Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Nikienda Shaban Robert,Aga Khan Mzizima,sionagi watoto wa kihindi wenye akili mno.Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
Exactly tena Supermarket bidhaa nyingi tu Ni cheapBidhaa za supermarket sio zote ni expensive kuliko za magengeni au kwa mangi. Ondoa hiyo mentality.
Fanya research kidogo kwa bidhaa za vinywaji utaona.
Kanjibhai wote kavu tuHizi jamii za hawa watu Wahindi na Waarabu zimewanyonya sana Watanzania na kuwafanya masikini tena kimyakimya huku wakijifanya nao ni watanzania huku wakichuma na kuiba hapa na mali kuzihamisha.
Kuna haja ya hawa watu kuangaliwa kwa jicho kali na kuwekewa sheria kali ili sasa waishi kama watanzania kweli na sio hiki comedy wanayoifanya.
Yaani uwatimue watu wanasaidia kuwapa kazi watanzania wenzako wenye Elimu na wasiyo na Elimu
Mkuu unataka tukale wapi ukiwafukuza au unataka nasisi tumiliki pesa za majini? Hebu kuwa serious mkuu
Wahindi waliopo hapa ni wachache, na hao wachache asilimia kubwa yao (wote?) wanafanya manyanyaso makubwa kwa ngozi nyeusi. Waliovuka India wanaelezea kiwango kilicho kubuhu cha ubaguzi. Unataka itumike sample gani ya wahindi kuelezea ubaguzi wao?Mkuu tukumbuke tu ya kwamba hawa Wahindi tulonao Bongo ni wachache sana kulinganisha na hao walobaki makwao (india) hivyo kutumia tabia za baadhi yao waliopo hapa nchini ku-generalize na tabia za Wahindi kwa ujumla ni dhulma kuwadhulumu wahindi.
Kwa taarifa yako hawa jamaa ndio wameshikilia uchumi wa nchi hii mfano wakiamua kutoa hela zao zote benki wewe utakosa hata hela ya daladala.Idi Amini aliwafukuza kilichomkuta uchumi ulishuka sana ikafikia ukienda sokoni kununua bidhaa unakwenda na mfuko wa Rambo manoti hakuna mtu anakuvamia Museveni alivyorudi akawarudisha kwa kuwapigia magoti na uchumi wa Uganda uko sawa sasa.
Mmoja wa aliowafukuza Mudhavani akaenda wingereza alivyofika kule akageuka akawa millionea mkubwa sana.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]basi utakuwa uko peke yako dunia nzima wewe ndiyo unalipwa na wahindi mshahara mkubwa.mimi nina bachelor na ninafanya masters now nalipwa laki 6..dogo wa kihindi ana diploma tu hivi vyuo shenzi ya mitaani analipwa $2000.sisi waswahili wote tuliojiriwa na wahindi huwa tunamsemo wetu'wahindi wote ni mbwa tu"kama wanakulipa vzr kuna mawili ama wanakupapasa makalioni ama wanakufanyia michezo ya marehemu kaoge..period.maana ndiyo zao
Ila tusimkatalie sana maana kila mtu kuna anavyoutafsiri mshahara mkubwa.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanampapasaa?
Sintapinga kama mtu atalaumu asilimia fulani ya Wahindi kwa manyanyaso...yaweza kuwa ninkweli.Wahindi waliopo hapa ni wachache, na hao wachache asilimia kubwa yao (wote?) wanafanya manyanyaso makubwa kwa ngozi nyeusi. Waliovuka India wanaelezea kiwango kilicho kubuhu cha ubaguzi. Unataka itumike sample gani ya wahindi kuelezea ubaguzi wao?
Halafu chaajabu uhamiaji kutwa wanakimbizana na waethiopia ila hawa wahamiaji wa kutoka India wanaachwa tu wakitugeuza watumwaKuna haja ya hawa watu kuangaliwa kwa jicho kali na kuwekewa sheria kali ili sasa waishi kama watanzania kweli na sio hiki comedy wanayoifanya.
KWELI , kweli tupu.Hii kitu ina ukweli ama rumous..mana ikifika mchana huwa wanafunga maduka yao.
#MaendeleoHayanaChama
Nyumba za msajili hawakujenga kwa hela zao, zipi? Hizo ni hela walizo tuibia kupitia madini yetu na biashara za ujanja ujanja.Hapo unajiona umeongea bonge la point. Acha chuki na ubinafc kijana, maisha yenyewe ni mafupi mzehe.
Unajua kuwa nyumba za msajili walijenga wahindi kwa hella zao, na serikali ya babu yako nyerere alieko huko kaburini akawanyang'anya!! Ndivyo unavyopenda eeh! Ictoshe baba yako magu nae akafata nyayo za babu yako.
Na sababu kubwa ni kulindwa biashara zao. Tangazo habari za uongo wakati wa uchaguzi usiku wa manane kuwa Chadema imechukua nchi na bahati mbaya mfumo wa mawasiliano ukatike, asubuhi utakuta bendera za CCM zimeshushwa.wahindi wote ni wana ccm damu damu.
ujamaa hautakiwi uwe na ubinafsi au hiyo misingi washaivunjaSiku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
Unahisi kutakufanya kuwa tajiri? Mugabe aliwafukuza wazungu zimbabwe mashamba akawapa waafrika, waafrika wakauza zana za kilimo na mashamba wakashindwa kuyaendesha.Ningekuwa na mamlaka ningechukua ule uamuzi wa Idd Amin kufukuza wahindi woote tena ningetimua na waarabu kabisa.
Hivi wewe house girl wako unamlipa kiasi gani?Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
Kuwa na akili maana yake ni kufanya jambo lako kwa ufanisi na kwa haraka,wahindi wengi ni kweli wana ufanisi na ni watu wa mipango,ndio maana makampuni mengi makubwa duniani yanaajili ma CEO wahindi au wahasibu na mawakili wa kihindi.Tukubali waafrica wengi ni wavivu hususani sisi waswahili.Namba moja sio kweli labda uniambie ni akili ya ujanja ujanja mwingi na kupenda shortcut
Wanavunja milango na kutuibia?! Au kuna namna tunashirikiana nao?! Mkeo akitongozwa akakubali kwenda lodge kuvua chupi,ukigundua utapambana na aliemtongoza mkeo na kumvua chupi?! au uta pambana na mkeo aliekubali kuvua chupi?!Hizi jamii za hawa watu Wahindi na Waarabu zimewanyonya sana Watanzania na kuwafanya masikini tena kimyakimya huku wakijifanya nao ni watanzania huku wakichuma na kuiba hapa na mali kuzihamisha.
Kuna haja ya hawa watu kuangaliwa kwa jicho kali na kuwekewa sheria kali ili sasa waishi kama watanzania kweli na sio hiki comedy wanayoifanya.
Unapambana na aliyesababisha, upambana na mwanamke jamii haiwezi kukuelewa na ilishaandikwa mwanamke ni kiumbe dhaifu.Wanavunja milango na kutuibia?! Au kuna namna tunashirikiana nao?! Mkeo akitongozwa akakubali kwenda lodge kuvua chupi,ukigundua utapambana na aliemtongoza mkeo na kumvua chupi?! au uta pambana na mkeo aliekubali kuvua chupi?!