mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Na lile bwege linalozurura na mama dangote..Watoto wake damu anao wamuhudumie, aache kuangaika na watoto wakambo hawaeleweki ahahahahaha
Linahusika vipi na diamond?
Kiasi cha kula maisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na lile bwege linalozurura na mama dangote..Watoto wake damu anao wamuhudumie, aache kuangaika na watoto wakambo hawaeleweki ahahahahaha
Mmasai wa hanang, kaangukia domo lake [emoji23][emoji23][emoji23]Yule International acha kumlinganisha na wauza mitumba wa kkoo
Mie kwanza nlkua nna mda wa kumjibu, nlkua nasoma comments za wana, wakimpa makavu yake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kujidanganya wewe za uso umpe mama Dangote humjui hakujui ahahahahha team Kibakuli mnapenda kujiaminisha ujinga sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na utachachawa sana, poleeeeh na hakna namna.Maji ya nini kashindwa na Burnaboy , au unafikiri Kashindwa na Kibakuli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itabidi uzoee, hat km hutakiYule International acha kumlinganisha na wauza mitumba wa kkoo
Hakuna cha kuzoea hapo , mambo ya kawaida, ajabu kama angeshindwa na Kibakuli wa mchangani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itabidi uzoee, hat km hutaki
Unampa pole mwakilishi wa Africa Mashariki na kati huko BET ahahahahah ila team Kibakuli ni tatizo ahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na utachachawa sana, poleeeeh na hakna namna.
Hao ni team Kibakuli wana hasira maana Ata tuzo za Zumari hawapo ahahahahha hahaMie kwanza nlkua nna mda wa kumjibu, nlkua nasoma comments za wana, wakimpa makavu yake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao ni team Kibakuli wana hasira maana Ata tuzo za Zumari hawapo ahahahahha hahaMie kwanza nlkua nna mda wa kumjibu, nlkua nasoma comments za wana, wakimpa makavu yake,![]()
![]()
![]()
![]()
Ulitaka avae kanzu kama kibakuli ahahahhahah yule sio imamu wa msikiti , masai ni waafrika wenzetu hakuna tatizoMmasai wa hanang, kaangukia domo lake [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha uchawi broNisiwe mnafiki mimi ni mmoja kati ya watu wenye wivu na mafanikio ya Diamond kwani yeye mwenyewe ana wivu juu ya mafanikio ya wasanii wezake wa kitanzania.
Kama na wewe umefurahi Diamond kukosa tuzo tujuane hapa.
Leo napiga bia nyingi kufurahia tuzo ya Burnaboy [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
Zaidi soma: BET Awards 2021 Los Angeles Marekani, Diamond aangukia Pua
Yule nae ni baba wa kambo kama Mzee Abdul, tofauti yao baba yule wa kambo inaonekana mama Diamond amemkubali, hivyo basi kula mema ya nchi ni jambo la lazimaNa lile bwege linalozurura na mama dangote..
Linahusika vipi na diamond?
Kiasi cha kula maisha?
Yupi baba Mwenye thamani kwako,,aliyelea tangu mimba iliyokataliwa na anayesemekana ndy baba wa diamond,,au baba aliyekukuta ukubwani tayari una maisha yako..Yule nae ni baba wa kambo kama Mzee Abdul, tofauti yao baba yule wa kambo inaonekana mama Diamond amemkubali, hivyo basi kula mema ya nchi ni jambo la lazima
Wale wandishi ni wajanja wanauza Habari wewe usi pende saaana kuwaamini utapotea!! mkoani mna matatizo sana!! na km ukiwa wa Dar basi unaishi kureee!! pugu milimaniKwani we ndo msemaji wa familia?
Mara ngapi waandishi wa habari wamekua wakionesha mazingira yake yalivyo duni kiasi cha kuto afford basic needs properly?
Thamani wanajua mtoto na mama yake maana wao ndio wanamjua huyo baba, hoja yangu tusilazimishe baba wa kambo kupewa sifa ya baba mzazi ni watu wawili tofautiYupi baba Mwenye thamani kwako,,aliyelea tangu mimba iliyokataliwa na anayesemekana ndy baba wa diamond,,au baba aliyekukuta ukubwani tayari una maisha yako..
Yupi anastahili kula maisha?
Hapo mwisho ndio kulipompa pesa sasaTatizo la Diamond ni Show off za kishamba!
Kila mahala anataka kuprove yeye anapesa! Huo ni ujinga utakaomuangusha!
Hata Mungu hapendi wajikwezao!
Maana ajikwezae hushushwa!
Anachoshindwa kuelewa shughuli ni watu, na watu ukiwaonesha jeuri wanapita hivi!
Mbona matajiri wengi tu hapa bongo wanampunga mrefu hadi wanaumwa lakini wapo kimya?.
Mara ajitangazie wasafi yake, wakati kina kusaga na mkewe wamekaa kimya tu, No need to prove ur rich!...
Siku kusaga akitangaza hadharani hisa zake za wasafi 58% na mkewe kusaga 32% na diamond 10% Ataficha wapi sura yake?
Kwanza diamond hizo safari za inje anapopita airport madansa wake wana mibegi mizito yanini?
Achunguzwe sana asijekuwa anasafirisha madawa kwa mgongo was usanii
Hivi yupi bora?Thamani wanajua mtoto na mama yake maana wao ndio wanamjua huyo baba, hoja yangu tusilazimishe baba wa kambo kupewa sifa ya baba mzazi ni watu wawili tofauti
Baba mzazi hakukataa mimba Kwahiyo huu mfano wako hauna uhalisia, mama ndio alifanya siri maana alichiti, sasa baba wa kambo anapodai huduma kwenye vyombo vya habari utafikiri mtoto ni damu yake inachekesha sanaaaaHivi yupi bora?
Kati ya baba wa kambo aliyelea mimba ya mama dangote tangu changa?
Na kuendelea kutunza falimy hata baada ya kujifungua Au baba mzazi aliyekataa mimba?