Hakuna ambaye anatumia akili sahihi na kufikiri kwa usahihi akapinga juu ya uwepo wa Mola muumba na haijawahi kutokea hii.Kwamba una maanisha watu wenye matumizi sahihi ya akili ni wale wanaokubaliana na mungu wako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna ambaye anatumia akili sahihi na kufikiri kwa usahihi akapinga juu ya uwepo wa Mola muumba na haijawahi kutokea hii.Kwamba una maanisha watu wenye matumizi sahihi ya akili ni wale wanaokubaliana na mungu wako?
Sasa inakuwaje unanipotezea muda kujadili jambo ambalo huna ujuzi nalo ?Nijuze
Jenga hoja kwa kile nilichokiandika.Kuna dini gani ambayo unaona inajinasibu kwamba inahitaji wasiokuwa na akili ili kumjua mungu wao?
Hii ni personal perspective, ila ushawahi jiuliza dini zingine kinyume na yako zinakuchukuliaje wewe ambaye unapingana nao?Hakuna ambaye anatumia akili sahihi na kufikiri kwa usahihi akapinga juu ya uwepo wa Mola muumba na haijawahi kutokea hii.
Jifunze kupinga mambo kwa hoja nilichokiandika hakuna anaye weza kukipinga.Hii ni personal perspective, ila ushawahi jiuliza dini zingine kinyume na yako zinakuchukuliaje wewe ambaye unapingana nao?
Zinskuchukulia mtu fulani mwenye akili au zube?
Sasa kipi kinachokufanya uone mtazamo wako kuhusu wasio amini mungu uwe bora zaidi kuliko mitazamo ya dini zingine dhidi yako?
Mpaka hapa ushapoteza muda, kuongea vitu ambavyo hujaombwa uviongeeSasa inakuwaje unanipotezea muda kujadili jambo ambalo huna ujuzi nalo ?
Kwani unaandika peke yako humu?Jenga hoja kwa kile nilichokiandika.
Naona umeanza kuruka ruka sasa, kati yangu mimi na wewe nani ameomba ajuzwe kuhusu tamko "msingi" na nani alikuwa anabisha kuhusu msingi ? Kijana una matatizo ya akili bila shaka.Mpaka hapa ushapoteza muda, kuongea vitu ambavyo hujaombwa uviongee
Nakupa nafasi tena ya kujibu, usipoteze muda
Kwanini tena uhitaji kiweka hoja mezani kujua nani mkweli ilihali umedai ni uhalisia kila mwenye akili anajua?Jifunze kupinga mambo kwa hoja nilichokiandika hakuna anaye weza kukipinga.
Dini nyingine kunichukulia waonavyo wao hilo siyo tatizo ndiyo maana tunaweka hoja mezani na kujadili ili kuona nani mkweli,haya yalianza tangu zama za mitume.
Mkuu kwa nini usivumilie tu ifike 2025 ukagombee tena? Safari hii Unaweza kubahatika hata kwenye teuziView attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.
Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.
Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.
Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.
Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.
Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.
Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.
Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?
Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.
Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.
Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556
Una maana hukuwa unanijibu mimi siyo ?Kwani unaandika peke yako humu?
Wangapi uhalisia hawautaki kwa makusudi ?Kwanini tena uhitaji kiweka hoja mezani kujua nani mkweli ilihali umedai ni uhalisia kila mwenye akili anajua?
Nikikuambia kwamba hata wewe hujui tafsiri ya neno msingi na ndio masna ulipoulizwa hujajibu, utanipinga kwa kipi?Naona umeanza kuruka ruka sasa, kati yangu mimi na wewe nani ameomba ajuzwe kuhusu tamko "msingi" na nani alikuwa anabisha kuhusu msingi ? Kijana una matatizo ya akili bila shaka.
Hiyo sio maana yanguUna maana hukuwa unanijibu mimi siyo ?
Wengi tuWangapi uhalisia hawautaki kwa makusudi ?
Sasa mbona umejikana ?Hiyo sio maana yangu
Sijawahi kupingana na uhalisia sababu akili yangu imesalimika.Wengi tu
Vipi ikiwa nawewe ni mmoja wao?
Kwamba?Sasa mbona umejikana ?
Rejea huko nyuma.Kwamba?