Nimegundua idadi kubwa ya Watanzania au Africa tumetumia camera moja kuangalia shuti la Ki Aziz

na hisi umevimbiwa magimbi mabichi
 
Pamoja na usimba wangu niseme tu kweli, lile ni goli halali kabisa halihitaji hata discussion.

Kama Mamelodi angekuwa anacheza na mwarabu naamini lile goli lingekubaliwa, bahati mbaya Yanga inaonekana timu ndogo na uwepo wa Motsepe CAF ndio umewamaliza vyura kabisa.
 
Pale hamna camera za Azam. Hao Azam wenu wanaishia ligi Kuu TU.
 
Tuletee video inayoonyesha limedundia kwenye line. Naamini waliofanya maamuzi kwenye VAR walikutumia ka clip na ndo unachotumia kutuhabarisha
 
Acha upumbavu....
Your browser is not able to display this video.
 
Hebu lete hawa Utoponga angalau watulie.
 
Unaandaa video tena..!! unaitengeneza video yako? Unaipika?
 
Ulikuwa na haraka ya nini ku-post upupu wako. Si ungesubiri umemaliza kuandaa hiyo clip yako ndiyo utume. Hauna hiyo kitu nimekaa pale niitwe mbwa
 
Nipo naandaa video muone kwamba lile si goli ila kwa muda huu. Nimeandika niwatoe wasiwasi wana jangwani na viongozi wenu wa juu, kama Mwana FA na Kimgwagala yule

Ingependeza kama ungeweka uzi wako hapa, tayari ukiwa na hiyo video uliyoiandaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…