Nimegonganisha mabwana kanisani, nimetoka mzima, wanaume watu wa ajabu sana

Nimegonganisha mabwana kanisani, nimetoka mzima, wanaume watu wa ajabu sana

kuwa Mwanaume Raha Sanaa unachagua Unayemtaka weee kazi Yako kubwa Kutafuta pesa na Nguvu za kiume tu. Wanawake Wao anakwenda na Muda atachugua chagua Mabraza Men Mwisho Wa Siku Anadondoka Kwa Yeyote hapo ndio Unasikia Wanaume Wote Mmbwa
 
Wanaojifanya kuchagua wajinga sana na wengi wanaangalia eti uhandsome angalia tabia ya mtu na akili tu
kuwa Mwanaume Raha Sanaa unachagua Unayemtaka weee kazi Yako kubwa Kutafuta pesa na Nguvu za kiume tu. Wanawake Wao anakwenda na Muda atachugua chagua Mabraza Men Mwisho Wa Siku Anadondoka Kwa Yeyote hapo ndio Unasikia Wanaume Wote Mmbwa
 
Sasa kama wamekuona unaringa sana unataka waendelee kukutafuta wewe kama nani, wanawake wapo wengi kuliko wanaume
Sahivi wanaume mko wengi kuliko wanawake
Kupata mwanamke wa maana sahivi ngumu na ndio wanatafuwa
 
Katika watakufuata si ndio?

Ninachomaanisha ni kwamba wanawake hamna uwanja mpana wa kuchagua kama wanaume mna limit katika hilo yaani kwamba wewe hadi ufuatwe then ndo uchague wa kumkubali katika watakuokufuata tofauti na mwanaume ambae yeye uwanja wa uchaguzi wa yupi amfuate ni mkubwa sana.
Sio kweli
 
kuwa Mwanaume Raha Sanaa unachagua Unayemtaka weee kazi Yako kubwa Kutafuta pesa na Nguvu za kiume tu. Wanawake Wao anakwenda na Muda atachugua chagua Mabraza Men Mwisho Wa Siku Anadondoka Kwa Yeyote hapo ndio Unasikia Wanaume Wote Mmbwa
Skuhizi wadada wana hela kuliko wanaume ujue
 
Majamaa ukute yashakua marafiki yanapeana na madili ya maokoto na weekend yanalewa pamoja huku yanakuongelea halafu yanacheka kinyama kila yakikukumbuka
 
Mrembo: unajua Penny, nimefurahi umeanzisha youtube channel buana, sasa kuna ishu nataka nikupe

Money penny: enhe nambie mrembo

Mrembo: kuna wanaume wawili wananitaka,

Mmoja ni mtu mzima miaka 55 - Mpenzi A
Mwingine kijana miaka 35 - Mpenzi B
Kati ya hawa wawili wote siwaelewi,

Mwanzo Mpenzi A alinifukizia kwa mapenzi yote, baadae spidi ikaisha akapoa kabisa

Mpenzi B alianza kwa spidi sana, kadri nimemkazia akawa bado anataka tuwe wapenzi

Nikawaza sana ,nifanyaje nikaamua wote nikutane nao, nikalengesha waje kanisani wakaja

Mpenzi B akaja wa kwanza amewahi akaanzq kunitongoza wee, nikaona mpenzi B kama ametumwa na mpenzi A

Baada ya kutongozwa kwa dk 20 mpenzi A akaingia akatukuta tunaongea, mimi bila kupaniki nikamkaribisha mpenzi A nikamtambulisha kwa mpenzi B kuwa nae ananipenda na amekuja kunitongoza

Sasa kaeni hapo mniambie nani nimkubali kati yenu wawili

Wakakaa hapo money penny wananiangalia hawaelewi cha kufanya, baada ya dk 10 za kuduwaa, nikainuka nikaondoka kwenda nyumbani,

Mpaka leo nakuadithia hakuna hata mmoja alienitafuta ni wiki ya 3 sasa

Sielewi wanaume wanataka nini? Wanaume watu wa ajabu sana
Yaan mpaka umri huu hajui kama wanaume wanataka uchi
Mrembo: unajua Penny, nimefurahi umeanzisha youtube channel buana, sasa kuna ishu nataka nikupe

Money penny: enhe nambie mrembo

Mrembo: kuna wanaume wawili wananitaka,

Mmoja ni mtu mzima miaka 55 - Mpenzi A
Mwingine kijana miaka 35 - Mpenzi B
Kati ya hawa wawili wote siwaelewi,

Mwanzo Mpenzi A alinifukizia kwa mapenzi yote, baadae spidi ikaisha akapoa kabisa

Mpenzi B alianza kwa spidi sana, kadri nimemkazia akawa bado anataka tuwe wapenzi

Nikawaza sana ,nifanyaje nikaamua wote nikutane nao, nikalengesha waje kanisani wakaja

Mpenzi B akaja wa kwanza amewahi akaanzq kunitongoza wee, nikaona mpenzi B kama ametumwa na mpenzi A

Baada ya kutongozwa kwa dk 20 mpenzi A akaingia akatukuta tunaongea, mimi bila kupaniki nikamkaribisha mpenzi A nikamtambulisha kwa mpenzi B kuwa nae ananipenda na amekuja kunitongoza

Sasa kaeni hapo mniambie nani nimkubali kati yenu wawili

Wakakaa hapo money penny wananiangalia hawaelewi cha kufanya, baada ya dk 10 za kuduwaa, nikainuka nikaondoka kwenda nyumbani,

Mpaka leo nakuadithia hakuna hata mmoja alienitafuta ni wiki ya 3 sasa

Sielewi wanaume wanataka nini? Wanaume watu wa ajabu sana
Mpaka umrii alionao hajui kuwa wanaume wanataka uchi?
 
Back
Top Bottom