Nimefurahishwa na uteuzi wa Dkt. Bashiru kuwa Katibu Mkuu Kiongozi kwa sababu moja kubwa

Pamoja hujaeleza Timu ya Big Four ya awali ilikuwa ya Wahandisi wa fani zipi lakini inaonekana ilikuwa Timu ya Watalaamu waliobobea. Timu ya Big Four mpya inayopongezwa humu ni ya Makada wa Chama mfu cha vilaza cha CCM kinakabithiwa kiholela kuongoza Serikali kama vijana wadogo wa kiume wote wanajua kuchunga kwa hiyo wanakabithiwa mifugo. Afadhali Mhandisi hata wa kukaangiza kuliko Kada!
 
Twende kusomi: kwanza ondoa neno ushirikina. Halihusiki. Kununua wapinzani ni kitendo kinachoungwa mkono na political theories kadhaa. Unakumbuka baadhi?
Asante kwa kukubali kuwa huwa mnanunua, tatizo lenu mnatumia pesa za walipa kodi, acheni huo mchezo muwe mnatumia pesa zenu wenyewe.
Leta copy ya invoice ya biashara hiyo, vinginevyo kwea pipa ukajiunge na Antipasu twajua huyo ndiye mentor wenu wa masuala ya uongo!
Muulize mwenzio hapo juu akwambie kama huwa mnatoa invoice au hamtoi, kibuyu.
 
Kwa kuku-refresh memory yako, Dr. Bashiru aliwahi kutamka "HATOKUBALI UTEUZI WOWOTE IKITOKEA AMETEULIWA". Video zipo kama kumbukumbu. Ila kesho anameza matapishi yake.

Huwajui wanasiasa maneno na vitendo vyao
 
Sina wasi wasi naye ataenda kuleta chemistry nzuri ya kiuongozi na kisiasa maana huyo ni Gwiji wa siasa.
 
Kuna Bashiru wawili. Bashiru mwana taaluma. Huyu Bashiru ni mtu mwenye mawazo huru. Kazi yake ni kufundisha na kutafiti kwa kutumia nadharia mbalimbali. Bashiru mwanataaluma hafanyi kazi chini ya mtu na kazi yake haikaguliwa na mtu mwingine.Bashiru wa pili ni Bashiru katibu mkuu wa CCM au katibu mkuu Kiongozi anafanya kazi chini ya mwenyekiti wa CCM/raisi. Anapofanya kazi anaongozwa na sheria na taratibu za kazi yake. Pamoja na kuwa ana uhuru kiasi fulani lakini huo uhuru unafuata sheria na madaraka yake na kazi yake inakaguliwa na mkuu wake wa kazi.

Hiyo hali hapo juu si kwa Bashiru tu, bali wanataaluma wote waliyowahi kuteuliwa na watakaoteuliwa kufanya kazi za siasa na utawala. Hao watu wanatoka kwenye taaluma ambapo walikuwa na uhuru mwingi wa kufikiri, kutafiti, na kufikia majibu. Kazi zao za kitaaluma zilikuwa zinasomwa na wanataaluma wenzao na kutoa critique wapi labda wamekosea au nini wamesahau. Pia huweza kutetewa na wengine ambao wanaziona hizo critique siyo sahihi. Pia unaweza kusema kuwa mtu anapoteuliwa kwenye kazi mpya inabidi afuate ya kazi mpya na siyo yale ya kazio aliyokuwa nayo, kama kazi hizo hazifanani.
 
Wakati unaendelea kutafiti hebu pitia video hii

View attachment 1712635
Nimeisikiliza na kuielewa. Yeye amesema hatakubali kuteuliwa kufanya kazi nyingine ya CCM. Yeye kateuliwa kuwa mtumishi wa serkali sasa hapo kaongopa. Ninyi mlidhania atafia kwenye kazi ya ukatibu mkuu wa CCM. Mtu kijana kama huyu hawezi kusema hatakubali kuteuliwa kazi yoyote. Yeye atakula wapi akikataa kuteuliwa hasa kama ataipoteza kazi ya CCM. Kasema wazi, hatakubali kuteuliwa kazi ya CCM. Kazi za utumishi wa serkali siyo kwa wana CCM pekee bali waTZ wote wakiwemo CCM na upinzani.
 
Emperor's analysis is balanced and excellent.
 
Nafasi zote sasa ni za makada
 
You are advised to qualify your claim. Mie naona kuna ma-nadharia fulani ameyaleta field mwaka jana yakatusumbua sana. Nadhani ma-theory hayo ndo yamempiga tafu hadi uteuzi huu. Naendelea na utafiti.

Utazeeka na utafiti usio na maana, utafiti wa nadharia, hivi unajua utafiti au unafanya joking tu, ur lost in a jungle.
 
You are advised to qualify your claim. Mie naona kuna ma-nadharia fulani ameyaleta field mwaka jana yakatusumbua sana. Nadhani ma-theory hayo ndo yamempiga tafu hadi uteuzi huu. Naendelea na utafiti.
unatoa matokeo ya utafiti wako nusunusu Mama Amon .Ukifika mwisho wa utafiti wako utafuta hayo matokeo yako ya awali
 
Huenda umepatia sn kwani huyo ni muumini kindakindaki hatumii tena ubongo wake linapokuja Jambo toka kwa mkubwa ajenda kuu ile ya sanga ,nkamia nk iendelee.
 
Unamzungumzia huyu huyu ambae amerudia matapishi yake au mwingine?!,kinywa chake kimemponza kumbafuuuuu......zake.....[emoji30][emoji21]
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…