Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Kuna daktari mhindi, ni mmoja kati ya wale top doctors. Ananunua bidhaa gengeni tena anakwenda mwenyewe na kapu lake. Waswahili walio chini yake wana nunua bidhaa supermarket.
🤣👍
 
Dunia ni Kijiji......

Mhindi na mwarabu aliyezaliwa Tanzania ni raia kama wewe na huna haki uliyomzidi.....

By the way ,wako watanzania wanaoishi na kufanya kazi India na Arabuni!

#KaziIendelee
#NchiKwanzaKablaYaYeyoteNaChochote
#SiempreSSH
 
Kila RACE ina tabia zake.....

Ila.....

Hakuna RACE superb kuliko nyingine.....

#StopRacism
#StopBigotry
#StopRacialDiscrimination
#StopHatredAndInjustice

KAZI IENDELEE
NCHI KWANZA KABLA YA YEYOTE NA CHOCHOTE
 
1. wabahili sana. Nimewahi kushuhudia supermarket mama wa kihindi anaomba kupunguziwa bei, wakati inajulikana bei za bidhaa zinazouzwa supermarket huwa ni fixed.
2. wengi hawana utu. wenye utu labda wale ambao ni waumini wa dini ya kiislamu wa dhehebu la bohora au dhehebu lingine lolote la kiislamu. kukosa utu ndio maana watumishi wao wanapata manyanyaso mbalimbali ikiwemo maslai madogo!
3. Uchafu.
4. Ubaguzi. hawa ndugu zetu ni wabaguzi sana hadi wanabaguana wenyewe kwa wenyewe hasa kama sio watu wa kabila au ukanda mmoja.
5. Urafiki maslai.
 
Mo katimiza ahadi yake ya kutoa mabilioni klabuni, Manara katoa bilioni ngapi, hata ungekuwa wewe usingemuajiri Manara ndani ya klabu yako
Kila mtu ana majukumu yake mule mkuu..

Ila ...Mo kuwekeza pale kwake ni faida..anafanya na kupata mengi kupitia pale...

Manara..mtwana tu pale...
 
Wahindi wabaguzi mno hasa kwa Mtu ambae sio asili yao hasa sisi weusi
 
Kila RACE ina tabia zake.....

Ila.....

Hakuna RACE superb kuliko nyingine.....

#StopRacism
#StopBigotry
#StopRacialDiscrimination
#StopHatredAndInjustice

KAZI IENDELEE
NCHI KWANZA KABLA YA YEYOTE NA CHOCHOTE
Ubaguzi unaujua wewe hapa tunasema kilichopo kiukweli hawa jamaa ukibahatika kufanya kazi kwao au umpate mtu aliefanya kazi kwao utasapoti huu uzi, mwanzo nilizadni wanasem vibaya ila nikadhihirisha mwenyewe,mara mia ufanye kazi kwa mzungu si muhind au mwarabu hutoboi ng'oo
 
Kuna baadhi ya wahindi kujamba hadharani wao sio noma. Anaweza jqmba hata mko boardroom mnafanya kikao. Baadhi wachawi sana. Nilifanya mtihani wa cpa Bunju na mmoja wao aliwekq hirizi zake mezani. Wasimamizi walipomnyang'anya aliacha kufanya pepa mpaka mwisho. Over.
Kwenye kujamba hapo mkuu nakubaliana na wewe halafu hawajishtukii wala nini
 
Ukifanya hvo yata
Sio kweli,wezi wa mali ya umma wote ni ccm na wapo Ikulu,hakuna muhindi,Wala mwarabu,Wezi wa escrow,Richmond hakuna mwarabu,

Kwakuwa wanaka chumba kimoja, hufanya mapenzi mchana muda wa lunch , ndio maana hufunga maduka masaa mwili ya mchana.
98% wamepanga nyumba za shirika la nyumba ambazo hazina chumba kimoja kama unavyosema, saa za mchana wakati wa jua kali huwa wanarudi kuchoma ubani kwa ajili ya Mungu wao jua ili issue za biashara zizidi kwenda vizuri, pia kupata chakula cha mchana kwa kuwa wengi hawaishi mbali na sehemu zao za biashara
 
Na unalipwa ujira kwa mkono wa kushoto
Ukimpa mtu pesa kwa kutumia mkono huo hawezi kuitumia hyo pesa kukuharibia issue zako( kukuroga), lakini pia mkono wa kulia ni wa kupokea tu na wa kushoto ni wa kutoa.
 
Wahindi....niwashirikina balaaa,niwashirikina balaaa,niwashirikina balaaaa..,.......,..,....take it from me hawa jamaaa niwashirikina mnooooooo

Wanafuga sana majini .........
Wanaroga sana usiku kwenye mito ,miti mikubwa n.k

Hela zao wanaweka kwenye chumba special au kabati special tena hawahesabu na huwa kuna Giza Nene na anayeingia kuchukua hizo hela ni MTU mmoja tu katika familiaaa,kiufupi wanaongoza kutoweka pesa benki

Wahindi pia ni wana akili sana za darasani ...nilipata kusoma nao .jamaa ni mwepesi kudaka mambo
Pesa wanaweka bank of india na citi bank na si hz bank zetu
 
Hizi jamii za hawa watu Wahindi na Waarabu zimewanyonya sana Watanzania na kuwafanya masikini tena kimyakimya huku wakijifanya nao ni watanzania huku wakichuma na kuiba hapa na mali kuzihamisha.

Kuna haja ya hawa watu kuangaliwa kwa jicho kali na kuwekewa sheria kali ili sasa waishi kama watanzania kweli na sio hiki comedy wanayoifanya.
Iddi Amini aliliona hili akawatoa nduki mapema Uganda.
 
Back
Top Bottom