Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Shida ni kwamba hujui hata unachojaribu kukikosoa. Sanamu la Yehova lilipatikana wapi? Hakuna mahali katika Akeolojia kumwpatikana sanamu la Mungu anaitwa Yehova.

Mwanzoni nilidhani una ujinga kichwani ila sasa nimegundua ni mhuni fulani hivi. Yaaani unaweza kuota ndoto ukaandika as if ni fact. Uache uhuni ndugu yangu haufai!
Yehova Ni shetani wewe
 
Biblia haikusaidii tu kujia sheria za Mungu bali ni muongozo kamili wa namna ya kuishi, yaliyopita, yaliyopo, yanayokuja na maisha baada ya duniani.

Mungu sio ATM kwamba ukibonyeza correct PIN inatoa hela. Mungu ukimtafuta ili uthibitishe hayupo huwezi kumwona. Ni yule amtafutaye kwa bidii, intentionally, ndiye anayemwona!
Biblia ndio muongozo???we vipi wewe
 
Pole kushtuka leo ila hongera kwa kuanza kujitambua haiwezekani mungu awe na jina la Jehovah asili yake kiibrania au aitwe Allah asili yake kiarabu kwanini mji mtakatifu uwe Jerusalem au makka na kwanini biblia itaje makabila 12 ya israel au quran itaje kabila la quraish ukijuliza hayo maswali utakuja kugundua hizi ni tamaduni za watu nasi tulivamia tu mimi niliacha mambo ya dini mwaka 2014 nikiwa na miaka 22 tu niliona ujinga kuamini mauzauza eti katika biblia kuna watu wanageuka chumvi wengine walizaliwa bila ya baba huku Quran watu wanongea na sisimizi yaan vituko vitupu mtu anakaa kuamini vituko hivi
Wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji125][emoji125]
 
Yehova Ni shetani wewe
Shetani ndio husema hivyo ili afiche ukweli. Anyway Yehova hahitaji wewe mimi au mtu mwingine amwamini ili awepo. Yaani Yupo halafu ndio Mungu sasa. Alikuumba na huna cha kufanya. Na kuna siku utakutana naye uso kwa uso. By then hata ujasiri wa kumwita Mungu let alone shetani utakuwa huna.

Angalau utaikumbuka hii post! Hello, wake-up before it's too little late!
 
Shetani ndio husema hivyo ili afiche ukweli. Anyway Yehova hahitaji wewe mimi au mtu mwingine amwamini ili awepo. Yaani Yupo halafu ndio Mungu sasa. Alikuumba na huna cha kufanya. Na kuna siku utakutana naye uso kwa uso. By then hata ujasiri wa kumwita Mungu let alone shetani utakuwa huna.

Angalau utaikumbuka hii post! Hello, wake-up before it's too little late!
Nikuulize swali
MUNGU anaonekana au haonekani??
 
According to his mind, he did the same like you, as you have created the idea of God in your kind. But for him is much better because the nature is seen by your eyes but the idea of God in your mind can't be seen.
So where is the mind?
 
Mpumbavu husema moyoni mwake hakuna Mungu, bible.

Usitazame nje ili uone uwepo wa Mungu
Anzia kwako wewe hapo

Ulipokua haupo, shahawa ya baba yako na yai la mama yako vilivyokutana ukaanza kutengenezwa,
Kwanza ukiwa bonge zito la damu
Baadae ukajishika kwenye mji wa mama yako
Ukakulia humo huku viungo vyako vikijitengeneza ukianza na moyo, then mishipa ya damu, ubongo, na viungo vingine , mifupa yako inayokufanya uweze kuwa na hiyo fremu , sikio, jicho na kila kitu

Ukakua hadi muda ukafika ukaanza uchungu, ukapita kwenye uke wa mama yako!

Umbilical cord ikakatwa ukaanza kunyonya huku hujui unachokifanya!
Kwa sababu hakuna ambaye ana kumbukumbu ya hayo hadi pale wakati unapofika kumbukumbu unapozaliwa na ufahamu kuwepo, Mambo yote haya yakitokea kwa mpangilio wa aina yake!

Ufahamu kuwa wewe siyo hizo hisia ulizoziandika hapo! Ubongo wako ukipewa chakula na moyo wako ukawa hai ndivyo vilivyokufanya uandike hayo!


Pamoja na uhuru uliopewa ukatype bila obvious consequences as of now!


Njoo Nje yako sasa

Tazama hapo ulipo angani wakati wa mchana...
Jua

Je unajua kwamba dunia na ardhi yake ipo angani inaelea!

Unayo hii perception? Kwamba unaweza kwenda Around hii ardhi/ dunia— ile circumnavigation?
Kwamba Gimba hili liitwalo dunia linaelea angani na hawa watu wengi wasioona?!

Je mpangilio huu umejiweka wenyewe!
Je vitu alivyovifanya mwanadamu vimejiweka tu vuu vikawa?

Kama ni ndege ulaya ina design yake, kama ni gari/ pikipiki vilevile.

Hakuna chombo chochote kilichozuka!
Lazima kila chombo kina design yake na designer wake!

Vyombo artificial vina design yake na designer wake ambae ni Mtu

So kupanga ni kuchagua lakini unapowaza kuhusu Mungu ukafikiri hayupo jitazame wewe kwanza—look through you you siyo unamtazama mtu kwa ngozi yake tuu!

Mtazame as a whole and as made of Parts.
Mtazame kwa hilo jicho la kitabibu kama kitu kamili kilicho na parts na Umuone akiwa hai lakini akiwa wa kufa pia.

“See now that I, even I, am he, and there is no god with me: I kill, and I make alive; I wound, and I heal: neither is there any that can deliver out of my hand.” Bible
 
ZABURI 14

Uovu wa watu
(Kwa Mwimbishaji. Zaburi ya Daudi)
1 Wapumbavu hujisemea moyoni:
“Hakuna Mungu.”
Wote wamepotoka kabisa,
wametenda mambo ya kuchukiza;
hakuna hata mmoja atendaye jema!
2Mwenyezi-Mungu anawaangalia wanadamu kutoka mbinguni,
aone kama kuna yeyote mwenye busara,
kama kuna yeyote anayemtafuta Mungu.
3Lakini wote wamekosa,
wote wamepotoka pamoja;
hakuna atendaye mema,
hakuna hata mmoja.
4“Je, hao watendao maovu hawana akili?
Wanawatafuna watu wangu kama mikate;
wala hawanijali mimi Mwenyezi-Mungu.”
5Hapo watashikwa na hofu kubwa,
maana Mungu yu pamoja na waadilifu.
 
Mpumbavu husema moyoni mwake hakuna Mungu, bible.

Usitazame nje ili uone uwepo wa Mungu
Anzia kwako wewe hapo

Ulipokua haupo, shahawa ya baba yako na yai la mama yako vilivyokutana ukaanza kutengenezwa,
Kwanza ukiwa bonge zito la damu
Baadae ukajishika kwenye mji wa mama yako
Ukakulia humo huku viungo vyako vikijitengeneza ukianza na moyo, then mishipa ya damu, ubongo, na viungo vingine , mifupa yako inayokufanya uweze kuwa na hiyo fremu , sikio, jicho na kila kitu

Ukakua hadi muda ukafika ukaanza uchungu, ukapita kwenye uke wa mama yako!

Umbilical cord ikakatwa ukaanza kunyonya huku hujui unachokifanya!
Kwa sababu hakuna ambaye ana kumbukumbu ya hayo hadi pale wakati unapofika kumbukumbu unapozaliwa na ufahamu kuwepo, Mambo yote haya yakitokea kwa mpangilio wa aina yake!

Ufahamu kuwa wewe siyo hizo hisia ulizoziandika hapo! Ubongo wako ukipewa chakula na moyo wako ukawa hai ndivyo vilivyokufanya uandike hayo!


Pamoja na uhuru uliopewa ukatype bila obvious consequences as of now!


Njoo Nje yako sasa

Tazama hapo ulipo angani wakati wa mchana...
Jua

Je unajua kwamba dunia na ardhi yake ipo angani inaelea!

Unayo hii perception? Kwamba unaweza kwenda Around hii ardhi/ dunia— ile circumnavigation?
Kwamba Gimba hili liitwalo dunia linaelea angani na hawa watu wengi wasioona?!

Je mpangilio huu umejiweka wenyewe!
Je vitu alivyovifanya mwanadamu vimejiweka tu vuu vikawa?

Kama ni ndege ulaya ina design yake, kama ni gari/ pikipiki vilevile.

Hakuna chombo chochote kilichozuka!
Lazima kila chombo kina design yake na designer wake!

Vyombo artificial vina design yake na designer wake ambae ni Mtu

So kupanga ni kuchagua lakini unapowaza kuhusu Mungu ukafikiri hayupo jitazame wewe kwanza—look through you you siyo unamtazama mtu kwa ngozi yake tuu!

Mtazame as a whole and as made of Parts.
Mtazame kwa hilo jicho la kitabibu kama kitu kamili kilicho na parts na Umuone akiwa hai lakini akiwa wa kufa pia.

“See now that I, even I, am he, and there is no god with me: I kill, and I make alive; I wound, and I heal: neither is there any that can deliver out of my hand.” Bible
Kinacho sababisha aseme MUNGU hayupo Ni Nini???
 
mimi watu kama nyie huwa nawapa bishara ya kifo, siku si nyingi utakufa mkuu ukizidi sana utaishi miaka 100 baada ya hapo ndio utajua uhalisia..
 
Biblia haikusaidii tu kujia sheria za Mungu bali ni muongozo kamili wa namna ya kuishi, yaliyopita, yaliyopo, yanayokuja na maisha baada ya duniani.

Mungu sio ATM kwamba ukibonyeza correct PIN inatoa hela. Mungu ukimtafuta ili uthibitishe hayupo huwezi kumwona. Ni yule amtafutaye kwa bidii, intentionally, ndiye anayemwona!
Wewe umemuona?
Usiseme kuwa umemuona kwenye ndoa yako, elimu yako na kazi yako.
Kumbuka hiyo simu unayotumia kabuni mtu mwenye akili na wewe usiye na akili ndio unaitumia ukisema umemuona Mungu.
Unanunua gari used ambayo Japan wameipiga marufuku kuwa inachafua mazingira kisha unaenda kanisani kushuhudia matendo makuu ya Mungu kuwa kakupa gari huku umedokoa pesa za kampuni .
 
Hapo ndio huwa mnakosea sana. Yaani maisha baada ya kifo na ukweli uliopo kule ni jukumu lako. Ukikosea hasara si ya Mungu wala si ya hao unaowataka wathibitishe. Hasara ni yako. Kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe.

Kama una akili timamu hakuna mtu ulisubiri akutafutie kazi ili uthibitishe kama kuna kazi. Ulihangaika mwenyewe. Sasa mbona kwenye mambo ya msingi unajilegeza na kusubiri waje "wakuthibitishie"?

Nimalizie na ushauri huu. Mwizi akitaka kukamatwa anajua pa kwenda. Vivyo hivyo anayetaka kuhakikisha uwepo wa Mungu anajua pa kwenda. Endelea kusubiri waje wakuthibitishie...!
Wanakuja kukulaani baada ya kuongea ukweli
 
Back
Top Bottom