Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

hiyo biblia unaiongelea hvyo kwasababu umezaliwa kwe familia ya kikristu ila km ungezaliwa saudi arabia leo hii ungekuwa muislamu na wala usingeichukulia biblia km unavyoichukulia sasa, lkn pia km ungezaliwa north korea ungekuwa unaamin iman nyngne kabisa kwa ile miungu yao ile na si hizi habari za mungu wa mbinguni, kimsingi km wazungu na waarabu wasingefika huku tungeendelea kuwa na tamaduni zetu na imani zetu za kiloko za mizimu n.k dini

Nashukuru haikua hivyo,
hata hivyo siwezi jua na kusema kwa uhakika (kama usemavyo) ufahamu wangu kuhusu Mungu ungekuaje kama ingekua hivyo ( moja ya hayo mengine). LAKINI kwakuwa sasa nipo hapa, tuendelee kujadili mada. Na hata ukitaka tujadili bila kunukuu Bibilia, ni sawa.
 
maneno meengi jombi Thibitisha kama huyo Mungu wenu yupo acha kutuaminisha kitu ambacho hata Wewe huna uthibitisho Bali hisia zako tu zinakuongoza uamini kipo,
Unapomthibitisha huyo Mungu hatutaki utuletee Quotes za kitabu Cha hekaya za kiyahudi kiyunani na kiarabu Ili kutuaminisha Lete ushahidi proved wa huyo Mungu sio hearsay!
Naona umefanya unachonituhumu nimefanya, hata hivyo tuendelee kwenye uthibitisho bila kunukuu Bibilia.

Moja ya uthibitisho wa bila shaka wa uwepo wa Mungu ni: uwepo wako wewe.
 
Maelezo yote hayo, ila heading umefuta Bible kwenye simu 😂.

Kwani wakati ipo kwenye simu ilikuwa inakuzuia kufanya nini ambacho baada ya kuifuta hiyo app sasa unaweza kukifanya?
 
Wewe unayeijua umeshindwa kuweka hata mstari mmoja kuthibitisha madai yako kuwa Biblia inasema kuwa ukoma chanzo chake ni laana?
Lete mstari acha porojo. Vinginevyo kubali tu umesema uongo Shetani mdogo!

Biblia huwa inazungumza kwa lugha yake mfano ukisikia kikombe katika biblia maana yake nyingine kifo na popote utakapoona neno au kukisikia pigo katika biblia maana yake ni mateso au maangamizo au laana

Ukisoma vizuri katika biblia pigo la ukoma limeandikwa zaidi katika milango kama miwili kitabu cha walawi 13:9 na kumbukumbu la torati 24:8 kupitia taasisi ya international biblical association
"Pigo la ukoma litakapokuwa kwa mtu ndipo ataletwa kwa kuhani"walawi 13:9 na "Angalia katika pigo la ukoma" kumbukumbu la torati 24:8
Hivyo kwa watu wa zamani kupitia Yehovah wa biblia mtu akipata ukoma wanampeleka kwa kuhani amuombee wanajua ukoma ni pigo au laana ya mungu hivyo kuhani atamuombea kwa siku saba ili awe msafi "Mwenyezimungu akawaambia Musa na Aron iwapo mtu yoyote atakuwa na uvimbe au upele kipako mwilini mwake ikadhirihika ni ukoma basi ataletwa kwa kuhani" walawi 13:1

Na kuhani atakumuombea kwa siku saba akimkagua akiona ukoma umepona ataema mtu huyo msafi "Kuhani atamkagua mtu huyo tena siku ya saba na katika uchunguzi wake akiona mtu huyo ugonjwa umefifia atasema msafi"walawi 13:6

Hivyo kwa mujibu wa yehovah ukoma ni laana au pigo ndio maana ukipata ukoma watu wa biblia watakutenga kwakuwa una laana na najisi watakupeleka kwa kuhani je kweli ukoma unasababishwa na laana ya mungu mbona Leo watu wakipata ukoma hawapelekwi kwa kuhani ?

Na akaenda mbali zaidi yehova akaendelea kudanganya watu kupitia biblia kuwa ugonjwa wa tauni na Kifua kikuu pia ni laana na pigo lake hivyo watu wa zamani wa biblia wakiugua kifua kikuu au tauni wanajua ni pigo na laana ya yehova

Kumbukumbu la torati 28:15
"Lakini itakuwa usopotaka kuisikiza sauti ya Bwana,Mungu wako usiyaangalie kuyafanya maagizo yake yote na amri zake nikuagizapo hivi leo ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata"
Kumbukumbu la taurati 28:21-22
"Bwana atakupa laana ya tauni hata atakapokwisha kukuondoa katika nchi uingiao na kuimiliki" kumbukumbu la torati 28:21
"Bwana atakupiga kwa kifua kikuu,na kwa homa ......................." kumbukumbu la torati 28:22

Hivyo kupitia hayo maandiko hapo juu usipofata maagizo ya Yehova mungu huyo atakupa laana nyingi na katika laana hizo utapata laana ya kuugua ugonjwa wa tauni(plague) na kifua kikuu (tuberculosis) hivyo watu wa zamani waliaamini ukkumwa leprosy(ukoma ) na TB(kifua kikuu) na plugue (tauni) basi ujue utakuwa na laana ya mungu kama inavyosema biblia kupitia Yehovah katika kumbukumbu la torati

Je ni kweli ugonjwa wa tauni na TB na ukoma ni laana ya mungu au unasababishwa na bacteria ? Je huyu Yehovah anajua kweli ni mungu au ni wakutungwa na kwakuwa watu wa zamani walikuwa hawana elimu yoyote ya sayansi ndio maana waliamini hayo?
 
Kuamn hakuna mungu wala hakuna pepo na moto ni dalil thnkn capacity yko mzee ndog au unafkir juu juu sana km hakuna mungu mbingu ardh bahar na wanaadam vyt vlitokan na nn kadharka jua na mwez vltokea tu??

Ama kwa kuptia kwko ugm wa maisha na ukiona wngne wananeemeka au kptia kwko uzur wa maisha wngne wnakula msoto ndo dalil kua mungu akuna ulitak pak kila anaeamka akute kilo ya nyama na mchele langon na pesa ya ktmia ndio akil yko inaona hp kungkua na mungu?

Si waislam jpo sio ote ila wachache mungu aliowafungulia ufaham bas wanajua mungu aliumba dunia na anavruzuku vliop ndan lakn kapafnya dunian ni chumba cha mtian kwaiy tuburuzane tudanganyw tuuane ila final ataefaul ataend.

Pepon ataefel ataend moton ucfkr uliumbw tu uje kuoa na kustareh na ndoman ht mitume wameptia kash kash nying na walkua hawana mali na walkua wanaletew malaika na ujumbe kutoka kwa mungu hakn aliomba mal wala anasa kwakua waljua dunia unapta lakn dunian ndio pakutngnzea makaz mema so bro thnk deeply uliumbwa kwa sbb na ndioman mwenyez akasistz sn kutafta elim ili ujtambue ujijue na ujue kwa nn upo hapa.

Quraan aijaandkwa na mtu ila ilishukakwa mtume aliekua ajui kusoma wala kuandka ila waliokalilshwa baad ya kuona wanakufa waliohfadh mfano km vtan au maradh ndpo walipoanza kuifadh kwa kuandka kwny mawe kuta ngoz vzaz viliokuj vkakusanya na kuinakil kwa mfum wa ksas wa vtab
 
Duuuuhhh, akiendelea kupinga basi ana tatizo.
Ukoma laana
TB laana
Tauni laana.
Kipindi hicho matabibu wao hawakuweza kutibu kwakuwa elimu yao ilikuwa finyu.
Sasa matabibu wameweza kuyadhibiti hayo magonjwa

Biblia huwa inazungumza kwa lugha yake mfano ukisikia kikombe katika biblia maana yake nyingine kifo na popote utakapoona neno au kukisikia pigo katika biblia maana yake ni mateso au maangamizo au laana

Ukisoma vizuri katika biblia pigo la ukoma limeandikwa zaidi katika milango kama miwili kitabu cha walawi 13:9 na kumbukumbu la torati 24:8 kupitia taasisi ya international biblical association
"Pigo la ukoma litakapokuwa kwa mtu ndipo ataletwa kwa kuhani"walawi 13:9 na "Angalia katika pigo la ukoma" kumbukumbu la torati 24:8
Hivyo kwa watu wa zamani kupitia Yehovah wa biblia mtu akipata ukoma wanampeleka kwa kuhani amuombee wanajua ukoma ni pigo au laana ya mungu hivyo kuhani atamuombea kwa siku saba ili awe msafi "Mwenyezimungu akawaambia Musa na Aron iwapo mtu yoyote atakuwa na uvimbe au upele kipako mwilini mwake ikadhirihika ni ukoma basi ataletwa kwa kuhani" walawi 13:1

Na kuhani atakumuombea kwa siku saba akimkagua akiona ukoma umepona ataema mtu huyo msafi "Kuhani atamkagua mtu huyo tena siku ya saba na katika uchunguzi wake akiona mtu huyo ugonjwa umefifia atasema msafi"walawi 13:6

Hivyo kwa mujibu wa yehovah ukoma ni laana au pigo ndio maana ukipata ukoma watu wa biblia watakutenga kwakuwa una laana na najisi watakupeleka kwa kuhani je kweli ukoma unasababishwa na laana ya mungu mbona Leo watu wakipata ukoma hawapelekwi kwa kuhani ?

Na akaenda mbali zaidi yehova akaendelea kudanganya watu kupitia biblia kuwa ugonjwa wa tauni na Kifua kikuu pia ni laana na pigo lake hivyo watu wa zamani wa biblia wakiugua kifua kikuu au tauni wanajua ni pigo na laana ya yehova

Kumbukumbu la torati 28:15
"Lakini itakuwa usopotaka kuisikiza sauti ya Bwana,Mungu wako usiyaangalie kuyafanya maagizo yake yote na amri zake nikuagizapo hivi leo ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata"
Kumbukumbu la taurati 28:21-22
"Bwana atakupa laana ya tauni hata atakapokwisha kukuondoa katika nchi uingiao na kuimiliki" kumbukumbu la torati 28:21
"Bwana atakupiga kwa kifua kikuu,na kwa homa ......................." kumbukumbu la torati 28:22

Hivyo kupitia hayo maandiko hapo juu usipofata maagizo ya Yehova mungu huyo atakupa laana nyingi na katika laana hizo utapata laana ya kuugua ugonjwa wa tauni(plague) na kifua kikuu (tuberculosis) hivyo watu wa zamani waliaamini ukkumwa leprosy(ukoma ) na TB(kifua kikuu) na plugue (tauni) basi ujue utakuwa na laana ya mungu kama inavyosema biblia kupitia Yehovah katika kumbukumbu la torati

Je ni kweli ugonjwa wa tauni na TB na ukoma ni laana ya mungu au unasababishwa na bacteria ? Je huyu Yehovah anajua kweli ni mungu au ni wakutungwa na kwakuwa watu wa zamani walikuwa hawana elimu yoyote ya sayansi ndio maana waliamini hayo?
 
Duuuuhhh, akiendelea kupinga basi ana tatizo.
Ukoma laana
TB laana
Tauni laana.
Kipindi hicho matabibu wao hawakuweza kutibu kwakuwa elimu yao ilikuwa finyu.
Sasa matabibu wameweza kuyadhibiti hayo magonjwa
Kweli kabisa ndio maana ukisoma historia vzr pathology iliweza kuelezea hili jambo vzr
Kabla ya evolution ya pathology watu wa zamani waliamni ugonjwa wowote unasababishwa na sprit evil waliamini hivyo kwakuwa matabibu wao walikuwa hawana elimu lkn baada ya kuja pathology ndio watu wakajua
 
Naona wafia dini mnapambana vilivyo..sijui mshindi atakua nani..ila mimi naona sayansi imetoa majibu mengi kwa matatizo ya wanadamu kuliko dini..kwa upande mwingine dini ndio imeua na kutesa mamilion ya watu duniani..na imeleta utengano katika jamii.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mind is within your brain, mind you! When one dies is when the brain stops to function. Is the place where people create God, so God is created by human mind .
 
Naona umefanya unachonituhumu nimefanya, hata hivyo tuendelee kwenye uthibitisho bila kunukuu Bibilia.

Moja ya uthibitisho wa bila shaka wa uwepo wa Mungu ni: uwepo wako wewe.
Uwepo Wangu Mimi hautegemei Uwepo wa huyo Mungu wenu na Wala haijawahi na haitakuja kutokea nikawa na ushirika na kitu ambacho hakipo katika uhalisia!
 
Nashukuru haikua hivyo,
hata hivyo siwezi jua na kusema kwa uhakika (kama usemavyo) ufahamu wangu kuhusu Mungu ungekuaje kama ingekua hivyo ( moja ya hayo mengine). LAKINI kwakuwa sasa nipo hapa, tuendelee kujadili mada. Na hata ukitaka tujadili bila kunukuu Bibilia, ni sawa.
vyovyote vile but point yangu ni kuwa kuamin kwako kuhusu Mungu ni kwakuwa umezaliwa kwe jamii ya wanaoamin hvyo au kusoma habari zake na km si hayo mambo mawili usingejua chochote kuhusu yy coz hamna ila km si kweli basi tuambie ni namna gan ungefaham kuhusu yy,
 
Kuamn hakuna mungu wala hakuna pepo na moto ni dalil thnkn capacity yko mzee ndog au unafkir juu juu sana km hakuna mungu mbingu ardh bahar na wanaadam vyt vlitokan na nn kadharka jua na mwez vltokea tu??
km kila kitu kina muumba je yy mungu aliumbwa na nan? kuokujua hvyo vitu vilikujaje haimaanishi mungu yupo ni vema ukajifunza vilikujaje maana elimu ipo mtandaoni, ni sawa na enzi hizo walipoamini magonjwa yantokn na hasira ya mungu so wakawa busy kutoa sadaka ila leo hii amna anayeamin kuwa malaria chanzo chake ni gadhabu ya mungu, mtu akiumwa anajua nn cha kufny,kimsing mungu anatokea tu pale ambapo kuna jambo halina explanation but watu wakishalielewa hutosikia mtu anasema chanzo ni mungu
 
Biblia huwa inazungumza kwa lugha yake mfano ukisikia kikombe katika biblia maana yake nyingine kifo na popote utakapoona neno au kukisikia pigo katika biblia maana yake ni mateso au maangamizo au laana

Ukisoma vizuri katika biblia pigo la ukoma limeandikwa zaidi katika milango kama miwili kitabu cha walawi 13:9 na kumbukumbu la torati 24:8 kupitia taasisi ya international biblical association
"Pigo la ukoma litakapokuwa kwa mtu ndipo ataletwa kwa kuhani"walawi 13:9 na "Angalia katika pigo la ukoma" kumbukumbu la torati 24:8
Hivyo kwa watu wa zamani kupitia Yehovah wa biblia mtu akipata ukoma wanampeleka kwa kuhani amuombee wanajua ukoma ni pigo au laana ya mungu hivyo kuhani atamuombea kwa siku saba ili awe msafi "Mwenyezimungu akawaambia Musa na Aron iwapo mtu yoyote atakuwa na uvimbe au upele kipako mwilini mwake ikadhirihika ni ukoma basi ataletwa kwa kuhani" walawi 13:1

Na kuhani atakumuombea kwa siku saba akimkagua akiona ukoma umepona ataema mtu huyo msafi "Kuhani atamkagua mtu huyo tena siku ya saba na katika uchunguzi wake akiona mtu huyo ugonjwa umefifia atasema msafi"walawi 13:6

Hivyo kwa mujibu wa yehovah ukoma ni laana au pigo ndio maana ukipata ukoma watu wa biblia watakutenga kwakuwa una laana na najisi watakupeleka kwa kuhani je kweli ukoma unasababishwa na laana ya mungu mbona Leo watu wakipata ukoma hawapelekwi kwa kuhani ?

Na akaenda mbali zaidi yehova akaendelea kudanganya watu kupitia biblia kuwa ugonjwa wa tauni na Kifua kikuu pia ni laana na pigo lake hivyo watu wa zamani wa biblia wakiugua kifua kikuu au tauni wanajua ni pigo na laana ya yehova

Kumbukumbu la torati 28:15
"Lakini itakuwa usopotaka kuisikiza sauti ya Bwana,Mungu wako usiyaangalie kuyafanya maagizo yake yote na amri zake nikuagizapo hivi leo ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata"
Kumbukumbu la taurati 28:21-22
"Bwana atakupa laana ya tauni hata atakapokwisha kukuondoa katika nchi uingiao na kuimiliki" kumbukumbu la torati 28:21
"Bwana atakupiga kwa kifua kikuu,na kwa homa ......................." kumbukumbu la torati 28:22

Hivyo kupitia hayo maandiko hapo juu usipofata maagizo ya Yehova mungu huyo atakupa laana nyingi na katika laana hizo utapata laana ya kuugua ugonjwa wa tauni(plague) na kifua kikuu (tuberculosis) hivyo watu wa zamani waliaamini ukkumwa leprosy(ukoma ) na TB(kifua kikuu) na plugue (tauni) basi ujue utakuwa na laana ya mungu kama inavyosema biblia kupitia Yehovah katika kumbukumbu la torati

Je ni kweli ugonjwa wa tauni na TB na ukoma ni laana ya mungu au unasababishwa na bacteria ? Je huyu Yehovah anajua kweli ni mungu au ni wakutungwa na kwakuwa watu wa zamani walikuwa hawana elimu yoyote ya sayansi ndio maana waliamini hayo?
walikua na elimu kuhusu mazingira yao na vile wanavyoviona km vile dunia jua nyota na mwezi ndio maana ht maandiko yao yametaja sn vitu hivyo, ila km wangekuwa wanajua kuhusu jupiter venus basi leo hii ungekuta vitabu vyetu vimeelezea jinsi mungu alivyoumba dunia jupiter mars na kwann huko amna watu, ht hawa manabii wetu wa siku hizi km wangezaliwa enzi hizo basi leo hii tungkuwa tunawasoma kwe biblia km watakatifu
 
walikua na elimu kuhusu mazingira yao na vile wanavyoviona km vile dunia jua nyota na mwezi ndio maana ht maandiko yao yametaja sn vitu hivyo, ila km wangekuwa wanajua kuhusu jupiter venus basi leo hii ungekuta vitabu vyetu vimeelezea jinsi mungu alivyoumba dunia jupiter mars na kwann huko amna watu, ht hawa manabii wetu wa siku hizi km wangezaliwa enzi hizo basi leo hii tungkuwa tunawasoma kwe biblia km watakatifu
Kwa hiyo ndio waongopee jamii kuwa ukoma na TB na tauni ni laana ya mungu kama jambo hulijui si unasema sijui mbona hata Leo watu wa Leo hatujui vitu vingi na tunakubali na kusema hatujui katika medicine neno idiopathic ni common sana
Shida kwanini walikuwa wanaongopa ktk jambo ambalo hawalijui?
 
Ukisema una uhakika unakuwa una maanisha "uthibitisho" au una tafsiri nyingine ya uhakika inayokinzana na neno hilo nililo suggest hapo?
Kuwa na uhakika ni kutokuwa na shaka.
 
Naona wafia dini mnapambana vilivyo..sijui mshindi atakua nani..ila mimi naona sayansi imetoa majibu mengi kwa matatizo ya wanadamu kuliko dini..kwa upande mwingine dini ndio imeua na kutesa mamilion ya watu duniani..na imeleta utengano katika jamii.

#MaendeleoHayanaChama
Mbona unapambanisha sayansi na dini mkuu? Dini haifanyi kazi ambazo sayansi inajihusisha nazo na wala sayansi haifanyi kazi inazojihuaisha na dini.

Unasema dini imeuwa watu wakati huo huo watu kwa kutumia sayansi ndio wanavumbua misilaha hatari kila leo na zote ni kwa ajiri ya kutumika kwa binaadamu na wenyewe huwa tunasifia kabisa kuwa nchi fulani ni noma ana silaha za kisasa, sasa hapo mkuu tutasema sayansi ni mbaya au ni matumizi mabaya ya sayansi ila dini ndio uonekana mbaya.
 
hiyo biblia unaiongelea hvyo kwasababu umezaliwa kwe familia ya kikristu ila km ungezaliwa saudi arabia leo hii ungekuwa muislamu na wala usingeichukulia biblia km unavyoichukulia sasa, lkn pia km ungezaliwa north korea ungekuwa unaamin iman nyngne kabisa kwa ile miungu yao ile na si hizi habari za mungu wa mbinguni, kimsingi km wazungu na waarabu wasingefika huku tungeendelea kuwa na tamaduni zetu na imani zetu za kiloko za mizimu n.k dini
Ila hizo imani za mizimu si bado zipo au siku hizi hamna tena? Maana waganga bado wapo hadi leo na watu wanaenda sasa imani za mizimu zilifeli wapi?
 
Back
Top Bottom