Nimegombana na Mke wangu leo mpaka nimeshangaa

Kaka, ndo Mimba yenu ya kwanza?.

Relax bana, Wakati mimba mjamzito anapitia mabadiliko mengi .

Tena Bora wako anashinda nyumban, **** wengine wanawachukia waume zao kwelikweli, hataki hata Umsogelee .

Relax , wee jifanye mjinga... Alafu mbona hamjagombana, majibu yake alokuambia ni sehemu ya madeko ya Hawa Wanawake ,ndivo walivyo , wameumbwa kua na midomoooo
 

Sawa MKUU nimekuelewa
 
Kweli mwache aende kwao usije haribu ulichokivuna best Wala usimkaripie nimaisha tu unayapitia ya baba kijachoo

Sure MKUU sipendi kumkwaza hata yeye anajua lakin now naoma kama ana disrespect frani hivi
 

Sawa Mkuu nimekuelewa
 
Aisee nimeona hili jambo niliweke hapa.
Kila aliyewahi kufanyiwa kioja na Mama Kijacho Ateme nyongo yake hapa.

Moja ya kisa ambacho sitakuja kukisahau ni siku niliyoamshwa usiku wa manane na mke wangu na kuniambia anataka "Bunduki" Khaaa! nilichanganyikiwa sana Bunduki! mimi Mlinzi au Polisi? Au atazaa mtoto Komandoo au mwanajeshi! Alinifanyia fujo tangu saa nane hadi kumi na moja alfajiri.

Mbili Kuna siku Wakati tunashuka kwenye gari nyumbani niliona vipande viwili vya keki za Tsh mia mia ndani ya gari. Mwenzangu alishuka kwemye gari na kwemda moja kwa moja chumbani kulala. Mimi Nikavichukua Vipande vile na kuviweka Jikoni., Kule Akaja dogo mmoja, akavichukua na kula. Baadae alipoamka tukiwa chumbani nikamsikia anasema "ooh nimechoka Hebu ngoja niende nikachukue keki zangu nile"[emoji1787][emoji1787] Nikamwambia "Ooh zile keki nimempa Dogo amekula" Moto ambao tuliwashiwa sijawahi kuuona, Kutafuta suluhu ilibidi niongee na mama mkwe ambembeleze ila wapi![emoji52] Nikafunga safari kwenda kutafuta keki nikakosa zile za mia mia nikanunua za 7500, nilipomletea akazidi kucharuka! Nikakosa simile na kugeuka simba huyoo akanywea na kuanza kula zile huku akizisifia kuwa ni nzuri.

Wadau leteni mambo
 

Mpuuze, itakusaidia sana, tumepita huko dogo unakopita na angalau tungepata ushauri kama huu.
 
Kuna mdada alikuwa mwl.kafundisha Leo kesho yake akaenda kujifungua,alivyopata mimba nyingine miezi 2 tu hawezi chochote,akitembea kidogo miguu yote inavimba Hadi huruma
 
nilikua napenda ugali mbichi na ngisi wa kuchemsha nawajaza maembe tele, maskini baba wa watu anakula akifika kati ananawa ananambia siwezi kula maede, mimi nasogeza sahani naula wote nabeua natafta maji nalala, sjawah kumuamsha usiku wa manane nalilia kitu
 
Mkuu umefanya maamuzi ya kiume zaidi,,,wana akili sana hawa viumbe,,,akupandishie sauti ety then we ujishushe mwanaume nani sasa ndani,,mimba siyo sababu ya yeye kukupandishia, ana yake huyo.

Wanajisahau sana tukishaanza kuwa treat kulingana na hali zao sema tutafika tu MKUU
 

Sawa MKUU nimekuelewa
 
Mh nimesoma comment nimecheka tu kka nakumbuka nilikuwa na soma na kaa kwa kaka yangu shemeji alikuwa mjamzito yey mimba yake ilikuwa siku akijisikia kusafiri anaondoka amwambi mtu

Akiludi ana anafika usiku ana anza njoo na ngazi unampelekea anapanda anaenda safisha fen niny mkiwepo hapo sebleni akishuka anaaza kufoka ukimwambia nikusaidie ataki kaka akiludi anamwambia mwambie mdogo wako awe ananisaidia kazi nachoka

Siku akitibuka anatukasilikia wote sasa wewe hapo ilo tu unataka kumludisha kwao haya angekuwa anakuletea vitmbwi kama hivi ungekaa nae ata nusu saa? Hivi vichache kati ya vingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…