Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

 
Naungana na wewe ...


Hizi dini zimeletwa na watu ili kustaarabisha dunia ,na watu waweze kutawalika kwa urahisi ...

Wamisionari waliokuja kuitawala Africa ndio walileta mambo ya dini ,na lengo ilikuwa kutawala na kuchukua Mali na madini yaliyokuwa yamejaa ,waliona kwa kutumia nguvu itakuwa ngumu ...

Ndio maana bible inakuogopesha kufanga mabaya ,kuiba ,kuzin ,kutamani Mali za watu ....sijui Kuna ziwa la moto ...haya yote ni kufanya wewe uweze kutawalika na wachache weweze kula mema ya nchi huku wengine wakisota ....

Unafikili bila dini Kuna mtu angetawala dunia Wala nchi ,kila mtu angetaka kugawa Mali za nchi hii nusu kwa nusu kibabe ,hakuna huyu ni raisi anakula mishahara minono wa waziri ...lakini kwa vile tumeshalainishwa na dini basi hata tukipigwa Kofi la kushoto wanasema tugeuze na la kulia watuchape...

Kiufupi hakuna mbinguni Wala motoni ,Wala Nini ,ni mbinu za kuwatuliza watu hapa duniani waache ubaya na ukatili ili wajanja waendelee kutawala ...!

Hii dunia ili iweze kutawalika ilitakiwa dini na vitabu kama hivyo vya kuwatisha vianzishwe vinginevyo Mimi nisingeweza kukubali kuona watu Wana pesa Mimi nakufa na njaa lazima ningeenda kuiba na kukaba ,ila kwa vile Toka mwanzo walishanionya kuiba ni dhambi na nitachomwa moto naamua kuacha ...
Wangapi wanajua kuzini ni dhambi tena kubwa ya kwenda kuchomwa moto ila bado wanafanya uzinifu lakini wanaogopa kuiba kwa sababu kuna jela?
 
Uwez kuwa mkristo uliye kamilika ukafuta na kudharau kitabu takatifu

Sioni sababu kuleta hoja huku kujadili maswal ya kiroh na kudhiaki kitabu kitakatifu
 
View attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556
Mkuu umetoa hitimisho ya kutokuwepo kwa Mungu kisa tu umeona vitabu vya kiimani zimeandikwa kwa mikono ya watu na pia vinasema uongo. Je nje ya hivyo vitabu ulishatumia akili na utashi wako kutafakari kwa kina juu ya chanzo cha ulimwengu na vilivyomo ulimwenguni?
 
View attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556
Bora ungekaa kimya tu umezua kisanga
 
View attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556

Kuna application Kwenye simu hutumii Na hujafuta, Na hata hivyo ulikuwa usomi, Hakuna unayemkomoa, you simply stupid....
 
E Yesu ntamtaka kwa mamlaka yako na nguvu zako shusha juu ya MTU huyu Leo.Atambue uwepo wako na umponye
Mkuu mungu alazimishi mtu kumjuwa Wala kumtambua Yuko au hayuko matendo yake makuu Ni kidhibitisho tosha kuwa mleta mada atakuja kutambua ukuu wake ipo siku atakuja kuleta uzi hap kudhibitisha
 
akina fidel castro,mobutu seseko waliaamini hivyo pia ila mwishoni walikiri Mwenyezi Mungu yupo n
Fidel Castro alikuwa ni Mkatoliki mzuri tu, mobutu seseko alikuwa anaamini dini za asili.
 
Kwa uhakika Mungu yupo ila binadamu ndo washapotea kitamboo

Tafakari juu ya maneno yaliyoandikwa kwa vitabu vitakatifu na si vitendo vya wawakilishi ama watumishi wa neno la Mungu
 
View attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556
Binaadamu wote wanaamini Mungu mmoja ili kuweka amani.
 
Asante

Pia uwepo wa Mungu hauna athari hasi kwa maisha ya mwanadamu.Sijaona faida ya upagani.Dini huwafanya wanadamu waishi kwa pamoja kwa amani kwa kusaidiana.Upagani shabaha yake ni watu wasiishi kama jumuiya.Katika maisha ya mwanadamu hakuna kitu chema kama kuishi katika jumuiya.

Uliza wapagani huwa wanakutana kujadili kutokuwepo mungu na kushirikiana kijamii? Utaambiwa sisi hatuna makanisa ila huwa tunakutana mitandaoni kumpinga Mungu🙂

Kwa uelewa wangu mdogo ni bora ya FREEMASON kuliko upagani.Yaani upagani ni TAKATAKA
Athari hasi huzioni au umejitia upofu kimakusudi?


Vita vya kidini (holy war) zinapiganwa na zimepewa kibali na vitabu vinavyodaiwa kua ni vya Mungu, kwako unaona hiyo ni positive?

Kupitia Mungu watu wanajitoa mhanga na kusababishia hadi watu wasio husika na dini yake kufa bila sababu ya msingi

King leopold wa pili huko congo aliuwa mamilion ya watu kupitia vifungu vya biblia, bado hujaona negative impact ya habari za Mungu?
 
We m
View attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556
Leo ndo umetoka usingizini wenzio tulishashtuka toka tukiwa darasa la nn B, hakuna dini ya kweli wala hakuna mungu hizo ni njia za kiupigaji kidiplomasia.
 
Fidel Castro alikuwa ni Mkatoliki mzuri tu, mobutu seseko alikuwa anaamini dini za asili.
wote hao walisoma seminary wakatimuliwa fatilia historia zao utagundua kwanini walikuja kukataa mambo ya Mungu,na baadae wakamrudia
 
maneno meengi jombi Thibitisha kama huyo Mungu wenu yupo acha kutuaminisha kitu ambacho hata Wewe huna uthibitisho Bali hisia zako tu zinakuongoza uamini kipo,
Unapomthibitisha huyo Mungu hatutaki utuletee Quotes za kitabu Cha hekaya za kiyahudi kiyunani na kiarabu Ili kutuaminisha Lete ushahidi proved wa huyo Mungu sio hearsay!
Nakusikitikia kijana
 
View attachment 2099557
Sasa nimeamini kuwa dini ni kwaajili ya maskini na waoga tu.

Mpaka leo hakuna mwanadamu au kitu chochote ikiwemo Mungu alitethibitisha kuwa Mungu yupo.

Kila mtu atakuthibitishia kwa maandiko ambayo yameandikwa kwa mkono wa mtu.

Ukiondoa maandiko hakuna mtu wa dini kukuthibitishia uwepo halisi wa Mungu.

Waislamu kwa kitabu chao watakuthibutishia uwepo wake, Wahindu, Wabudha, Waktisto n.k watakuthibutishia uwepo wa Mungu kwa maandiko na hadithi tu ila hawataweza kukuthibitishia kwa njia nyingine ya reality.

Kwa taabu wanazopata watu duniani ni kama nature ndio inatawala.

Haiwezekani Mungu ambaye wanasema aliupenda ulimwengu aruhusu vita, ubakaji, kuchinjana, kudhulumiana, ufukara, njaa n.k huku hivyo vitu ni vidogo kwake angevikomesha ndani ya sekunde.

Je, Mungu kazidiwa utu na upendo na mwanadamu?

Hii amani na hali ya maendeleo tunayoiona ni fikra na utu wa binadamu kwa ulimwengu.

Binadamu anaunda mabaraza ya kitaifa kupambana na majanga mbalimbali, pasipo na haya mabaraza Dunia isingekalika kabisa kwa idadi hii ya watu ilivyo kwa sasa.

Illusion ndizo zinatawala watu ndio maana kila dini na dhehebu wanajiona kuwa wako sahihi na wana ushahidi kuwa dhehebu lao ndilo sahihi mbele za Mungu na wao tu ndio wataingia mbinguni au peponi.
View attachment 2099556
Huku kunaitwa kupatwa kwa akili
 
Back
Top Bottom