Katotochamwisho
Member
- Sep 9, 2024
- 22
- 57
- Thread starter
-
- #61
sina muda wa kupanbana nae ninacho jiuliza je itakuaje pale atakapofanikiwa yale anayoyataka maana ulozi upo. je kuna maendeleo ua mwanamke kua juu kwa kila kitu maana lengo lake hata mshahara wangu nikipokea nimpe yeye ajabu sasa ni sina choyo kwake vitu vizuri anapata zawadi anapata na kil anachotakq huwa anapata.Vitu vi 2:
1. Kama umeamua kumuacha mwambie.
2. Kama hutaki mwacha usimwambie.
Ushauri wangu:
Mwache, unaweza shinda vita nachawi, ila kwa nini uache kujitahidi kutafuta upambane na mwanamke?
Kama umegundua anakuroga basi huyo siyo mchawi. Wanaume waliorogwa hata wangewakuta wake zao live wanaliwa na wanaume hawakubali kuwa wanawake wao wana cheat.Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
nimerogwa Mungu ndie amenirinda na huo mrogo sababu jambo lolote baya utalifanyiwa kimazingara Mungu asipopenda likukute halitakukuta kamwe.Kama umegundua anakuroga basi huyo siyo mchawi. Wanaume waliorogwa hata wangewakuta wake zao live wanaliwa na wanaume hawakubali kuwa wanawake wao wana cheat.
Hujarogwa endelea na mkeo
noted broYaani unauliza kabisa ufanyeje ili aache tabia ya kukuroga?. Sio kuachana nae mazima?. Labda kama unataka kuwa ndondocha?. MUNGU amekuonyesha.
Labda nikuambie usichokijua, wanawake wengi wanapowaroga waume zao wanakuwa hawajui matokeo yake,hata wewe hujui matokeo. Ni mganga tu anajua. Mwisho wa siku na yeye anaweza kukikosa mazima anachokurogea. Unaweza kufikia kuwa kama zezeta. Mganga anachokifanya ni kufanya ushinde nyumbani tu kama mke anavyotaka uwe wake peke yake. Matokeo yake utakuwa hufanyi chochote unakuwa unakuwa unashinda nyumbani tu kama zezeta
kwa waganga 98% ni wanawake ,kwa Wachungaji 95% wanawake.sana ndugu yangu kwani mwanamke kama anaakili hizi za kuamini uchawi uchawi hata kufanya jambo la maana hataweza mwisho wasiku anakua mwanga kweli na pia nawatoto nae najiuliza huyo mtoto akikua nae atakua mlozi sababu kwa asilimia kubwa watoto zetu wanakaa na mama zao
watu wengi hujiuliza mara mbili kwenye ndoa sababu tunaona mateso wanayo yapata watoto wanaoishi mbali na wazazi wao au ambao wazazi wao wametengana.Kama kakulisha tayari au bado na mengineyo kimbia kasali.
Kama una Mali atakuwa mapemaaa
Ila umejua si unajua cha kufanya au bado unampenda?
Kama mke ana kibenten kimemshauri huo ujinga je?mwamake mshirikina c wa kuacha aishi...hata maandiko yametanabaishaMwanamke akikuroga frahi sana ndugu anakupenda hataki huende mbali pia kama mnawatoto pesa zako zipo salama hutaonga malaya hovyooo
Anaonekana tu kashaa logwaUnadhani huyu jamaa ana ubavu wa kumpa talaka mke wake? Alisharogwa zamani we msome utagundua
Anakuloga kwa nani, acha imani potofu.Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake.
Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi wake kukataa kwingi kukafanya kukasirikiana baina yangu na baba mkwe nikaomba ushauri kwa mzazi wangu wa kiume akanambie we mruhusu ila nilimueka wazi kuhusu kua na wasi wasi na hio safari.
Nilichokiamua ndio nikadukua simu yake na kuweza kuona kila kinachoendelea ukweli ni mtihani ni anataka anikamate kila kitu atachosema mimi niwe naitikia tu na hata nikipata pesa niwe kama bunyenye nafanya kumpa yeye. yawezekana mungu ndie anae nisaidia mimi niliacha tu afanye kila atakalo na alivorudi alirudi na madawa niliyaona na zengine zimeabdikwa kiarabu kwakua najua kukisoma niliona lengo ya hio karatasi.
Ukweli ninasikitika sana katika hili nikitu kimenifanya hata nakua sina hamu nae kabisa. Je, mnashauri nitumie njia gani kumuelimisha aachane na habari za kuniroga maana kama anafata maneno ya wazee wake ajue kua yeye yupo na familia yake?
Napokea ushauri
Nimecheka sana. Ni kweli (japo siamini uchawi) jamaa atakuwa tayari ametulizwa.Unadhani huyu jamaa ana ubavu wa kumpa talaka mke wake? Alisharogwa zamani we msome utagundua
Kna mtu kasema umeshalogwa, pengine ni kweli. Sasa kama una ushahidi wa wazi kiasi hiki kwa nini usiitishe kikao cha watu wenye busara na kuyaweka yote hadharani? Angalia utakuja kulishwa sumu au uchafu kama kinyesi. Halfu inaonekana hiyo familia uliyooa ni familia mbaya sana. Fikiria pia talaka kama unaona huwezi kuwabadilisha.sina muda wa kupanbana nae ninacho jiuliza je itakuaje pale atakapofanikiwa yale anayoyataka maana ulozi upo. je kuna maendeleo ua mwanamke kua juu kwa kila kitu maana lengo lake hata mshahara wangu nikipokea nimpe yeye ajabu sasa ni sina choyo kwake vitu vizuri anapata zawadi anapata na kil anachotakq huwa anapata.
sina muda wa kupanbana nae ninacho jiuliza je itakuaje pale atakapofanikiwa yale anayoyataka maana ulozi upo. je kuna maendeleo ua mwanamke kua juu kwa kila kitu maana lengo lake hata mshahara wangu nikipokea nimpe yeye ajabu sasa ni sina choyo kwake vitu vizuri anapata zawadi anapata na kil anachotakq huwa anapata.
Asingepata muda wa kuomba ushauri angeshamtimua kitambošNimecheka sana. Ni kweli (japo siamini uchawi) jamaa atakuwa tayari ametulizwa.