Nimegundua mpenzi wangu aliwahi kutoa mimba akiwa chuo

Nimegundua mpenzi wangu aliwahi kutoa mimba akiwa chuo

Kanuni Yangu ni Moja, SITAKUJA kuoa Bikra, Magume Gume Mengine yote nitaoa Ila Bikra hapana. Akiwa Bikra ndio namuacha hivyo.

Katoa Mimba yako au Ya Mwingine? Kama Ya Mwingine kaa kwa Kutulia Huyo ni Mke wa Kuoa Kabisa….. Anakupenda ndio maana Aliona Atoe Angekuwa hakupendi Angezaa na Huyo aliye mpa.

Mengine Muachie Mungu Usimchunguze sana Mwanachuo utakufa kwa Pressure
 
Kanuni Yangu ni Moja, SITAKUJA kuoa Bikra, Magume Gume Mengine yote nitaoa Ila Bikra hapana. Akiwa Bikra ndio namuacha hivyo.

Katoa Mimba yako au Ya Mwingine? Kama Ya Mwingine kaa kwa Kutulia Huyo ni Mke wa Kuoa Kabisa….. Anakupenda ndio maana Aliona Atoe Angekuwa hakupendi Angezaa na Huyo aliye mpa.

Mengine Muachie Mungu Usimchunguze sana Mwanachuo utakufa kwa Pressure
Hapo kwenye aya ya kwanza, naweza kujua kwa nini?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kaka naomba nikupe my expirience kuhusu hili suala la kutoa mimba yaliyonikuta Mimi especially niliyekuwa kwa ndoa..You all can learn pia kupitia mimi

My wife kabla ya kuanza uhusiano nae was a good friend of mine alikuwa na jamaa wake wanadate akapata mimba na akaona si kesi bora aichomoe tena kwa ushauri wa Marafiki na Dada zake yote hiyo ni sababu kuu cha kwanza ni kuogopa wazazi watasemaje..Lakini pili na kubwa jamaa wake alikuwa ana wanawake kama watatno anaotoka nao kwa pamoja na yeye akiwemo..

Mimi huwaga nina mentality ya kupotezea na wengine husema ya kizungu,nikasema yes she made a mistake so siwezi kumhukumu kutokana na alichokifanya as so long as amejifunza..So we started dating kiroho safi bila kuwaza na wala kumkumbushia kuwa ulitoa mimba hata siku moja bali nilikuwa nammind jamaa in a way ila nikapotezea na kusema ajali kazini

Fast foward we started dating na kwa kuwa tulikuwa wote kwenye hustles na tunashirikiana katika utafutaji wote tukaona si busara yeye kupata mimba..so i was very keen kwenye sex kwenye suala zima la kuwithdraw nikiwa nina cum so hakuwahi kuwa na wasiwasi wa mimba during kudate kwetu..

Baada ya miaka miwili na nusu nikaona why not get married kwa mtu ambaye she has been almost perfect kwa vitu vingi sana na ana mapungufu machache..so tukaingia kwa ndoa..Then after six months tukaamua tuanze tafuta mtoto kwa kila namna..Na hapa sasa ndo ikawa Interesting..Jaribu sana kwa kila namna for like a year,ila waapii..I was ready kusubiri na nilikuwa patient sana na niko nae bega kwa bega...Mama yangu Mzazi pia alikuwa na sisi bega kwa bega..baaada ya mwaka kupita akaanza kupata shauku ya kupata mtoto na anatamani kweli kweli Na mimi kwangu ikawa ni hivyo pia..

Tukaanza sasa officially kuhangaika nae kwa kuonyesha kila namna ya support kwake kwenye kutafuta suluhisho la tatizo lake,sihesabii gharama tulizotumia na usumbufu like ni almost around mil 5 kwa kuhangaika kwa madaktari bingwa hapa Dar yote na hata mitishamba ya kila namna..sasa ikawa imepita miaka 3 hadi hivii sasa hatujabahatika kupata mtoto..

Kubwa sasa ni juzi hapa tukaenda kwa Mtumishi mmmoja na kiukweli ingawa mimi haya mambo ya dini siamini lakini kwa kuonyesha support kwa mke tukaenda kwa huyo mtumishi na hapo ndipo ukweli ukadhihirika ambao umebadilisha kila kitu na uelekeo wa ndoa kwa ujumla..

Ilikuwa hivii,Mtumishi akamuuliza anhaa naona umeamua kuja na mume wako na ni jambo zuri sana...akasema ndiyo...Basi mtumishi akamuuliza na ndiyo kwanza anatuona kwa mara ya kwanza..Akauliza swali unahangaika na mnahangaika sana kupata mimba lakini mume wako anajua ukweli..???.Mi nilikuwa chilled na kusema aaaah kama ni kutoa mimba hilo nalijua alitoa mimba yes na niliridhia bila shida...akamuuliza swali jingine ni mimba ngapi ushawahi kutoa...Mi kwa kujiamini nikawa najua ni mmoja ila nikashtushwa na ukimya kwanza wake...Mapigo ya moyo yakaongezeka kwanza kwa sekunde zile 5 alizokaa kimya

Nikajisemea haraka mbona anasita tena..Then nikasikia akimjibu ni tatu(3) daaaaaah aisee nilipigwa na ubaridi pale na hasira zikanijaa lakini nikaact calm kwanza...Nikashusha pumzi lakini nikawa siamini lile jibu kutoka kwake...Na ndiyo ilikuwa muda tunaondoka so tukaingia kwenye gari tukawa tunaondoka eneo tulilokuwepo huku mtumishi akitupa lift..Nilibadilika ghafla nikawa nasikia baridi na kutetemeka kwa hasira sana sana...sijawahi kuwa na hasira toka nimezaliwa kama ile siku..

Tukashuka mtumishi akatuacha mitaa mitaaa.Akawa ananiangalia asielewe anaongea nini...Tulivyokuwa kituoni swali la kwanza nikamuuliza like why uliamua kujifanyia hivii kwa mwili wako and la pili nikamuuliza why did you choose to hurt me katika namna hii...I was so very hurt kiasi cha kwamba nimeapa sitofikia ile hatua kuumia namna ile..Tukapanda Daladala kuelekea mitaa yetu ya nyumbani lakini kwenye daladala natetemeka nina hasira sana na ninachokitamani ni kuvunja vioo vya gari kwa ngumi ili nitulize tuu hasira...huwaga niko hivyo,nikivunja kitu ni bora zaidi kwa kuwa siwezagi kupiga...Maana ninaweza mchakaza mtu na nikaishia pabaya...

Fast foward tukashuka kwa Daladala tukatembea kama dakika moja hivii,Nilimtikisa vya kutosha bila kumpiga hata maana ningeweza kumuharibu kwa namna ninavyojua mimi...Nilimshika sana na kumtikisa huku ninalia kama mtoto mdogo na kumuuliza kwa nini aliamua kufanya hayo na kunisababishia pia kupitia a lot of problems kwenye marriege huku labda tungeju Intensity ya tatizo mapema ningekuwa tayari kupambana nae kama ningeweza maana kama niliweza kukubaliana kuwa nae kwenye mahusiano huku nikijua alifanya abortion tayari angeweza kunijali enough kunieleza ukweli na si kunificha kama kweli she really cared about me as much as nilimpenda yeye bila conditions

Asee nililia sana bila kujua namfanyaje pale,she was also crying kusema kuwa aliogopa kutokana na hiyo Idadi na nisingemuelewa lakini nikamwambia hukusaidia na ona tunaingia kwa matatizo ilihali intensity ya tatizo analijua yeye..Kiukweli nilikuwa down sana and so devastated..Tulikaaa njiani kwa almost 1hour wote soaking in tears na niko na hasira sana...Tukaelekea nyumbani,kilichoendelea ni kuvunja vikombe kwa hasira na kioo cha chumbani cha kujiangalia.....

Niseme tuu ni expirience katili sana niliyowahi kupitia maishani mwangu so far ila imenifunza sana,Bottom line nimemsamehe whole heartedly ila mambo hayako the same tena..Vingi vimebadilika lakini unajifunza kumove on na kuendelea...Good thing hata hospital walisema she can still conceive sema uvumilivu tuu,Nimempa chances lakini kiukweli kuna conditions nyingi sana...

Yote ya yote jifunze kupitia kisa changu,na wengine mnaotetea mtaelewa kutokana na yaliyonikuta mimi...nitakuwepo kujibu maswali yote ambayo pia mnaweza kuwa nayo...
Kwanza Hongera kwa Kuwa na Akili ya kuona bila hisia ( maamuzi yako ya Mwanzo )
Pili pole kwa yaliyotokea.
Swali langu ni vipi kama Angeweza kupata mtoto na baadae ukaja kugundua haya mengine Ungechukua Uamuzi gani?
 
Ukiangalia huu mjadala kwa umakini wanawake ndio wanamtetea huyu Malaya mwenzao
Wapo pia wanaume mashoga wanaongozana nao,just imagine mwanaume kabisa kabisa na pumbu zinamning'inia yupo hapa anam-crush mwanaume mwenzake kwamba kwanini anaacha kuowa mwanamke kisa ame-cheat mara mbili alizokiri mwenyewe akapata mimba na akaenda kuzitoa.

Yaani kwao mchumba kugongwa na bwana mwengine siyo shida,kutoa mimba siyo tatizo nawasikitikia wazazi waliojikunja kuwazaa maana ni useless!
 
Unajidaganya sana wewe bado mvulana subiri ukue vizuri utakuwa huna mda wa kuhangaika na past za watu sijui nini?
Hahahah nikue Mara ngapi? Nimeshakua, na huo ndio msimamo na mtazamo wangu.
 
Sasa kutoa mimba na kua gold digger kunahusiana na nini, lol

Ila bro kupitia majibu yako inaonesha kabisa Mungu kamuepusha huyo manzi na kichomi [emoji2960], Yaan angeolewa na wewe huyo sister alikua anaenda kufujika na kuchakaa me nakuchana live,[emoji16]

Una ubinafsi, una nongwa, una ujuaji na unafki sina shaka kabisa huna maelewano na jamii inayokuzunguka,

Sema nini, athari za makuzi, me nakuelewa mbona.
Hahah, ni kweli ningemtumia ipasavyo ila si kumfuja. Na hata ningemfuja ni mke wangu tayari, naye angeweza ni ruksa kunifuja. Kuhusu unafiki na ujuaji, ni kweli nipo hivyo, kulingana na mtu ameni face vipi. Ukija kistaarabu utapata uungwana na ustaarabu, ukija kipimbi na kijuaji nami nitakuletea ujuaji.

Ni gold digger kwani alikuwa yupo tayari aue ili aolewe na mimi, ninamjua kuliko umjuavyo. Ni vihela vyangu vilikuwa vinamtoa macho mpaka kufikia kutoa mimba 2.

Kifupi mimi ni mtu poa tena sana, hao niliowajibu huko juu kijuaji au kimajivuno ni kuwa walianza wao. Ukianza mimi namaliza, hii ndio slogan yangu.

Mwisho, jamii yangu inafurahia uwepo wangu, na nadiriki kusema hainioni kama wewe usiyenijua unionavyo kichomi.

Kikubwa ni 'heshimu uheshimiwe'.

Siku njema!
 
Ahsante sana Chief...Nikijibu swali lako sasa, kupata mtoto kabla ya kugundua haya kiukweli maumivu yasingekuwa kama yale niliyoyapata especially ukiangalia namna ulivyomsupport kwa kila namna na hata ifike watu especially wazazi wanahisi kuwa may be mimi ninaweza kuwa na tatizo pia in a way..Na kaka kwa mentality yangu hata angeshindwa kuvonceive kiujumla sikuwa na shida ya hata kufanya adoption..

Na kuna detail moja which inaweza kuwa imeniinfluence kumsamehe kwa ni kuwa mi pia there was a lady kipindi niko mwaka wa kwanza ndiyo niko na 22 years yeye alikuwa na 32 tulidate na akapata mimba ila aliniomba aitoe maana aliona siko tayari na ndo kwanza nimeanza Chuo na yeye alikuwa anafanya kazi hivyo akaona itakuwa changamoto..Ila sikuwahi mficha hili kuwa asione may be what she did akawwa inferior kwangu so i was open kwake kutoka mwanzoni.

So all in all ningefurahi bila kujali sana what she did,ila sasa kwa sasa tulikuwa tunahangaika na tatizo ilihali ukubwa wa tatizo anaujua yeye..Na mind you hapa kuna vitu vingi ukiunganisha dots unaanza kuona ni impacts za abortion alizofanya of which in a way zilikuwa na bado zinachangia our sexual and intimate relationship kutokuwa that healthy...
Mkuu Mimi nikushukuru tu kwa wewe Kueleza ukweli pia moyo ulio nao.
Hapo umefanya vyema Na Mungu azidi kuwatangulia.

"Dhambi Husamehewa, lakini madhara yake kwako yatadumu"
 
Kanuni Yangu ni Moja, SITAKUJA kuoa Bikra, Magume Gume Mengine yote nitaoa Ila Bikra hapana. Akiwa Bikra ndio namuacha hivyo.

Katoa Mimba yako au Ya Mwingine? Kama Ya Mwingine kaa kwa Kutulia Huyo ni Mke wa Kuoa Kabisa….. Anakupenda ndio maana Aliona Atoe Angekuwa hakupendi Angezaa na Huyo aliye mpa.

Mengine Muachie Mungu Usimchunguze sana Mwanachuo utakufa kwa Pressure
Kutooa bikra ni uamuzi wako mkuu. Nimemuacha na sirudi nyuma.
 
Sasa kutoa mimba na kua gold digger kunahusiana na nini, lol

Ila bro kupitia majibu yako inaonesha kabisa Mungu kamuepusha huyo manzi na kichomi [emoji2960], Yaan angeolewa na wewe huyo sister alikua anaenda kufujika na kuchakaa me nakuchana live,[emoji16]

Una ubinafsi, una nongwa, una ujuaji na unafki sina shaka kabisa huna maelewano na jamii inayokuzunguka,

Sema nini, athari za makuzi, me nakuelewa mbona.
Daaaah
 
Kaka naomba nikupe my expirience kuhusu hili suala la kutoa mimba yaliyonikuta Mimi especially niliyekuwa kwa ndoa..You all can learn pia kupitia mimi

My wife kabla ya kuanza uhusiano nae was a good friend of mine alikuwa na jamaa wake wanadate akapata mimba na akaona si kesi bora aichomoe tena kwa ushauri wa Marafiki na Dada zake yote hiyo ni sababu kuu cha kwanza ni kuogopa wazazi watasemaje..Lakini pili na kubwa jamaa wake alikuwa ana wanawake kama watatno anaotoka nao kwa pamoja na yeye akiwemo..

Mimi huwaga nina mentality ya kupotezea na wengine husema ya kizungu,nikasema yes she made a mistake so siwezi kumhukumu kutokana na alichokifanya as so long as amejifunza..So we started dating kiroho safi bila kuwaza na wala kumkumbushia kuwa ulitoa mimba hata siku moja bali nilikuwa nammind jamaa in a way ila nikapotezea na kusema ajali kazini

Fast foward we started dating na kwa kuwa tulikuwa wote kwenye hustles na tunashirikiana katika utafutaji wote tukaona si busara yeye kupata mimba..so i was very keen kwenye sex kwenye suala zima la kuwithdraw nikiwa nina cum so hakuwahi kuwa na wasiwasi wa mimba during kudate kwetu..

Baada ya miaka miwili na nusu nikaona why not get married kwa mtu ambaye she has been almost perfect kwa vitu vingi sana na ana mapungufu machache..so tukaingia kwa ndoa..Then after six months tukaamua tuanze tafuta mtoto kwa kila namna..Na hapa sasa ndo ikawa Interesting..Jaribu sana kwa kila namna for like a year,ila waapii..I was ready kusubiri na nilikuwa patient sana na niko nae bega kwa bega...Mama yangu Mzazi pia alikuwa na sisi bega kwa bega..baaada ya mwaka kupita akaanza kupata shauku ya kupata mtoto na anatamani kweli kweli Na mimi kwangu ikawa ni hivyo pia..

Tukaanza sasa officially kuhangaika nae kwa kuonyesha kila namna ya support kwake kwenye kutafuta suluhisho la tatizo lake,sihesabii gharama tulizotumia na usumbufu like ni almost around mil 5 kwa kuhangaika kwa madaktari bingwa hapa Dar yote na hata mitishamba ya kila namna..sasa ikawa imepita miaka 3 hadi hivii sasa hatujabahatika kupata mtoto..

Kubwa sasa ni juzi hapa tukaenda kwa Mtumishi mmmoja na kiukweli ingawa mimi haya mambo ya dini siamini lakini kwa kuonyesha support kwa mke tukaenda kwa huyo mtumishi na hapo ndipo ukweli ukadhihirika ambao umebadilisha kila kitu na uelekeo wa ndoa kwa ujumla..

Ilikuwa hivii,Mtumishi akamuuliza anhaa naona umeamua kuja na mume wako na ni jambo zuri sana...akasema ndiyo...Basi mtumishi akamuuliza na ndiyo kwanza anatuona kwa mara ya kwanza..Akauliza swali unahangaika na mnahangaika sana kupata mimba lakini mume wako anajua ukweli..???.Mi nilikuwa chilled na kusema aaaah kama ni kutoa mimba hilo nalijua alitoa mimba yes na niliridhia bila shida...akamuuliza swali jingine ni mimba ngapi ushawahi kutoa...Mi kwa kujiamini nikawa najua ni mmoja ila nikashtushwa na ukimya kwanza wake...Mapigo ya moyo yakaongezeka kwanza kwa sekunde zile 5 alizokaa kimya

Nikajisemea haraka mbona anasita tena..Then nikasikia akimjibu ni tatu(3) daaaaaah aisee nilipigwa na ubaridi pale na hasira zikanijaa lakini nikaact calm kwanza...Nikashusha pumzi lakini nikawa siamini lile jibu kutoka kwake...Na ndiyo ilikuwa muda tunaondoka so tukaingia kwenye gari tukawa tunaondoka eneo tulilokuwepo huku mtumishi akitupa lift..Nilibadilika ghafla nikawa nasikia baridi na kutetemeka kwa hasira sana sana...sijawahi kuwa na hasira toka nimezaliwa kama ile siku..

Tukashuka mtumishi akatuacha mitaa mitaaa.Akawa ananiangalia asielewe anaongea nini...Tulivyokuwa kituoni swali la kwanza nikamuuliza like why uliamua kujifanyia hivii kwa mwili wako and la pili nikamuuliza why did you choose to hurt me katika namna hii...I was so very hurt kiasi cha kwamba nimeapa sitofikia ile hatua kuumia namna ile..Tukapanda Daladala kuelekea mitaa yetu ya nyumbani lakini kwenye daladala natetemeka nina hasira sana na ninachokitamani ni kuvunja vioo vya gari kwa ngumi ili nitulize tuu hasira...huwaga niko hivyo,nikivunja kitu ni bora zaidi kwa kuwa siwezagi kupiga...Maana ninaweza mchakaza mtu na nikaishia pabaya...

Fast foward tukashuka kwa Daladala tukatembea kama dakika moja hivii,Nilimtikisa vya kutosha bila kumpiga hata maana ningeweza kumuharibu kwa namna ninavyojua mimi...Nilimshika sana na kumtikisa huku ninalia kama mtoto mdogo na kumuuliza kwa nini aliamua kufanya hayo na kunisababishia pia kupitia a lot of problems kwenye marriege huku labda tungeju Intensity ya tatizo mapema ningekuwa tayari kupambana nae kama ningeweza maana kama niliweza kukubaliana kuwa nae kwenye mahusiano huku nikijua alifanya abortion tayari angeweza kunijali enough kunieleza ukweli na si kunificha kama kweli she really cared about me as much as nilimpenda yeye bila conditions

Asee nililia sana bila kujua namfanyaje pale,she was also crying kusema kuwa aliogopa kutokana na hiyo Idadi na nisingemuelewa lakini nikamwambia hukusaidia na ona tunaingia kwa matatizo ilihali intensity ya tatizo analijua yeye..Kiukweli nilikuwa down sana and so devastated..Tulikaaa njiani kwa almost 1hour wote soaking in tears na niko na hasira sana...Tukaelekea nyumbani,kilichoendelea ni kuvunja vikombe kwa hasira na kioo cha chumbani cha kujiangalia.....

Niseme tuu ni expirience katili sana niliyowahi kupitia maishani mwangu so far ila imenifunza sana,Bottom line nimemsamehe whole heartedly ila mambo hayako the same tena..Vingi vimebadilika lakini unajifunza kumove on na kuendelea...Good thing hata hospital walisema she can still conceive sema uvumilivu tuu,Nimempa chances lakini kiukweli kuna conditions nyingi sana...

Yote ya yote jifunze kupitia kisa changu,na wengine mnaotetea mtaelewa kutokana na yaliyonikuta mimi...nitakuwepo kujibu maswali yote ambayo pia mnaweza kuwa nayo...
Ahsante sana mkuu! Karibu na pole sana.
 
Kwa hiyo amekuambia yeye mwenyewe kwamba alliwahi toa mimba?. Baada ya kukuambia ndio ume-mute mawasiriano nae?
Nilitumia mbinu nizijuazo, yeye alikiri kuwa alichepuka, napo ni baada ya kumtikisa kweli kweli.
 
Helloooo wadau, mimi ni kijana ninayepambania maisha yangu kwa sasa, ya kimaendeleo. NILIKUWA na MPENZI wangu ambaye nilipanga nimuoe mwezi wa 2 mwakani, nimegundua aliwahi kutoa mimba akiwa chuo, tena mimba mbili.

Kwa alivyo mpole sikumdhania kabisa, amemaliza chuo mwaka huu na AME graduate, NIMEAMUA RASMI KUMUACHA NA KUSITISHA NDOA, AMEPIGA SIMU ZAIDI YA MARA 70 NIME MUTE.

Ahsante m ungu kwa kuniepusha na huyu gold digger!View attachment 2050980
Nikuambie kitu ni bahati saana kupata demu alio graduate hajatoa mimba kama ilivyo ngumu kumkuta ana bikra
 
Labda Nikuulize Swali....Mimba ni matokeo ya Nini?
Alilala peke yake kisha Asubuhi akajikuta nayo?

Huu mjadala kuna baadhi ya watu mnajiweka eneo la utakatifu kisha mnaweka HUKUMU bila kutazama pande zote.

Uhalisia ni Hivi Mwanaume akikataa Mimba yake hana tofauti na Mwanamke aliyeitoa Kwa sababu wote wanakwepa jukumu la Malezi.

Mzee unatumia nguvu nyingi sana hapa kwani huyo aliyeachwa ni dada yakoo?wewe ni feminist wa kiume ain't you!!!

Nimekutana na gazette lako huko juu ulijaribu kuni-quote nimesoma soma hata sijakuelewa ila nataka nikuulize hii post ya mleta mada ambaye kwako wewe unamuona ni tatizo kubwa na siyo huyo dada yako uliisoma au ulipita macho juu juu ukitafuta conclusions zako?

Vaa viatu huyu ni mdogo wako au mwanao amekuja kukutaka ushauri akwambie mchumba wangu amenisaliti mara mbili akapata mimba zote akazitoa na akakiri mbele yangu ungemshauri hizi shudu unazoshusha hapa?unajikuta mwanaharakati kumbe kichwani mtupu watu dizain yenu kama taifa tunatakiwa kutafuta njia ya ku-deal na nyie maana hamjitambui,fungua link&angalia screenshot.


IMG_20211221_173203.jpg
 
Back
Top Bottom