Hii ni typical police state, traffic officer hana uwezo wa kuchukua chochote kutoka kwako, iwe driving license or gari unless kuna tatizo la uhalali wa license au gari ,yaani nchi hii inakatisha tamaa ya kuishi, ninaota hapa hivi itakuaje Botswana 🇧🇼 police waje Tanzania even for 7days wafanye kazi hapa na wa kwetu waende Botswana!,Amina usiamini tutaomba hawa wa Botswana wafanye kazi milele hapa, Botswana cops na wanajeshi wao wapo very smart