Nimefurahi Diamond kukosa tuzo

Hahah kazi za maskini ndio hizi Sasa😂😂... Anyway Dua la kuku halimpati mwewe
 
Wanyonge gani waliumizwa? Wewe ulitunga wimbo gani kupiga kelele.
 
Diamond ana wivu na nani?
 
People can always learn a hard way!!!
 
Nasikia Mzee Abdul Jana kalala usingizi murua kabisa.

Baada ya diamond kukosa tuzo..
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mama dangote kapost muhemko wake, kapewa za uso na wana, huko aliko anajuta kuwafahamu wa Tz.
Acha kujidanganya wewe za uso umpe mama Dangote humjui hakujui ahahahahha team Kibakuli mnapenda kujiaminisha ujinga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…