martinezstavo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 735
- 1,552
Hadithi zote zinazohusu umungu ni hadithi kama zilivyo hadidhi zingine soma ukiwa unahitaji maarifa furani lakin sio kukufunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwako MR ALI mfuta bible tunakusubiri ujibu apa[emoji115]Nimekunote sehem hapo unasema NATURE ndio inatawala? Unaweza kutuambia hiyo nature ninini? tuanzie hapo
Nguvu itamshukia kubwa mnoIngependeza kama Mungu angekuja mwenyewe ajidhihirishe pasi tashwishi na shaka
Nimekunote sehem hapo unasema NATURE ndio inatawala? Unaweza kutuambia hiyo nature ninini? tuanzie hapo
AhahahahaNguvu itamshukia kubwa mno
😂😂mkuuKwa mamlaka ya Yesu natamka nguvu ikushikie.Na utakuwa MTU wa kwanza Ulipo kuona Ukuu wa Mungu.Tubu Leo mambo yako yote yatakuwa sawa futa kauli chafu
Hao wanasayansi walioanzisha neno nature na jinsi inavyofanya kazi watu wa dini mliwaua sana baada ya kuwashinda kwa hoja, lakini ndio wanaotengeneza simu na kutumia mawimbi kurusha mawasiliano sasa unakomenti kwa raha zako, home umeweka tv ya mwanasayansi ambaye kazi yake inathibitika kila leoNimekunote sehem hapo unasema NATURE ndio inatawala? Unaweza kutuambia hiyo nature ninini? tuanzie hapo
Nimeifuta tayariUkiingia play Store Ile app ya Biblia Takatifu ya Kiswahili iliyo kuwa ni maarufu sana saivi siioni. Imefutwa jamani au tatizo nini?
Hujajibu swali nililo kuuliza Hii NATURE unayo zungumzia hapa ninini?Hao wanasayansi walioanzisha neno nature na jinsi inavyofanya kazi watu wa dini mliwaua sana baada ya kuwashinda kwa hoja, lakini ndio wanaotengeneza simu na kutumia mawimbi kurusha mawasiliano sasa unakomenti kwa raha zako, home umeweka tv ya mwanasayansi ambaye kazi yake inathibitika kila leo
Kiranga , ningepnda kusoma comment yako pia katika hili.Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.
Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.
Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?
Unakubali kama wewe ni MJINGA ?Waje hapa wathibitishe tuamini
Kuomba
Mamlaka ya kubariki
Matayo 16;19
Kutamka jambo na litokee kwa mamlaka.
Kama hupati majibu huombi sawa sawa
Matayo 10:1
Amri juu ya magonjwa kutamka jambo
Achilia nguvu iponye(naagiza mamlaka ya kutenda mambo makubwa
Unaweza kuthibitisha kama zilivyo hadithi nyingine ?Hadidhi zote zinazohusu umungu ni hadidhi kama zilivyo hadidhi zingine soma ukiwa unahitaji maarifa furani lakin sio kukufunga
Kwako wewe uthibitisho ili uwe uthibitisho unatakiwa ukidhi vigezo gani ?Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.
Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.
Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.
Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.
Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.
Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.
Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.
Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?
Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.
Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.
Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
Samahani, ni 'hadithi' na siyo hadidhi,Hadidhi zote zinazohusu umungu ni hadidhi kama zilivyo hadidhi zingine soma ukiwa unahitaji maarifa furani lakin sio kukufunga
Hilo swali nitalijibu kwa swali.Hujajibu swali nililo kuuliza Hii NATURE unayo zungumzia hapa ninini?
Mungu yupo tafadhali hafananishi.Pia ni mwenye wivu kamwe hafananishwi.Kamwe usiseme lugha chafu kwake.Tubu sasaHadidhi zote zinazohusu umungu ni hadidhi kama zilivyo hadidhi zingine soma ukiwa unahitaji maarifa furani lakin sio kukufunga
Hadidhi zote zinazohusu umungu ni hadidhi kama zilivyo hadidhi zingine soma ukiwa unahitaji maarifa furani lakin
MR ALI unahitajika tafadhari[emoji115]Hujajibu swali nililo kuuliza Hii NATURE unayo zungumzia hapa ninini?