Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Pole sana. Inaonekana unatamani sana ku justify uamuzi wako. Unajua kuwa ulifanya uamuzi feki ndio maana unatumia nguvu nyingi sana kujaribu kuonyesha kwa nini uko rational.

Umeandika ujinga mtupu jambo linaloonyesha haukuacha kuamini kwa sababu ya ushahidi fulani ila uliamua na hivi ni visingizio vya kujiridhisha nafsi.

Kiufupi Jehovah sio Allah na kwa hiyo kila ulichoandika baada ya hapo ni ujinga kama ujinga mwingine!
Jehovah na Allah ni masanamu tu ya kubuniwa hawana uwezo wowote hawana uwezo kufanya jambo lolote walitungwa tu watu wa zamani hayo ni masanamu Yehovah huyu si ndiio mungu alisema ukoma ni laana yaan hajui ukoma unasababishwa na nini leo watu wakipata ukoma wanaenda hispitali yaan yehovah anazidiwa na watu wa afya na huyo allah hajui hata bindamu anazaliwaje halafu ndio unasema eti yehovah au allha ndio waliumba ulimwengu wakati hawajui hizo sheria za ulimwengu zinafanyaje kazi
Kiufupi allah na yehovah hawana elimu yoyote hawana jipya katika ulimwengu wa huu
 
Kwa mimi naamini mungu yupo ila naanza kupata mashaka yaweza kuwa tumepigwa mwingi
Ulikuwa na sababu yoyote ya kuamini? Umepigwa na nani?

Kama ndio una imani feki za kurithi then umejipiga mwenyewe. Mtafute Mungu binafsi na uhakikishe binafsi kama yupo ama la! Then hutatingishwa na kila mhuni anayesema hakuna Mungu
 
Jehovah na Allah ni masanamu tu ya kubuniwa hawana uwezo wowote hawana uwezo kufanya jambo lolote walitungwa tu watu wa zamani hayo ni masanamu Yehovah huyu si ndiio mungu alisema ukoma ni laana yaan hajui ukoma unasababishwa na nini leo watu wakipata ukoma wanaenda hispitali yaan yehovah anazidiwa na watu wa afya na huyo allah hajui hata bindamu anazaliwaje halafu ndio unasema eti yehovah au allha ndio waliumba ulimwengu wakati hawajui hizo sheria za ulimwengu zinafanyaje kazi
Kiufupi allah na yehovah hawana elimu yoyote hawana jipya katika ulimwengu wa huu
Shida ni kwamba hujui hata unachojaribu kukikosoa. Sanamu la Yehova lilipatikana wapi? Hakuna mahali katika Akeolojia kumwpatikana sanamu la Mungu anaitwa Yehova.

Mwanzoni nilidhani una ujinga kichwani ila sasa nimegundua ni mhuni fulani hivi. Yaaani unaweza kuota ndoto ukaandika as if ni fact. Uache uhuni ndugu yangu haufai!
 
Sasa si uendelee kubaki na imani yako...thread ya nini?

Kuandika kwako thread ni kama huna uhakika na ulichoamua kuamini, hivyo unahitaji uungwaji mkono...
Hajielewi. Imani za kurithi kwa wazazi ni kama mashua mbovu kwenye bahari yenye tufani. Waliomo ndani hawajui kama wataishia wapi. Hawana uhakika na lolote!
 
Shida ni kwamba hujui hata unachojaribu kukikosoa. Sanamu la Yehova lilipatikana wapi? Hakuna mahali katika Akeolojia kumwpatikana sanamu la Mungu anaitwa Yehova.

Mwanzoni nilidhani una ujinga kichwani ila sasa nimegundua ni mhuni fulani hivi. Yaaani unaweza kuota ndoto ukaandika as if ni fact. Uache uhuni ndugu yangu haufai!

Yehovah ni jina tu ambalo nyinyi mnasema ndio mungu anakuwaje mungu wakati hana uelewa wowote kuhusu ulimwengu huyu Jehovah katika biblia aliwahi kusema ukoma unasababishwa na laana wakati dunia nzima Leo inajua ukoma unasababishwa na mycobacterium leprae je huoni huyu Jehovah ni mbumbumbu wa mwisho anashindwa vipi na wanasayansi
Je Kati ya mimi na yehova wako nani mjinga ?
 
Cha msingi usitende dhambi,lakin kusali,kwenda kanisani ni mbwembwe tu.

Usiibe
Usiue
Usiseme uongo
Hakikisha humkeri binadamu mwenzio direct
(zingatia haya usiyafanye,utakuwa mtu poa sana)
 
Nilipata kusimuliwa kisa kimoja,

Kuna bwana mmoja alikua akitembea ufukweni huku akitafakari juu imani ya kikristo ya utatu mtakatifu yaani Mungu baba,Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu,huyu bwana aliona kwamba anapigwa haiwezikani Mungu mmoja nafsi tatu.

Ghafla akakutana na katoto kadogo pake yake kakiwa kanafukua mchanga wa ufukweni akavutwa kuongea nacho kwani kalikuwa peke yake pasipo wazazi.

Huyu bwana akakauliza kanafanya nini pale kakiwa peke yake?

Kale katoto kakamjibu kanachimba shimo ili kahamishe maji yote ya bahari kwenye kishimo anachochimba na bahari itakauka kabisa.

Yule bwana akakaambia kale katoto karudi nyumbani kwani haiwezekani kuhamisha maji ya bahari yaenee kwenye kale kashimo.

Kale katoto kakamjibu kwamba uwezo wa kichwa chake ni mdogo Sana kulielewa fumbo la imani la utatu mtakatifu linalo msumbua kulitafakari,vivyo hivyo ataendelea kuona haiwezekani maji ya bahari kuyahamishia kwenye kale kashimo kwani uwezo wa kichwa chake ni mdogo.

Yule bwana akaingiwa hofu dogo amejuaje kwamba yeye anatafakari juu ya utatu mtakatifu.

Kwa bahati mbaya kale katoto kalitoweka kwenye mazingira yakutatanisha.

Kwa mafano huu ni dhahiri uwezo wa vichwa vyetu ni mdogo Sana kutafakari na kuelewa habari za uwepo wa Mungu.

Samahani kwakujibu kwa hadithi ndefu chief.
Hii ni hadithi ya kutunga kama zilivyo hadithi nyingine
 
Yehovah ni jina tu ambalo nyinyi mnasema ndio mungu anakuwaje mungu wakati hana uelewa wowote kuhusu ulimwengu huyu Jehovah katika biblia aliwahi kusema ukoma unasababishwa na laana wakati dunia nzima Leo inajua ukoma unasababishwa na mycobacterium leprae je huoni huyu Jehovah ni mbumbumbu wa mwisho anashindwa vipi na wanasayansi
Tatizo unaamini katika Yehova feki, na Biblia feki ya kuhadithiwa. Ni wapi kwenye Biblia inasema ukoma unasababishwa na laana?
Shetani Jr. muongo sana wewe. Shetani Jr. huna adabu unamwita Mungu aliyekuumba mbumbumbu. Kweli wewe una akili sawa kabisa na baba yako katika utapeli, Shetani Sr.
 
Soma kwa makini alichoamini mwanafalsafa "Baruch Spinoza" God is nature, nothing more than that.
 
View attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556

Mungu kama upepo uwezi huuona ila upo utaona miti na vitu vingine vikitisiswa hiyo wewe uneshiba makande unashindwa kujua hakuna kitu kilichojiumba chenyewe dunia hii ,jua na anga lote limetokea tu from nowhere unataka
 
Embu twende polepole Unasema kama "binadamu aliumbwa lazima muumbaji ana muumbaji wake pia maana hiyo ndio kanuni ya maisha katika ulimwwngu wetu!" Kupitia hiyo kauli yako embu tuambie binadamu aliumba/ameumba nini ili tuone kama kweli kila muumbaji anamuumbaji wake
Roboti zinaundwa na malaika?
 
Nakusikitikia kijana
Jisikitikie wewe na watoto zako kamanda,acha unafiki hapa Kwamba wewe ndio una masikitiko Sana Juu yangu kuliko navyosikitika Kwa kuchelewa kujua Kwamba hekaya za Mungu na ndugu zake kina shetani ni habari za kutungwa tu na Wala hawapo katika uhalisia zaidi ya hoax na uwendawazimu?
 
Tatizo unaamini katika Yehova feki, na Biblia feki ya kuhadithiwa. Ni wapi kwenye Biblia inasema ukoma unasababishwa na laana?
Shetani Jr. muongo sana wewe. Shetani Jr. huna adabu unamwita Mungu aliyekuumba mbumbumbu. Kweli wewe una akili sawa kabisa na baba yako katika utapeli, Shetani Sr.
Rejea mambo ya walawi 13:2 na mambo ya walawi 13:30 kuhusu pigo la ukoma mungu
 
Jehovah na Allah ni masanamu tu ya kubuniwa hawana uwezo wowote hawana uwezo kufanya jambo lolote walitungwa tu watu wa zamani hayo ni masanamu Yehovah huyu si ndiio mungu alisema ukoma ni laana yaan hajui ukoma unasababishwa na nini leo watu wakipata ukoma wanaenda hispitali yaan yehovah anazidiwa na watu wa afya na huyo allah hajui hata bindamu anazaliwaje halafu ndio unasema eti yehovah au allha ndio waliumba ulimwengu wakati hawajui hizo sheria za ulimwengu zinafanyaje kazi
Kiufupi allah na yehovah hawana elimu yoyote hawana jipya katika ulimwengu wa huu
Umembamiza kisawasawa
 
According to his mind, he did the same like you, as you have created the idea of God in your kind. But for him is much better because the nature is seen by your eyes but the idea of God in your mind can't be seen.
 
Pole kushtuka leo ila hongera kwa kuanza kujitambua haiwezekani mungu awe na jina la Jehovah asili yake kiibrania au aitwe Allah asili yake kiarabu kwanini mji mtakatifu uwe Jerusalem au makka na kwanini biblia itaje makabila 12 ya israel au quran itaje kabila la quraish ukijuliza hayo maswali utakuja kugundua hizi ni tamaduni za watu nasi tulivamia tu mimi niliacha mambo ya dini mwaka 2014 nikiwa na miaka 22 tu niliona ujinga kuamini mauzauza eti katika biblia kuna watu wanageuka chumvi wengine walizaliwa bila ya baba huku Quran watu wanongea na sisimizi yaan vituko vitupu mtu anakaa kuamini vituko hivi
Hahahahah hatujapishana Sana mkuu huo mwaka 2014 nilikua kidato Cha pili tu na nilikua nimeacha kuamini hayo maswala ya dini mwaka mmoja nyuma nikiwa kidato Cha kwanza tu na nilijikita Sana kusoma maandiko mengi Sana na makabrasha ya kihistoria kuhusu Abrahamic religion pamoja na historia ya Dunia Toka formation ya big bang mpaka mwanzo wa human civilization kiasi Kwamba ilikuja kunigharimu kwenye matokeo ya mwisho kidato Cha nne,
Hua najivunia Kwa kufunguka Na kupevuka mapema Sana Kiasi Kwamba humu watu nikiwaambia now Nina miaka 23 tu hua hawaamini
Hua wanaishia kubabaika tu wanashindwa hata kuniponda Wala kuleta madharau Kwamba ni dogo tu wakati hua tunashare mambo makubwa kabisa wakidhani ni Mzee mwenzao!
😁😁😁
 
View attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556
How do you trust your reasoning capacity ikiwa, Ubongo huohuo ndio unaokosa majibu, ili hali usipokula ugali siku kadhaa tu unaweza kupoteza fahamu hahaaaa we jamaaa wewe[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].
And this shows how low Iq you are...
 
Back
Top Bottom