzo

Kweli kabisa kuna watu wana roho mbaya.
Binafsi namkubali D'mond kama kijana mpambanaji na anayehustle kuboresha hali yake. Kwa hilo namuombea...
Watanzania tunauhuru kupenda na kushabikia vyama vya siasa Tunavyovipenda.
 
Umeandika upupu we ndiyo walewale mijitu yenye roho mbaya
 
Sala ya toba kamuombee sadala probably ata change na kumsaidia baba yake

Kama huoni tatizo kwa sadala dhidi ya baba yakr basi we ndio unahitaji zaidi kuombewa kuliko mimi
Ya ndani yao umeyajuaje!! si ndo umbea huo?!! sioni tatizo wala sitaki kujua tatizo lake/lao!! lkn pia jua kuwa matatizo yameumbwa na ni afya. yana uhai!! sasa km ni hivo yakaishi wapi? kwa watu na watu si ndo hao!! hata Malaika wana maatizo ya kuwakomboa wanadamu wajinga! wanao kimbilia kwa shetani.

km haitoshi Yesu mwana wa mkubwa anae kupa pumzi leo alipata maatizo ya kusurubiwa na akafa wewe ni nani usitaabike......... obvious tatizo ni wewe unae dhania tatizo pasipo tatizo ndo tatizo tena unaumia kwa kituzo kidoogo tu, nje ya tuzo dahari alizowahipewa.

Amsaidie yeye ni mzoga bana heee!! wee vepe!! hela ya mtoto ni ya mtoto na familia yake!! Baba alijiandaa kivyake siku ya kustaaf, siyo kwenda kuunga tela pale!! wamakonde ndo zenu akifanikiwa mtoto ukoo mzima mnahamia!! sisi hatuko hivo km nyie!!

Jamani sasa amsaidie ili afike wapi unapo dhani ni salama? yaani mpaka uridhike!! unaona wewe ana shida!!! au akaombe unapodhani atasaidiwa!! hata Mond anaomba na kuwajenga mashabiki! dats why umeona kashindwa kupata tuzo!

Makonde bana sijui mna nini!!! mnajua sana shida za watu kuliko zenu hii ni tabia ya kuzimuuuu!!! Kushadadia ya watu wala haiitaji Maombi Mungu atatucheka sna km wewe ni kula viboko tu!! mpaka akili ina kaa sawa
 
Mimi ni shabiki wake lakini katika hili nilisimama pamoja na wanaharakati maana yeye alisimama na wauaji na watesaji kipindi cha utawala wa yule dikteta

Lazima watu waheshimu haki za binadamu
Unafki sio mzuri kama ni kweli ndio hizo harakati zenu basi mpambane na wasanii wote walioburudisha kipindi cha kampeni. ACHENI UNAFKI
 
Unafki sio mzuri kama ni kweli ndio hizo harakati zenu basi mpambane na wasanii wote walioburudisha kipindi cha kampeni. ACHENK UNAFKI
Ni msanii yupi alikuwepo kwenye hiyo tuzo zaidi ya Diamond? Wangekuwepo tungewasagia kunguni mbona
 
Ni kweli sio kazi yangu kwasababu sijari, ila nilikua najibu kwa wanaomuona kama ni mtu fulani hivi mwenye roho nzuri asiye stahili kupingwa kwa mambo yake
Ana roho nzuri bana weeee na atapaa kimaisha sana!! hata km si baba yake mond i amesaidia watu sana kupanda kimaisha
 
Chuki,wivu,umasikini,choyo na roho mbaya ndio sifa za wabongo wengi.

Karibu tena Bongo Mtoto wa Tandale.

Wengine hata kuwa nominated tu ni mtihani.

Hussle hard kama kawaida yako mtoto wa Tandale,never loose hope.
 
Nilisema tu hawa wawakilishi wa devil ukitaja Yesu wote wanapotea mnaona jamani
 
Ni kweli sio kazi yangu kwasababu sijari, ila nilikua najibu kwa wanaomuona kama ni mtu fulani hivi mwenye roho nzuri asiye stahili kupingwa kwa mambo yake
Haya ni mawazo yako tu, atabaki kuwa na roho nzuri kwa wale aliowatendea mazuri, na atabaki kuwa na roho mbaya kwa wale aliowatendea mabaya, na bahati nzuri maisha haya huwezi kumfurahisha kila mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…