Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Bora uamini yupo af ukifika usimkute..Kuliko kuamini hayupo mara paap!! Yule paleee sijui itakuaje??
Hata ukiamini Mungu yupo mbona haikuzuii kufanya mambo yoyote unayotaka!???
Binadam aliyekamilika anapaswa kuishi kwa ustaarab flan na utaratibu hata kama haamini Mungu.

Haya sasa umeamua kutoamin, inakusaidia nini??au inakuongezea nini ambacho hukua na fursa kuki parsue...Ulipokua ukiamin, ni kitu gan ulikua unapungukiwa??

Una unaishi kwa kukariri??

Ana mawazo finyu
 
Uzuri Mungu si app kwenye simu. Hata ukimkataa, hana hasara. Mungu si baba yako hata ujifanye unauliza maswali magumu. Unajifanya una maswali magumu kwa sababu wajivunia pumzi uliyonayo sasa. Utakapokuwa wakati pumzi hiyo, utajikojolea au kujinyea kwa hofu kuu, na hapo bado utakuwa hujakutana na huyo Mungu mkuu.
Watu mnaleta vitisho tu hata kuku ukimchinja anapata maumuvi yatokanayo na umauti na siyo kwamba ni maumivu yatokanayo na kutokumjua Mungu.
 
maneno meengi jombi Thibitisha kama huyo Mungu wenu yupo acha kutuaminisha kitu ambacho hata Wewe huna uthibitisho Bali hisia zako tu zinakuongoza uamini kipo,
Unapomthibitisha huyo Mungu hatutaki utuletee Quotes za kitabu Cha hekaya za kiyahudi kiyunani na kiarabu Ili kutuaminisha Lete ushahidi proved wa huyo Mungu sio hearsay!
Mkuu embu tuweke pembeni Biblia na Quran na vitabu vyote vya kiimani. Twende kwa kutumia uelewa tu. Linapozungumzwa neno Mungu je wewe unaelewaje? Je kwa mujibu wako je ulimwengu na vilivyomo ulimwenguni vimetokeaje?
 
Nchi zenye wapagani wengi kama Sweden, Denmark, Ufaransa, Netherlands, Sweden, Japan, Estonia, Czech, China n.k ni mojawapo ya nchi nzuri sana kuishi,zina maendeleo makubwa kwa raia wake wengi, haki za binadamu zinaheshimiwa, mauaji na uhalifu mwingine ni kidogo sana. Nchi zilizo za kidini zaidi duniani ni pamoja na Nigeria, Ethiopia, Bangladesh, India, Tanzania.

Nchi nyingi za Africa, Uarabuni na Latin America zina kiwango cha juu kabisa cha dini ili sio nchi za watu kutamani kwenda kuishi.
Umezungumzia kuhusu Sweden. Waswidi wana kiwango cha juu cha takwimu za watu wanaojiua na ndoa kuvunjika. Serikali ya Sweden inafanya juu chini kuimarisha huduma za ustawi wa jamii na imeonekana kusaidia.
Kita kichongia Sweden kuwa na takwimu za juu kiasi hiki ni huo upagani ambao unapinga watu watu kuishi katika jumuiya.

Dini huunganisha watu katika jumuoya ndogo ndogo na kuleta mshikamano wa kijamii.Angalia pia nchini ambazo zina very low suicide rates kama Syria na Philipines.Hizi ni ni nchi ambaza watu wake ni wacha Mungu.

Mwisho atatafiti mbali mbali zimezihirisha pasipo na mashaka wapagani wengi wapo katika hatari ya kupata shinikizo la juu la damu na kuwa walevi na wavuta sigara kuliko wacha Mungu kitu ambacho kinaweza kuzorotesha afya zao

HITIMISHO: UPAGANI hauna tija kwa maisha ya mwanadamu na ni TAKATATA kwa sababu ya kuhamasisha solitary life ( maisha ya kipeke yako peke yako).
 
Bongo ndoa hazivunjiki sana kwa sababu karibia nusu ya watu wake wanaruhusiwa kuoa zaidi ya mke mmoja na nusu nyingine japo wanatakiwa kuwa na mke mmoja wengi wao wana michepuko/hawara/vimada na wake zao wanajua ila wako tayari kuvumilia. Wanawake wa Sweden hawawezi kukubali hayo kabisa.
Umezungumzia kuhusu Sweden. Waswidi wana kiwango cha juu cha takwimu za watu wanaojiua na ndoa kuvunjika. Serikali ya Sweden inafanya juu chini kuimarisha huduma za ustawi wa jamii na imeonekana kusaidia.
Kita kichongia Sweden kuwa na takwimu za juu kiasi hiki ni huo upagani ambao unapinga watu watu kuishi katika jumuiya.

Dini huunganisha watu katika jumuoya ndogo ndogo na kuleta mshikamano wa kijamii.Angalia pia nchini ambazo zina very low suicide rates kama Syria na Philipines.Hizi ni ni nchi ambaza watu wake ni wacha Mungu.

Mwisho atatafiti mbali mbali zimezihirisha pasipo na mashaka wapagani wengi wapo katika hatari ya kupata shinikizo la juu la damu na kuwa walevi na wavuta sigara kuliko wacha Mungu kitu ambacho kinaweza kuzorotesha afya zao

HITIMISHO: UPAGANI hauna tija kwa maisha ya mwanadamu na ni TAKATATA kwa sababu ya kuhamasisha solitary life ( maisha ya kipeke yako peke yako).
 
Bongo ndoa hazivunjiki sana kwa sababu karibia nusu ya watu wake wanaruhusiwa kuoa zaidi ya mke mmoja na nusu nyingine japo wanatakiwa kuwa na mke mmoja wengi wao wana michepuko/hawara/vimada na wake zao wanajua ila wako tayari kuvumilia. Wanawake wa Sweden hawawezi kukubali hayo kabisa.
Nimeoanisha upagani sugu wa Swden ambao wewe umeukiri na mmomonyoko wa maadili unaopelekea ndoa kuvunjika na watu wengi kujiua kwa kujinyonga mpaka kufa ( kuishi maisha yasiyo na furaha na amani).

Je umekubaliana na mimi kuwa UPAGANI ni TAKATAKA?😳
 
ukijiuliza tu hivi betri liko wapi na anayelichomoa ni nani? basi lazima ujue dunia ina mwenyewe...
 
Amini tu kuwa Mungu yupo, haitakugharimu chochote.

Ukifika huko ukakuta hayupo it's okay.
Hivi mbona huwa watu mnashindwa ku reason? Kwanini umwambie mtu aamini jambo ambalo halipo kisa hofu tu?

Eti ukifika huko ukakuta hayupo it's okay? Ukifika wapi? Nani alikuambieni kuwa ukifa kuna mahali utaenda?

Mkuu mleta mada mimi nakupongeza kwa kujitambua.

Welcome to the Enlightened Club.
 
MUNGU HAYUPO ILA WEWE UPO
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
KAMA MUNGU HAYUPO BASI NA WEWE HAUPO
 
Bora uamini yupo af ukifika usimkute..Kuliko kuamini hayupo mara paap!! Yule paleee sijui itakuaje??
Hata ukiamini Mungu yupo mbona haikuzuii kufanya mambo yoyote unayotaka!???
Binadam aliyekamilika anapaswa kuishi kwa ustaarab flan na utaratibu hata kama haamini Mungu.

Haya sasa umeamua kutoamin, inakusaidia nini??au inakuongezea nini ambacho hukua na fursa kuki parsue...Ulipokua ukiamin, ni kitu gan ulikua unapungukiwa??

Una unaishi kwa kukariri??
Akiwepo bado nitamkaba na maswali ila 99.99% hayupo
 
Walio Anza kudai MUNGU yupo hawakua na din,i
na pili niambie chanzo Cha uhai
Sawa hakuwa na dini ila nachouliza kipi kinakufanya ukubali kuwa walichokisema ni kweli kwamba kuna Mungu na si uongo tu kama ilivyo kwa dini?
 
Umefanya Jambo la maana Sana , Actually ilikuwa umechelewa kuchukua hayo maamuzi. Karibu katika mwanga mkuu
 
View attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556
akina fidel castro,mobutu seseko waliaamini hivyo pia ila mwishoni walikiri Mwenyezi Mungu yupo n
 
Back
Top Bottom