Pole sana.... imekuwa kawaida sikuhizi mnarogwa sana.Lakini mi naona hii asilimia kubwa inafanywa na wasipitia elimu na hana kitu cha kumwingizia kipato... Goalkeeper ni wazuri kukuhudumia home lakini ubaya wao ni huo pi
Naamini hivyo mkuuDaaah safi sana wanawake wasomi kua sio walozi.
All the best
Baada ya hapo akuoe wewe? Kwanini unataka kuvunja ndoa ya mwenzako?Adumishe vipi hapo, hapo mke afungishwe virago akamsaidie Baba yake kazi za uganga
Ni pesa hizo anatakaWe unafikiri maana ya kumuweka kwenye kiganja cha mkono inamaanisha nini
ubavu huo ninao mzee baba tena kwa asilimia 100% maana nachokumbuka nilishataka mlima tarakaa sio kwakusa yeye ndo alipigia simu wazee wangu wakanitaka nisifanye hicho kitu wakaja kwangu na kunisihi sana nikaacha ila nafsi yangu aijatulia kabisa l. kiufupi simkubali kwasasa kutokana na tabia za kusikiliza wazee wake tuuUnadhani huyu jamaa ana ubavu wa kumpa talaka mke wake? Alisharogwa zamani we msome utagundua
Ushauri wangu nikwamba, we endelea kurogekaWakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
Humkubali kwa sasa ila baadae utamkubali. Ndo kurogeka kwenyewe hukoubavu huo ninao mzee baba tena kwa asilimia 100% maana nachokumbuka nilishataka mlima tarakaa sio kwakusa yeye ndo alipigia simu wazee wangu wakanitaka nisifanye hicho kitu wakaja kwangu na kunisihi sana nikaacha ila nafsi yangu aijatulia kabisa l. kiufupi simkubali kwasasa kutokana na tabia za kusikiliza wazee wake tuu
Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
Kama anaweza aje, kwanini wewe unataka mwenzako afanywe zezeta?Baada ya hapo akuoe wewe? Kwanini unataka kuvunja ndoa ya mwenzako?
HapanaNi pesa hizo anataka
Uongo mkuu mwanamke akikuroga anakutoa kwenye reli na unakua huna mahusiano mazuri na Wazazi na ndugu zako, Kuna rafiki yangu yeye kao Mwanamke mwenye watoto! sasa jamaa maisha yake yanasikitika siyo kwamba hapati pesa ila sasa akipata pesa anampelekea mke wake yani ata akiokota elf kumi ana mpelekea mkewe na akibet akila pesa ana mpekelea mkewe, cha ajabu sasa yeye ana vaa nguo hizo hizo kila siku na viatu hana, na akipokea mshahara baada ya siku tatu hana pesa, na siyo mlevi wala mzinzi, na simu ya mkononi inamshinda kumiliki yani ata Tecno ya elf 30 kwake ni mtihani kumiliki, yeye simu hana lakini mke wake ana simu, cha ajabu Wazazi wa mke wake akiwa another nao kwenye simu anaongea nao kwa unyenye keep na kuwatumia pesa, Sasa wazazi wake wa kumzaa akiwa anaongea nao sasa ana wakalipia na kwafokea na kuwaambia hana pesa. Vijana tuwe makini kwenye kuoa tunatakiwa tuoe bonti ambaye anatoka kwenye familia isiyo amino kwenda kwa waganga.Mwanamke akikuroga frahi sana ndugu anakupenda hataki huende mbali pia kama mnawatoto pesa zako zipo salama hutaonga malaya hovyooo
Inasikitisha sana....Sasa akikushika na kumpa mahela yeye si anajicheleweshea pia maendeleo ya wanae?Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
Amka hasubuhi na mapema nenda kazini jioni ilitoka kazini kunywa konyag ya KatiWakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
sana ndugu yangu kwani mwanamke kama anaakili hizi za kuamini uchawi uchawi hata kufanya jambo la maana hataweza mwisho wasiku anakua mwanga kweli na pia nawatoto nae najiuliza huyo mtoto akikua nae atakua mlozi sababu kwa asilimia kubwa watoto zetu wanakaa na mama zaoInasikitisha sana....Sasa akikushika na kumpa mahela yeye si anajicheleweshea pia maendeleo ya wanae?
mimi na lala vizuri sana boss wangu nausingzi napata fresh kaabisa ila ni kitu kinaniumiza sana. sababu niliamua kuoa ili nitulie maana nilikua kiwembe sana na nilitafuta mwanamke wakunifaa kwa tabia kumbe nikasahau kua na kabila mtu anaweza kua na dini ila kabila likashikilia ulozi tuu fullHuko ndo kulala huku umefunga jicho moja tu, jicho jingine unamchungulia mkeo usiku kucha asije akakuua, hata chakula chake au akikupa kitu chochote lazima uko na mashaka nacho, usishangae Kuna wanaume wanasinzia ofisini ohoo ni mambo ya hovyo kama hayo.