denoo JG
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 2,701
- 9,759
Mleta mada hebu kwanza tuambie unapendelea kutumia kinywaji gani?
Kama ni wine basi sitashangaa kwa hilo igizo ulilowaletea hao wanaume wawili.
Umeshindwa kuwaheshimu, hujaziheshimu hisia zao, mambo yako private ukawapelekea kanisani kwenye mkutano, kwani walikwambia wanahitaji kikao na wewe au wanataka jibu?
Next time wacha wenge, umezingua big time.
Kama ni wine basi sitashangaa kwa hilo igizo ulilowaletea hao wanaume wawili.
Umeshindwa kuwaheshimu, hujaziheshimu hisia zao, mambo yako private ukawapelekea kanisani kwenye mkutano, kwani walikwambia wanahitaji kikao na wewe au wanataka jibu?
Next time wacha wenge, umezingua big time.