Nimefurahishwa sana na Kipigo Walichopokea Yanga kutoka kwa Belouizdad

Nimefurahishwa sana na Kipigo Walichopokea Yanga kutoka kwa Belouizdad

Malaika wa Misukosuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2021
Posts
2,470
Reaction score
7,376
Habari wakuu,

Kiufupi nimepokea matokeo haya kwa Furaha iliyotukuka, Nafikiri sasa ni wakati sahihi wa Yule Rais wenu mbea aliyepeleka umbea kwa Rais wa Fifa kwamba Simba imefungwa 5.

Sasa ni wakati sahihi pia amwambie Rais wa Fifa kwamba na Wenyewe wameshikilia Bomba huku pande za Algeria.... Ila bomba lilikuwa la moto sana Limebabua vidole vitatu havitamaniki.

Kesho ni wakati sahihi kwa viongozi wote wa Yanga pamoja na Mashabiki wanunue Madaftar Na Peni pamoja na Rula ndefu ili wapate somo kutoka kwa Simba namna ya Kucheza haya mashindano na Kushinda.

Baada ya Hapo pia itakapofika mechi ya Simba na Wydad mtakaribishwa kwa mkapa ili mjifunze Somo jingine la "Jinsi ya kumdhibiti Mwarabu anapoingia Nyumbani kwako"

Angalizo: Haya mashindano yanaweza kumfukuzisha Kipara Kazi 🤣
images (42).jpeg
 
Habari wakuu,
Kiufupi nimepokea matokeo haya kwa Furaha iliyotukuka, Nafikiri sasa ni wakati sahihi wa Yule Rais wenu mbea aliyepeleka umbea kwa Rais wa Fifa kwamba Simba imefungwa 5,


Angalizo: Haya mashindano yanaweza kumfukuzisha Kipara Kazi [emoji1787]View attachment 2824045
Una miaka mingapi?Linapokuja maswala ya kmataifa tunatetea Taifa

Rais wetu wa nchi hata akitulaza njaa lakini kwenye mambo ya kimataifa tunamtetea tu

Mambo ya simba ,uyanga ,uazam au usingida ni mambo ya ndani na utani wa ndani

Simba akifanya vizuri inahesabika ni Tanzania


Wewe mwenyewe umekiri waarabu hujasema Belouizdad au al Ahly au pyaramid,Umesifia ukanda wao na asili yao ya uarabu

Tunahitaji na sisi waarabu waseme timu za Afrika masharika zinatisha

Kufungwa kwa Yanga au Simba ni kilio kwa Afrika mashariki nzima

Mkuu nyie ndio inabidi muende JKT kwa nguvu mkajifunze maana ya Taifa likiwa vitan

Samia akizomewa ulaya au Mtanzania akipigwa bomu huko Gaza sio swala la ccm au Chadema ni suala la msimamo wa kitaifa kuongea na kukemea

Sasa wewe kama mzazi wako amejikojolea mbele za watu unamcheka kisa alikupiga ukiwa mtoto uende shule utakuwa mpumbavu

Anaesubiri Simba kufungwa na Asec huyo ana matatizo ya afya ya akili bila yeye kujijua

Taifa linapambana lifahamike na watu wake wafahamike ,Jitu linafikiria maisha ni Tanzania tu
 
Una miaka mingapi?Linapokuja maswala ya kmataifa tunatetea Taifa

Rais wetu wa nchi hata akitulaza njaa lakini kwenye mambo ya kimataifa tunamtetea tu

Mambo ya simba ,uyanga ,uazam au usingida ni mambo ya ndani na utani wa ndani

Simba akifanya vizuri inahesabika ni Tanzania


Wewe mwenyewe umekiri waarabu hujasema Belouizdad au al Ahly au pyaramid,Umesifia ukanda wao na asili yao ya uarabu

Tunahitaji na sisi waarabu waseme timu za Afrika masharika zinatisha

Kufungwa kwa Yanga au Simba ni kilio kwa Afrika mashariki nzima

Mkuu nyie ndio inabidi muende JKT kwa nguvu mkajifunze maana ya Taifa likiwa vitan

Samia akizomewa ulaya au Mtanzania akipigwa bomu huko Gaza sio swala la ccm au Chadema ni suala la msimamo wa kitaifa kuongea na kukemea

Sasa wewe kama mzazi wako amejikojolea mbele za watu unamcheka kisa alikupiga ukiwa mtoto uende shule utakuwa mpumbavu

Anaesubiri Simba kufungwa na Asec huyo ana matatizo ya afya ya akili bila yeye kujijua

Taifa linapambana lifahamike na watu wake wafahamike ,Jitu linafikiria maisha ni Tanzania tu

Kijana umechaganya Thread au ? Mbona naona hadi mambo ya JKT kwenye Jukwaa la Michezo ??
 
Nilitaka kkujibu kwa hoja ila nilipoona hiyo uchafu uliyoandika hapo juu[emoji115] [emoji124][emoji124]
Ulipaswa kujiuliza kwanini Serikali ilitoa milioni kumi kwa kila goli au mara nyingine milioni tano ,Unafahamu lengo lake ?

Wewe ndie umeandika uchafu sasa,Aliyekujibu ana maanisha huna uzalendo kwa Taifa lako

Watu wajinga mara nyingi wanatumika kisiasa bila wao kujijua

Aliyekujibu anakufundisha lazima utofautishe mambo ya ndani ya nchi na mambo ya nje ya nchi

Mpira kama mpira sio mchezo wa kawaida kama unavyofikiria wewe,Ni mchezo ambao umetumika miaka mingi kupitisha agenda za kisiasa na za kibaguzi kwa kuonyesha Taifa fulani lina watu wengi lakini uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana

Yanga na Simba ,Usifikirie Serikali inapotoa milioni kumi kwa kila goli ni wapumbavu

Nguvu za ushawishi wa Marekani nyingi amezipata kwenye Teknolojia na Ubunifu na anapambana kwenye basket ball kwa kuanzisha na taasisi Afrika kukuza mchezo huo

Ungekuwa na Exposure ya kuishi nje ya nchi hata kwa mwaka ungefeel kinachoongelewa,Ukiwa nje ya nchi yako kumejaa upweke sana na Mechi kama za kimataifa ,Taifa lako likishinda unapata nguvu sana mbele za Raia wengine
 
Ulipaswa kujiuliza kwanini Serikali ilitoa milioni kumi kwa kila goli au mara nyingine milioni tano ,Unafahamu lengo lake ?

Wewe ndie umeandika uchafu sasa,Aliyekujibu ana maanisha huna uzalendo kwa Taifa lako

Watu wajinga mara nyingi wanatumika kisiasa bila wao kujijua

Aliyekujibu anakufundisha lazima utofautishe mambo ya ndani ya nchi na mambo ya nje ya nchi

Mpira kama mpira sio mchezo wa kawaida kama unavyofikiria wewe,Ni mchezo ambao umetumika miaka mingi kupitisha agenda za kisiasa na za kibaguzi kwa kuonyesha Taifa fulani lina watu wengi lakini uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana

Yanga na Simba ,Usifikirie Serikali inapotoa milioni kumi kwa kila goli ni wapumbavu

Nguvu za ushawishi wa Marekani nyingi amezipata kwenye Teknolojia na Ubunifu na anapambana kwenye basket ball kwa kuanzisha na taasisi Afrika kukuza mchezo huo

Ungekuwa na Exposure ya kuishi nje ya nchi hata kwa mwaka ungefeel kinachoongelewa,Ukiwa nje ya nchi yako kumejaa upweke sana na Mechi kama za kimataifa ,Taifa lako likishinda unapata nguvu sana mbele za Raia wengine
Maneno meeeengiiii, tulia dawa iingie
 
Habari wakuu,

Kiufupi nimepokea matokeo haya kwa Furaha iliyotukuka, Nafikiri sasa ni wakati sahihi wa Yule Rais wenu mbea aliyepeleka umbea kwa Rais wa Fifa kwamba Simba imefungwa 5.

Sasa ni wakati sahihi pia amwambie Rais wa Fifa kwamba na Wenyewe wameshikilia Bomba huku pande za Algeria.... Ila bomba lilikuwa la moto sana Limebabua vidole vitatu havitamaniki.

Kesho ni wakati sahihi kwa viongozi wote wa Yanga pamoja na Mashabiki wanunue Madaftar Na Peni pamoja na Rula ndefu ili wapate somo kutoka kwa Simba namna ya Kucheza haya mashindano na Kushinda.

Baada ya Hapo pia itakapofika mechi ya Simba na Wydad mtakaribishwa kwa mkapa ili mjifunze Somo jingine la "Jinsi ya kumdhibiti Mwarabu anapoingia Nyumbani kwako"

Angalizo: Haya mashindano yanaweza kumfukuzisha Kipara Kazi [emoji1787]View attachment 2824045
Zile 5 zinatabia ya kuamsha kichefu chefu,tafuta limao
 
Habari wakuu,

Kiufupi nimepokea matokeo haya kwa Furaha iliyotukuka, Nafikiri sasa ni wakati sahihi wa Yule Rais wenu mbea aliyepeleka umbea kwa Rais wa Fifa kwamba Simba imefungwa 5.

Sasa ni wakati sahihi pia amwambie Rais wa Fifa kwamba na Wenyewe wameshikilia Bomba huku pande za Algeria.... Ila bomba lilikuwa la moto sana Limebabua vidole vitatu havitamaniki.

Kesho ni wakati sahihi kwa viongozi wote wa Yanga pamoja na Mashabiki wanunue Madaftar Na Peni pamoja na Rula ndefu ili wapate somo kutoka kwa Simba namna ya Kucheza haya mashindano na Kushinda.

Baada ya Hapo pia itakapofika mechi ya Simba na Wydad mtakaribishwa kwa mkapa ili mjifunze Somo jingine la "Jinsi ya kumdhibiti Mwarabu anapoingia Nyumbani kwako"

Angalizo: Haya mashindano yanaweza kumfukuzisha Kipara Kazi 🤣View attachment 2824045
😂🤣🤣 Mkuu mimi ndo narudi mda huu toka hapa DagaDAGAA maeneo ya kibo nimekesha nikimwagilia moyo nikifurahi Utopolo akichapika. Qummamae..
 
Una miaka mingapi?Linapokuja maswala ya kmataifa tunatetea Taifa

Rais wetu wa nchi hata akitulaza njaa lakini kwenye mambo ya kimataifa tunamtetea tu

Mambo ya simba ,uyanga ,uazam au usingida ni mambo ya ndani na utani wa ndani

Simba akifanya vizuri inahesabika ni Tanzania


Wewe mwenyewe umekiri waarabu hujasema Belouizdad au al Ahly au pyaramid,Umesifia ukanda wao na asili yao ya uarabu

Tunahitaji na sisi waarabu waseme timu za Afrika masharika zinatisha

Kufungwa kwa Yanga au Simba ni kilio kwa Afrika mashariki nzima

Mkuu nyie ndio inabidi muende JKT kwa nguvu mkajifunze maana ya Taifa likiwa vitan

Samia akizomewa ulaya au Mtanzania akipigwa bomu huko Gaza sio swala la ccm au Chadema ni suala la msimamo wa kitaifa kuongea na kukemea

Sasa wewe kama mzazi wako amejikojolea mbele za watu unamcheka kisa alikupiga ukiwa mtoto uende shule utakuwa mpumbavu

Anaesubiri Simba kufungwa na Asec huyo ana matatizo ya afya ya akili bila yeye kujijua

Taifa linapambana lifahamike na watu wake wafahamike ,Jitu linafikiria maisha ni Tanzania tu
Siyo nyie mnaenda kupokea wapinzani wa Simba linapokuja mechi za kimataifa? Kufika fainali ya kombe la vilaza mlijiona mumemaliza kila kitu.
 
Ulipaswa kujiuliza kwanini Serikali ilitoa milioni kumi kwa kila goli au mara nyingine milioni tano ,Unafahamu lengo lake ?

Wewe ndie umeandika uchafu sasa,Aliyekujibu ana maanisha huna uzalendo kwa Taifa lako

Watu wajinga mara nyingi wanatumika kisiasa bila wao kujijua

Aliyekujibu anakufundisha lazima utofautishe mambo ya ndani ya nchi na mambo ya nje ya nchi

Mpira kama mpira sio mchezo wa kawaida kama unavyofikiria wewe,Ni mchezo ambao umetumika miaka mingi kupitisha agenda za kisiasa na za kibaguzi kwa kuonyesha Taifa fulani lina watu wengi lakini uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana

Yanga na Simba ,Usifikirie Serikali inapotoa milioni kumi kwa kila goli ni wapumbavu

Nguvu za ushawishi wa Marekani nyingi amezipata kwenye Teknolojia na Ubunifu na anapambana kwenye basket ball kwa kuanzisha na taasisi Afrika kukuza mchezo huo

Ungekuwa na Exposure ya kuishi nje ya nchi hata kwa mwaka ungefeel kinachoongelewa,Ukiwa nje ya nchi yako kumejaa upweke sana na Mechi kama za kimataifa ,Taifa lako likishinda unapata nguvu sana mbele za Raia wengine
Mnapofungwa nyie ndiyo mnaujua uzalendo? Kumbukeni huu upuuzi mlianza nyie gongowazi na miaka yote mnasugua benchi kimataifa mumekuwa mnaihujumu Simba kuwasaidia wageni wapinzani wa Simba. Tulieni dawa na akili iwaingie fresh.
 
Habari wakuu,

Kiufupi nimepokea matokeo haya kwa Furaha iliyotukuka, Nafikiri sasa ni wakati sahihi wa Yule Rais wenu mbea aliyepeleka umbea kwa Rais wa Fifa kwamba Simba imefungwa 5.

Sasa ni wakati sahihi pia amwambie Rais wa Fifa kwamba na Wenyewe wameshikilia Bomba huku pande za Algeria.... Ila bomba lilikuwa la moto sana Limebabua vidole vitatu havitamaniki.

Kesho ni wakati sahihi kwa viongozi wote wa Yanga pamoja na Mashabiki wanunue Madaftar Na Peni pamoja na Rula ndefu ili wapate somo kutoka kwa Simba namna ya Kucheza haya mashindano na Kushinda.

Baada ya Hapo pia itakapofika mechi ya Simba na Wydad mtakaribishwa kwa mkapa ili mjifunze Somo jingine la "Jinsi ya kumdhibiti Mwarabu anapoingia Nyumbani kwako"

Angalizo: Haya mashindano yanaweza kumfukuzisha Kipara Kazi 🤣View attachment 2824045
Yanga itafuzu kwenda ROBO FAINALI, take it from me
 
Ulipaswa kujiuliza kwanini Serikali ilitoa milioni kumi kwa kila goli au mara nyingine milioni tano ,Unafahamu lengo lake ?

Wewe ndie umeandika uchafu sasa,Aliyekujibu ana maanisha huna uzalendo kwa Taifa lako

Watu wajinga mara nyingi wanatumika kisiasa bila wao kujijua

Aliyekujibu anakufundisha lazima utofautishe mambo ya ndani ya nchi na mambo ya nje ya nchi

Mpira kama mpira sio mchezo wa kawaida kama unavyofikiria wewe,Ni mchezo ambao umetumika miaka mingi kupitisha agenda za kisiasa na za kibaguzi kwa kuonyesha Taifa fulani lina watu wengi lakini uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana

Yanga na Simba ,Usifikirie Serikali inapotoa milioni kumi kwa kila goli ni wapumbavu

Nguvu za ushawishi wa Marekani nyingi amezipata kwenye Teknolojia na Ubunifu na anapambana kwenye basket ball kwa kuanzisha na taasisi Afrika kukuza mchezo huo

Ungekuwa na Exposure ya kuishi nje ya nchi hata kwa mwaka ungefeel kinachoongelewa,Ukiwa nje ya nchi yako kumejaa upweke sana na Mechi kama za kimataifa ,Taifa lako likishinda unapata nguvu sana mbele za Raia wengine
images - 2023-11-25T055235.690.jpeg
 
Utadhani yanga katolewa kwenye mashindano yenyewe kumbe bado ana game 5 mkononi.


Ila sio mbaya, naona mmepata pa kujifarijia
 
Una miaka mingapi?Linapokuja maswala ya kmataifa tunatetea Taifa

Rais wetu wa nchi hata akitulaza njaa lakini kwenye mambo ya kimataifa tunamtetea tu

Mambo ya simba ,uyanga ,uazam au usingida ni mambo ya ndani na utani wa ndani

Simba akifanya vizuri inahesabika ni Tanzania


Wewe mwenyewe umekiri waarabu hujasema Belouizdad au al Ahly au pyaramid,Umesifia ukanda wao na asili yao ya uarabu

Tunahitaji na sisi waarabu waseme timu za Afrika masharika zinatisha

Kufungwa kwa Yanga au Simba ni kilio kwa Afrika mashariki nzima

Mkuu nyie ndio inabidi muende JKT kwa nguvu mkajifunze maana ya Taifa likiwa vitan

Samia akizomewa ulaya au Mtanzania akipigwa bomu huko Gaza sio swala la ccm au Chadema ni suala la msimamo wa kitaifa kuongea na kukemea

Sasa wewe kama mzazi wako amejikojolea mbele za watu unamcheka kisa alikupiga ukiwa mtoto uende shule utakuwa mpumbavu

Anaesubiri Simba kufungwa na Asec huyo ana matatizo ya afya ya akili bila yeye kujijua

Taifa linapambana lifahamike na watu wake wafahamike ,Jitu linafikiria maisha ni Tanzania tu
Hii akili unayo cku zote au ni ya leo baada ya kukandwa
 
Back
Top Bottom