Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Jehovah na Allah ni masanamu tu ya kubuniwa hawana uwezo wowote hawana uwezo kufanya jambo lolote walitungwa tu watu wa zamani hayo ni masanamu Yehovah huyu si ndiio mungu alisema ukoma ni laana yaan hajui ukoma unasababishwa na nini leo watu wakipata ukoma wanaenda hispitali yaan yehovah anazidiwa na watu wa afya na huyo allah hajui hata bindamu anazaliwaje halafu ndio unasema eti yehovah au allha ndio waliumba ulimwengu wakati hawajui hizo sheria za ulimwengu zinafanyaje kazi
Kiufupi allah na yehovah hawana elimu yoyote hawana jipya katika ulimwengu wa huu
 
Kwa mimi naamini mungu yupo ila naanza kupata mashaka yaweza kuwa tumepigwa mwingi
Ulikuwa na sababu yoyote ya kuamini? Umepigwa na nani?

Kama ndio una imani feki za kurithi then umejipiga mwenyewe. Mtafute Mungu binafsi na uhakikishe binafsi kama yupo ama la! Then hutatingishwa na kila mhuni anayesema hakuna Mungu
 
Shida ni kwamba hujui hata unachojaribu kukikosoa. Sanamu la Yehova lilipatikana wapi? Hakuna mahali katika Akeolojia kumwpatikana sanamu la Mungu anaitwa Yehova.

Mwanzoni nilidhani una ujinga kichwani ila sasa nimegundua ni mhuni fulani hivi. Yaaani unaweza kuota ndoto ukaandika as if ni fact. Uache uhuni ndugu yangu haufai!
 
Sasa si uendelee kubaki na imani yako...thread ya nini?

Kuandika kwako thread ni kama huna uhakika na ulichoamua kuamini, hivyo unahitaji uungwaji mkono...
Hajielewi. Imani za kurithi kwa wazazi ni kama mashua mbovu kwenye bahari yenye tufani. Waliomo ndani hawajui kama wataishia wapi. Hawana uhakika na lolote!
 

Yehovah ni jina tu ambalo nyinyi mnasema ndio mungu anakuwaje mungu wakati hana uelewa wowote kuhusu ulimwengu huyu Jehovah katika biblia aliwahi kusema ukoma unasababishwa na laana wakati dunia nzima Leo inajua ukoma unasababishwa na mycobacterium leprae je huoni huyu Jehovah ni mbumbumbu wa mwisho anashindwa vipi na wanasayansi
Je Kati ya mimi na yehova wako nani mjinga ?
 
Cha msingi usitende dhambi,lakin kusali,kwenda kanisani ni mbwembwe tu.

Usiibe
Usiue
Usiseme uongo
Hakikisha humkeri binadamu mwenzio direct
(zingatia haya usiyafanye,utakuwa mtu poa sana)
 
Hii ni hadithi ya kutunga kama zilivyo hadithi nyingine
 
Tatizo unaamini katika Yehova feki, na Biblia feki ya kuhadithiwa. Ni wapi kwenye Biblia inasema ukoma unasababishwa na laana?
Shetani Jr. muongo sana wewe. Shetani Jr. huna adabu unamwita Mungu aliyekuumba mbumbumbu. Kweli wewe una akili sawa kabisa na baba yako katika utapeli, Shetani Sr.
 
Soma kwa makini alichoamini mwanafalsafa "Baruch Spinoza" God is nature, nothing more than that.
 

Mungu kama upepo uwezi huuona ila upo utaona miti na vitu vingine vikitisiswa hiyo wewe uneshiba makande unashindwa kujua hakuna kitu kilichojiumba chenyewe dunia hii ,jua na anga lote limetokea tu from nowhere unataka
 
Roboti zinaundwa na malaika?
 
Nakusikitikia kijana
Jisikitikie wewe na watoto zako kamanda,acha unafiki hapa Kwamba wewe ndio una masikitiko Sana Juu yangu kuliko navyosikitika Kwa kuchelewa kujua Kwamba hekaya za Mungu na ndugu zake kina shetani ni habari za kutungwa tu na Wala hawapo katika uhalisia zaidi ya hoax na uwendawazimu?
 
Rejea mambo ya walawi 13:2 na mambo ya walawi 13:30 kuhusu pigo la ukoma mungu
 
Umembamiza kisawasawa
 
According to his mind, he did the same like you, as you have created the idea of God in your kind. But for him is much better because the nature is seen by your eyes but the idea of God in your mind can't be seen.
 
Hahahahah hatujapishana Sana mkuu huo mwaka 2014 nilikua kidato Cha pili tu na nilikua nimeacha kuamini hayo maswala ya dini mwaka mmoja nyuma nikiwa kidato Cha kwanza tu na nilijikita Sana kusoma maandiko mengi Sana na makabrasha ya kihistoria kuhusu Abrahamic religion pamoja na historia ya Dunia Toka formation ya big bang mpaka mwanzo wa human civilization kiasi Kwamba ilikuja kunigharimu kwenye matokeo ya mwisho kidato Cha nne,
Hua najivunia Kwa kufunguka Na kupevuka mapema Sana Kiasi Kwamba humu watu nikiwaambia now Nina miaka 23 tu hua hawaamini
Hua wanaishia kubabaika tu wanashindwa hata kuniponda Wala kuleta madharau Kwamba ni dogo tu wakati hua tunashare mambo makubwa kabisa wakidhani ni Mzee mwenzao!
😁😁😁
 
How do you trust your reasoning capacity ikiwa, Ubongo huohuo ndio unaokosa majibu, ili hali usipokula ugali siku kadhaa tu unaweza kupoteza fahamu hahaaaa we jamaaa wewe[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].
And this shows how low Iq you are...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…