Mpumbavu husema moyoni mwake hakuna Mungu, bible.
Usitazame nje ili uone uwepo wa Mungu
Anzia kwako wewe hapo
Ulipokua haupo, shahawa ya baba yako na yai la mama yako vilivyokutana ukaanza kutengenezwa,
Kwanza ukiwa bonge zito la damu
Baadae ukajishika kwenye mji wa mama yako
Ukakulia humo huku viungo vyako vikijitengeneza ukianza na moyo, then mishipa ya damu, ubongo, na viungo vingine , mifupa yako inayokufanya uweze kuwa na hiyo fremu , sikio, jicho na kila kitu
Ukakua hadi muda ukafika ukaanza uchungu, ukapita kwenye uke wa mama yako!
Umbilical cord ikakatwa ukaanza kunyonya huku hujui unachokifanya!
Kwa sababu hakuna ambaye ana kumbukumbu ya hayo hadi pale wakati unapofika kumbukumbu unapozaliwa na ufahamu kuwepo, Mambo yote haya yakitokea kwa mpangilio wa aina yake!
Ufahamu kuwa wewe siyo hizo hisia ulizoziandika hapo! Ubongo wako ukipewa chakula na moyo wako ukawa hai ndivyo vilivyokufanya uandike hayo!
Pamoja na uhuru uliopewa ukatype bila obvious consequences as of now!
Njoo Nje yako sasa
Tazama hapo ulipo angani wakati wa mchana...
Jua
Je unajua kwamba dunia na ardhi yake ipo angani inaelea!
Unayo hii perception? Kwamba unaweza kwenda Around hii ardhi/ dunia— ile circumnavigation?
Kwamba Gimba hili liitwalo dunia linaelea angani na hawa watu wengi wasioona?!
Je mpangilio huu umejiweka wenyewe!
Je vitu alivyovifanya mwanadamu vimejiweka tu vuu vikawa?
Kama ni ndege ulaya ina design yake, kama ni gari/ pikipiki vilevile.
Hakuna chombo chochote kilichozuka!
Lazima kila chombo kina design yake na designer wake!
Vyombo artificial vina design yake na designer wake ambae ni Mtu
So kupanga ni kuchagua lakini unapowaza kuhusu Mungu ukafikiri hayupo jitazame wewe kwanza—look through you you siyo unamtazama mtu kwa ngozi yake tuu!
Mtazame as a whole and as made of Parts.
Mtazame kwa hilo jicho la kitabibu kama kitu kamili kilicho na parts na Umuone akiwa hai lakini akiwa wa kufa pia.
“See now that I, even I, am he, and there is no god with me: I kill, and I make alive; I wound, and I heal: neither is there any that can deliver out of my hand.” Bible