OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wapewe milioni 0 yao na Samia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Furaha yako itakoma leo saa kumi na mbili jioni. Utarejea katika majonzi mazito saanaSio wwe tu Kaka.. nipo nalewa hapa Kitaambaa em tujumuike bills on meh
Nilikua sijui kama kufungwa alafu utaniwe, inauma hivi.
Sitawatania tena simba kama maumivu mnayoyapata ni kama haya niyapatayo mimi leo
Uko vizuri mkuu. Hii ni akili KUBWA Sana[emoji817][emoji3581][emoji122]Una miaka mingapi?Linapokuja maswala ya kmataifa tunatetea Taifa
Rais wetu wa nchi hata akitulaza njaa lakini kwenye mambo ya kimataifa tunamtetea tu
Mambo ya simba ,uyanga ,uazam au usingida ni mambo ya ndani na utani wa ndani
Simba akifanya vizuri inahesabika ni Tanzania
Wewe mwenyewe umekiri waarabu hujasema Belouizdad au al Ahly au pyaramid,Umesifia ukanda wao na asili yao ya uarabu
Tunahitaji na sisi waarabu waseme timu za Afrika masharika zinatisha
Kufungwa kwa Yanga au Simba ni kilio kwa Afrika mashariki nzima
Mkuu nyie ndio inabidi muende JKT kwa nguvu mkajifunze maana ya Taifa likiwa vitan
Samia akizomewa ulaya au Mtanzania akipigwa bomu huko Gaza sio swala la ccm au Chadema ni suala la msimamo wa kitaifa kuongea na kukemea
Sasa wewe kama mzazi wako amejikojolea mbele za watu unamcheka kisa alikupiga ukiwa mtoto uende shule utakuwa mpumbavu
Anaesubiri Simba kufungwa na Asec huyo ana matatizo ya afya ya akili bila yeye kujijua
Taifa linapambana lifahamike na watu wake wafahamike ,Jitu linafikiria maisha ni Tanzania tu
Em tuliza hiyo mikunjoFuraha yako itakoma leo saa kumi na mbili jioni. Utarejea katika majonzi mazito saana
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Nilitimiza haya Maagizo Mkuu.Mkuu muite tu yoyote hapo aliyevaa jezi nyekundu anywe kwa Niaba yangu mi npo mbali huku
Alafu hiki kijamaa siku nikikutana nacho live.. ntakibetua mitama mpk kishangae
Alafu umesahau mechi yao na al ahly sisi al ahly tutakuepo kuwapa kile wana stahiliHabari wakuu,
Kiufupi nimepokea matokeo haya kwa Furaha iliyotukuka, Nafikiri sasa ni wakati sahihi wa Yule Rais wenu mbea aliyepeleka umbea kwa Rais wa Fifa kwamba Simba imefungwa 5.
Sasa ni wakati sahihi pia amwambie Rais wa Fifa kwamba na Wenyewe wameshikilia Bomba huku pande za Algeria.... Ila bomba lilikuwa la moto sana Limebabua vidole vitatu havitamaniki.
Kesho ni wakati sahihi kwa viongozi wote wa Yanga pamoja na Mashabiki wanunue Madaftar Na Peni pamoja na Rula ndefu ili wapate somo kutoka kwa Simba namna ya Kucheza haya mashindano na Kushinda.
Baada ya Hapo pia itakapofika mechi ya Simba na Wydad mtakaribishwa kwa mkapa ili mjifunze Somo jingine la "Jinsi ya kumdhibiti Mwarabu anapoingia Nyumbani kwako"
Angalizo: Haya mashindano yanaweza kumfukuzisha Kipara Kazi 🤣View attachment 2824045