Weka picha tuoneπ€£π€£π€£π€£π«ΆπΏ mi nnalo refuuuu la kimeru. si wajua wameru tunayo marefu
Wanawake mnaowatafuta wanaume wako wachache ila wame maji maramoja wako wengiKwa sensa gani hiyo inayosema wanaume tupo wengi kuliko wanawake!??
Embu nipe hiyo sensa ya mwaka gani.
Maana sensa ya mwisho wanawake mpo mara mbili na robo ya wanaume.
UweeKukutetea lakini bado unanisema ..!
Good morning
Ukiona wanakuongelea ujue umewazidi uwezo na akiliMajamaa ukute yashakua marafiki yanapeana na madili ya maokoto na weekend yanalewa pamoja huku yanakuongelea halafu yanacheka kinyama kila yakikukumbuka
Mwanaume - Mbwa - farasi - wote wanatakaga uchi kwa wanawakeYaan mpaka umri huu hajui kama wanaume wanataka uchi
Mpaka umrii alionao hajui kuwa wanaume wanataka uchi?
Amekutana na wanaume wa dar, am man with respect kwanz ahata show up na tukio kama hilo atalichukulia ni dharau kiwango cha lamiMrembo: unajua Penny, nimefurahi umeanzisha youtube channel buana, sasa kuna ishu nataka nikupe
Money penny: enhe nambie mrembo
Mrembo: kuna wanaume wawili wananitaka,
Mmoja ni mtu mzima miaka 55 - Mpenzi A
Mwingine kijana miaka 35 - Mpenzi B
Kati ya hawa wawili wote siwaelewi,
Mwanzo Mpenzi A alinifukizia kwa mapenzi yote, baadae spidi ikaisha akapoa kabisa
Mpenzi B alianza kwa spidi sana, kadri nimemkazia akawa bado anataka tuwe wapenzi
Nikawaza sana ,nifanyaje nikaamua wote nikutane nao, nikalengesha waje kanisani wakaja
Mpenzi B akaja wa kwanza amewahi akaanzq kunitongoza wee, nikaona mpenzi B kama ametumwa na mpenzi A
Baada ya kutongozwa kwa dk 20 mpenzi A akaingia akatukuta tunaongea, mimi bila kupaniki nikamkaribisha mpenzi A nikamtambulisha kwa mpenzi B kuwa nae ananipenda na amekuja kunitongoza
Sasa kaeni hapo mniambie nani nimkubali kati yenu wawili
Wakakaa hapo money penny wananiangalia hawaelewi cha kufanya, baada ya dk 10 za kuduwaa, nikainuka nikaondoka kwenda nyumbani,
Mpaka leo nakuadithia hakuna hata mmoja alienitafuta ni wiki ya 3 sasa
Sielewi wanaume wanataka nini? Wanaume watu wa ajabu sana
Bro mbona unalialiaMleta mada hebu kwanza tuambie unapendelea kutumia kinywaji gani?
Kama ni wine basi sitashangaa kwa hilo igizo ulilowaletea hao wanaume wawili.
Umeshindwa kuwaheshimu, hujaziheshimu hisia zao, mambo yako private ukawapelekea kanisani kwenye mkutano, kwani walikwambia wanahitaji kikao na wewe au wanataka jibu?
Next time wacha wenge, umezingua big time.
Ungesema kuwa wanawake bora wako wachache hapo ungeeleweka.Wanawake mnaowatafuta wanaume wako wachache ila wame maji maramoja wako wengi
Mwanaume wa wap ana majibu kama yako?Amekutana na wanaume wa dar, am man with respect kwanz ahata show up na tukio kama hilo atalichukulia ni dharau kiwango cha lami
Mwenye ubora wake ana haki na maamuzi ya kukubali na kukataaUngesema kuwa wanawake bora wako wachache hapo ungeeleweka.
Ila una uhakika wewe ni miongoni mwa wanawake bora!??
Maana kilicho bora hakiachwi kirahisi.
Hahaha,U handsome umepitwa na wakati skuhizi tunaangalia mboo tu
Aya ila usipende kuongea kauli jumuishi ama kauli hitimishi kiwepesi.Mwenye ubora wake ana haki na maamuzi ya kukubali na kukataa
Wengi wanakataa wanaume
Sio kibamia tuHahaha,
Mnaangalia mb*o ya aina gani mummy?
Yote umeandika hapo ni singeliAya ila usipende kuongea kauli jumuishi ama kauli hitimishi kiwepesi.
Maana mwanaume mchezeaji anajali kuliko mwanaume mwenye upendo.
Pia wanaume humpa mwanamke ubora wa muda tu.
Boxer yangu inafuliwa na wangu, hiyo sio kazi yako.Bro mbona unalialia
Au wewe ndio muhusika?
Povu vepe?
Tukafulie boxer yako?
Ukifunua kichwa utaelewa.Yote umeandika hapo ni singeli
Yani hata maamuzi aliyofanya inaleta doubt ya maturity yake.Boxer yangu inafuliwa na wangu, hiyo sio kazi yako.
Nani aliyekwambia kanisani ndio pahala pa kuwakutanisha wanaokutaka?
Una tatizo upstairs ajabu ndio unauliza wanaume wana shida gani!.
Kanaonekana mapepe halafu nashangaa hao jamaa wameshindwaje kukapata!.Yani hata maamuzi aliyofanya inaleta doubt ya maturity yake.
ππππ
we huogopi?Weka picha tuone