Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Kwako uwepo wa Mungu ni faida kwasababu inakupatia tumaini la kinafki

Pale ambapo mambo yako yameenda vibaya na hutaki kuikubali hali hiyo basi ndio unatumia dhana ya mungu kama comfort kua yeye ndio kapanga si ndio?

Hakuna sababu nyingine shawishi yenye kufanya ukubali Mungu yupo zaidi ya hiyo?
Dogo minyoo ya njaa imekupanda kichwan
 
ACHA KUSHINDANA NA MAKITU YALIYOKUWEPO DUNIANI KABLA BABU WA BABU YAKO HAJAZALIWA,NI HEKIMA KUKAA KIMYA UKASUBIRI SIKU YAKO YA KUTWALIWA HUKO NDIKO UTAKAPO FAHAMU MZEE BABA YUPO AU HAYUPO!

FB_IMG_16423087427710242.jpg
 
Mwendawazimu huamini Kuna Mungu na hajawahi kumuona!
Milembe 255
Huko kutomuona ndio kipimo cha hiyo imani ya uwepo wa Mungu, maana lengo ni kuamini hivyo huwezi kusema et unaamini jua limechomoza kwa sababu umetoka nje saa 7 mchana unaliona.
 
Dini nzuri ni zile za asili ,za babu zetu.haya mengine ni kupotoshana na kutuharibia jamii yetu!! vile walivyokuwa wakiamini baby zetu ndo ,uhalisia wenyewe wa nature!!
 
hapo mtamlaumu bure mtoa mada vitu vingine mpaka ujione mwenyewe ndo utapata uthibitisho wake Kwaiyo mtoa mada anaitaji amuone Mungu bila story za watu wengi ndo ata amini bila ivyo tutakesha hapa kwamba amini kitu chenye ajawai kukiona.
 
hapo mtamlaumu bure mtoa mada vitu vingine mpaka ujione mwenyewe ndo utapata uthibitisho wake Kwaiyo mtoa mada anaitaji amuone Mungu bila story za watu wengi ndo ata amini bila ivyo tutakesha hapa kwamba amini kitu chenye ajawai kukiona.
MUNGU wa kweli haonekani . Labda MUNGU wa Musa na aruni na nabii mikaya ndioe alie onekana.
 
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.

Mungu yupo kwa maandiko matakatifu na yupo kwa matendo makuu yanayotokea kila kuchwao

Siku utakutana na nguvu mbili zinazoshindana; nguvu ya uharibifu na nguvu ya ushindi ndio utathibitisha
 
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
Na wachawi je hawapo?! Ipo siku utatambua uwepo wake, na utakiri bila shuruti.
 
Nchi zenye wapagani wengi kama Sweden, Denmark, Ufaransa, Netherlands, Sweden, Japan, Estonia, Czech, China n.k ni mojawapo ya nchi nzuri sana kuishi,zina maendeleo makubwa kwa raia wake wengi, haki za binadamu zinaheshimiwa, mauaji na uhalifu mwingine ni kidogo sana. Nchi zilizo za kidini zaidi duniani ni pamoja na Nigeria, Ethiopia, Bangladesh, India, Tanzania.

Nchi nyingi za Africa, Uarabuni na Latin America zina kiwango cha juu kabisa cha dini ili sio nchi za watu kutamani kwenda kuishi.
Asante

Pia uwepo wa Mungu hauna athari hasi kwa maisha ya mwanadamu.Sijaona faida ya upagani.Dini huwafanya wanadamu waishi kwa pamoja kwa amani kwa kusaidiana.Upagani shabaha yake ni watu wasiishi kama jumuiya.Katika maisha ya mwanadamu hakuna kitu chema kama kuishi katika jumuiya.

Uliza wapagani huwa wanakutana kujadili kutokuwepo mungu na kushirikiana kijamii? Utaambiwa sisi hatuna makanisa ila huwa tunakutana mitandaoni kumpinga Mungu🙂

Kwa uelewa wangu mdogo ni bora ya FREEMASON kuliko upagani.Yaani upagani ni TAKATAKA
 
Back
Top Bottom