Nimegonganisha mabwana kanisani, nimetoka mzima, wanaume watu wa ajabu sana

Nimegonganisha mabwana kanisani, nimetoka mzima, wanaume watu wa ajabu sana

Labda atupatie majibu Money Penny huu ni muda wako wa kuhudumia ndoa? Au muda wa kutupatia simulizi wana JF.
 
Mume mwenzangu kashalala?
Maana mjukuu wa kiume ni Mume ujue🤣🤣🤣
 
Hata wazee tunazipenda , zinatusaidia kuvuta hisia kabla ya . . .
 
Mrembo: unajua Penny, nimefurahi umeanzisha youtube channel buana, sasa kuna ishu nataka nikupe

Money penny: enhe nambie mrembo

Mrembo: kuna wanaume wawili wananitaka,

Mmoja ni mtu mzima miaka 55 - Mpenzi A
Mwingine kijana miaka 35 - Mpenzi B
Kati ya hawa wawili wote siwaelewi,

Mwanzo Mpenzi A alinifukizia kwa mapenzi yote, baadae spidi ikaisha akapoa kabisa

Mpenzi B alianza kwa spidi sana, kadri nimemkazia akawa bado anataka tuwe wapenzi

Nikawaza sana ,nifanyaje nikaamua wote nikutane nao, nikalengesha waje kanisani wakaja

Mpenzi B akaja wa kwanza amewahi akaanzq kunitongoza wee, nikaona mpenzi B kama ametumwa na mpenzi A

Baada ya kutongozwa kwa dk 20 mpenzi A akaingia akatukuta tunaongea, mimi bila kupaniki nikamkaribisha mpenzi A nikamtambulisha kwa mpenzi B kuwa nae ananipenda na amekuja kunitongoza

Sasa kaeni hapo mniambie nani nimkubali kati yenu wawili

Wakakaa hapo money penny wananiangalia hawaelewi cha kufanya, baada ya dk 10 za kuduwaa, nikainuka nikaondoka kwenda nyumbani,

Mpaka leo nakuadithia hakuna hata mmoja alienitafuta ni wiki ya 3 sasa

Sielewi wanaume wanataka nini? Wanaume watu wa ajabu sana
Udipoolewa unaanza kumsumbua mwamposa,shubamiti
 
Mrembo: unajua Penny, nimefurahi umeanzisha youtube channel buana, sasa kuna ishu nataka nikupe

Money penny: enhe nambie mrembo

Mrembo: kuna wanaume wawili wananitaka,

Mmoja ni mtu mzima miaka 55 - Mpenzi A
Mwingine kijana miaka 35 - Mpenzi B
Kati ya hawa wawili wote siwaelewi,

Mwanzo Mpenzi A alinifukizia kwa mapenzi yote, baadae spidi ikaisha akapoa kabisa

Mpenzi B alianza kwa spidi sana, kadri nimemkazia akawa bado anataka tuwe wapenzi

Nikawaza sana ,nifanyaje nikaamua wote nikutane nao, nikalengesha waje kanisani wakaja

Mpenzi B akaja wa kwanza amewahi akaanzq kunitongoza wee, nikaona mpenzi B kama ametumwa na mpenzi A

Baada ya kutongozwa kwa dk 20 mpenzi A akaingia akatukuta tunaongea, mimi bila kupaniki nikamkaribisha mpenzi A nikamtambulisha kwa mpenzi B kuwa nae ananipenda na amekuja kunitongoza

Sasa kaeni hapo mniambie nani nimkubali kati yenu wawili

Wakakaa hapo money penny wananiangalia hawaelewi cha kufanya, baada ya dk 10 za kuduwaa, nikainuka nikaondoka kwenda nyumbani,

Mpaka leo nakuadithia hakuna hata mmoja alienitafuta ni wiki ya 3 sasa

Sielewi wanaume wanataka nini? Wanaume watu wa ajabu sana
Huu ni uongo bwana
 
Mrembo: unajua Penny, nimefurahi umeanzisha youtube channel buana, sasa kuna ishu nataka nikupe

Money penny: enhe nambie mrembo

Mrembo: kuna wanaume wawili wananitaka,

Mmoja ni mtu mzima miaka 55 - Mpenzi A
Mwingine kijana miaka 35 - Mpenzi B
Kati ya hawa wawili wote siwaelewi,

Mwanzo Mpenzi A alinifukizia kwa mapenzi yote, baadae spidi ikaisha akapoa kabisa

Mpenzi B alianza kwa spidi sana, kadri nimemkazia akawa bado anataka tuwe wapenzi

Nikawaza sana ,nifanyaje nikaamua wote nikutane nao, nikalengesha waje kanisani wakaja

Mpenzi B akaja wa kwanza amewahi akaanzq kunitongoza wee, nikaona mpenzi B kama ametumwa na mpenzi A

Baada ya kutongozwa kwa dk 20 mpenzi A akaingia akatukuta tunaongea, mimi bila kupaniki nikamkaribisha mpenzi A nikamtambulisha kwa mpenzi B kuwa nae ananipenda na amekuja kunitongoza

Sasa kaeni hapo mniambie nani nimkubali kati yenu wawili

Wakakaa hapo money penny wananiangalia hawaelewi cha kufanya, baada ya dk 10 za kuduwaa, nikainuka nikaondoka kwenda nyumbani,

Mpaka leo nakuadithia hakuna hata mmoja alienitafuta ni wiki ya 3 sasa

Sielewi wanaume wanataka nini? Wanaume watu wa ajabu sana
Sasa kama wamekuona unaringa sana unataka waendelee kukutafuta wewe kama nani, wanawake wapo wengi kuliko wanaume
 
Na sisi tunachagua tunaempenda
Katika watakufuata si ndio?

Ninachomaanisha ni kwamba wanawake hamna uwanja mpana wa kuchagua kama wanaume mna limit katika hilo yaani kwamba wewe hadi ufuatwe then ndo uchague wa kumkubali katika watakuokufuata tofauti na mwanaume ambae yeye uwanja wa uchaguzi wa yupi amfuate ni mkubwa sana.
 
Back
Top Bottom