Nimefurahi Diamond kukosa tuzo

Watoto wake damu anao wamuhudumie, aache kuangaika na watoto wakambo hawaeleweki ahahahahaha
Na lile bwege linalozurura na mama dangote..
Linahusika vipi na diamond?
Kiasi cha kula maisha?
 
Acha kujidanganya wewe za uso umpe mama Dangote humjui hakujui ahahahahha team Kibakuli mnapenda kujiaminisha ujinga sana
Mie kwanza nlkua nna mda wa kumjibu, nlkua nasoma comments za wana, wakimpa makavu yake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na utachachawa sana, poleeeeh na hakna namna.
Unampa pole mwakilishi wa Africa Mashariki na kati huko BET ahahahahah ila team Kibakuli ni tatizo ahahahahaha
 
Mie kwanza nlkua nna mda wa kumjibu, nlkua nasoma comments za wana, wakimpa makavu yake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao ni team Kibakuli wana hasira maana Ata tuzo za Zumari hawapo ahahahahha haha
 
Mie kwanza nlkua nna mda wa kumjibu, nlkua nasoma comments za wana, wakimpa makavu yake,
Hao ni team Kibakuli wana hasira maana Ata tuzo za Zumari hawapo ahahahahha haha
Mmasai wa hanang, kaangukia domo lake [emoji23][emoji23][emoji23]
Ulitaka avae kanzu kama kibakuli ahahahhahah yule sio imamu wa msikiti , masai ni waafrika wenzetu hakuna tatizo
 
Na lile bwege linalozurura na mama dangote..
Linahusika vipi na diamond?
Kiasi cha kula maisha?
Yule nae ni baba wa kambo kama Mzee Abdul, tofauti yao baba yule wa kambo inaonekana mama Diamond amemkubali, hivyo basi kula mema ya nchi ni jambo la lazima
 
Yule nae ni baba wa kambo kama Mzee Abdul, tofauti yao baba yule wa kambo inaonekana mama Diamond amemkubali, hivyo basi kula mema ya nchi ni jambo la lazima
Yupi baba Mwenye thamani kwako,,aliyelea tangu mimba iliyokataliwa na anayesemekana ndy baba wa diamond,,au baba aliyekukuta ukubwani tayari una maisha yako..

Yupi anastahili kula maisha?
 
Kwani we ndo msemaji wa familia?

Mara ngapi waandishi wa habari wamekua wakionesha mazingira yake yalivyo duni kiasi cha kuto afford basic needs properly?
Wale wandishi ni wajanja wanauza Habari wewe usi pende saaana kuwaamini utapotea!! mkoani mna matatizo sana!! na km ukiwa wa Dar basi unaishi kureee!! pugu milimani
 
Yupi baba Mwenye thamani kwako,,aliyelea tangu mimba iliyokataliwa na anayesemekana ndy baba wa diamond,,au baba aliyekukuta ukubwani tayari una maisha yako..

Yupi anastahili kula maisha?
Thamani wanajua mtoto na mama yake maana wao ndio wanamjua huyo baba, hoja yangu tusilazimishe baba wa kambo kupewa sifa ya baba mzazi ni watu wawili tofauti
 
Hapo mwisho ndio kulipompa pesa sasa
 
Thamani wanajua mtoto na mama yake maana wao ndio wanamjua huyo baba, hoja yangu tusilazimishe baba wa kambo kupewa sifa ya baba mzazi ni watu wawili tofauti
Hivi yupi bora?
Kati ya baba wa kambo aliyelea mimba ya mama dangote tangu changa?
Na kuendelea kutunza falimy hata baada ya kujifungua Au baba mzazi aliyekataa mimba?
 
Hivi yupi bora?
Kati ya baba wa kambo aliyelea mimba ya mama dangote tangu changa?
Na kuendelea kutunza falimy hata baada ya kujifungua Au baba mzazi aliyekataa mimba?
Baba mzazi hakukataa mimba Kwahiyo huu mfano wako hauna uhalisia, mama ndio alifanya siri maana alichiti, sasa baba wa kambo anapodai huduma kwenye vyombo vya habari utafikiri mtoto ni damu yake inachekesha sanaaaa
 
Reactions: Qwy
Huyu mjomba anavyopenda show off, nimeona mavideo huko YouTube anapewa hugs na Swizz beat, Alicia Keys, Dj Khaleed, Rick Ross. Yaani hao watu we huwezi kuwasogelea hata mita tano tu. Hizi chuki nyingine ni ukosefu wa elimu tu. Na ndio mtaburuzwa sana kwa upumbavu wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…