mikila miwili
JF-Expert Member
- Dec 14, 2021
- 563
- 561
- Thread starter
-
- #241
Nimeumia kwa sababu nilimdhani ndiye kumbe siye, hapa ninapoongea nimeshamuacha rasmi mkuu!Umemuacha ama umempumzisha?
Mpaka kuleta hii mada humu ni kwamba umeumia/umeumizwa..
Ingekua jambo rahisi kwako ungalipetozea tu usingelianika jamvii...
Ni kweli kabisa hakuna anayeruhusiwa ila jiulize mara nyingi ndoa hunjika haraka ni wakati upi je mwanamume anapotoka nje a mwanamke??Vipi kwa upande wa Mwanaume?
(NB; Kwa hizi imani zetu hakuna anayeruhusiwa kusex kabla ya ndoa)
siku zote maji hupita yalipo pitaga mkuuHilo linawezekana kweli? Kabisa?
Hakuna mkuu....Kwasababu hii mzee Hakuna mwenye kinga ya magonjwa.Ni kweli kabisa hakuna anayeruhusiwa ila jiulize mara nyingi ndoa hunjika haraka ni wakati upi je mwanamume anapotoka nje a mwanamke??
kifupi ni nani anahimili kuchepuka bila kuleta madhara ya moja kwa moja kati ya me na ke??
Hauko peke aka hata sisi wengine tumemwacha nilie mwamini na kumpenda kwa moyi wote kwa mambo kama hayaNimeumia kwa sababu nilimdhani ndiye kumbe siye, hapa ninapoongea nimeshamuacha rasmi mkuu!
Usini nukuu vibaya kwamba mwanaume anahaki ya kuchepuka lah hasha ni hivi swala la kuchepuka kwa mwanamke kwanza hushusha hadhi yake, pili anaweza kuleta kiumbe ambacho atakidanganya na kudanganya familia kua ni damu yao kumbe sio tatu hua hawawezi kutumikia ma bawana wawili maana waanje hua na nguvu zaidi kuliko mumeweHakuna mkuu....Kwasababu hii mzee Hakuna mwenye kinga ya magonjwa.
Sioni sababu za kuhalalisha uchepukaji kwa kutazama jinsia.
Siku hiz mzee tuoane ili tuzae tuu sio kuishi nakuhakikishia kizazi chetu xaidi ya 80% ya ndoa zetu zina na zitavunjika sababu ni wanawakeNi kweli kabisa, waigizaji wakuu.
Na hakuna aliyevuliwa nguo kinguvu, baadhi labda first time, ila waliendelea kuzivua/kuvuliwa kwa hiari.
Ila bado haizuii kuoa, unajipa muda, unachagua mwenye afadhali na ladha unayoipenda.
Haina jinsi yaani, japokuwa tunaonekana ni makatili!Hauko peke aka hata sisi wengine tumemwacha nilie mwamini na kumpenda kwa moyi wote kwa mambo kama haya
Sure, tabu tupuSiku hiz mzee tuoane ili tuzae tuu sio kuishi nakuhakikishia kizazi chetu xaidi ya 80% ya ndoa zetu zina na zitavunjika sababu ni wanawake
Katili ni mwanamke sio wewe tena ondoa hayo mawazo mkuuHaina jinsi yaani, japokuwa tunaonekana ni makatili!
Hongera sana wewe ni mwanaume ingawa ni ngumu kusahau ila Mungu atakupigania all the best...naamini utapata mtoto soonYes ni vikubwa lakini maisha wacha yaendelee..She is a woman who anybody would wish kumuoa..Ila sasa ndo imetokea utabaki unamhukumu na kumtorture ili iweje..I even thought of a divorce sema nimefunika kombe asee maisha yaendelee...
Na ni kweli usemayo kuhusu single mothers,Ila kwa mimi niko tofauti sana...Hata nikimkuta mtu na watoto wanne kwangu si tatizo wala hata na ningeweza muoa....Shida unakuwa na moyo huo halafu mtu anakuchukulia poa ndo inaumizaga in a way...
Anyways kuna mengi sana ningeweza ongea but lets enjoy life..Cha msingi ni kuwa kufanya nilichokifanya si rahisi kwa watu wenye mioyo soft
Sawa mkuuKatili ni mwanamke sio wewe tena ondoa hayo mawazo mkuu
Nimeshajibu quote yake kitambo sana, sijaona maajabu!Umempiga huyu chalii na kitu chenye ncha kali sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji22][emoji22][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
AminHongera sana wewe ni mwanaume ingawa ni ngumu kusahau ila Mungu atakupigania all the best...naamini utapata mtoto soon
Hahah, ni kweli ningemtumia ipasavyo ila si kumfuja. Na hata ningemfuja ni mke wangu tayari, naye angeweza ni ruksa kunifuja. Kuhusu unafiki na ujuaji, ni kweli nipo hivyo, kulingana na mtu ameni face vipi. Ukija kistaarabu utapata uungwana na ustaarabu, ukija kipimbi na kijuaji nami nitakuletea ujuaji.Sasa kutoa mimba na kua gold digger kunahusiana na nini, lol
Ila bro kupitia majibu yako inaonesha kabisa Mungu kamuepusha huyo manzi na kichomi [emoji2960], Yaan angeolewa na wewe huyo sister alikua anaenda kufujika na kuchakaa me nakuchana live,[emoji16]
Una ubinafsi, una nongwa, una ujuaji na unafki sina shaka kabisa huna maelewano na jamii inayokuzunguka,
Sema nini, athari za makuzi, me nakuelewa mbona.
Simple kama kutelekeza mtoto uliyekata kiuno mwenyewe ukampa mbegu mwanamke uliyekir moyoni kumpendaNdio ndio, simple like that.
We wakat unasali ndiyo ulifundishwa kutelekeza mimba? Kuwa na wanawake zaid ya mkeo wa ndoa je? Kwa upande wako dunia iko slow sanaAiseee dunia ina speed, kutoa mimba ni jambo la kawaida duuuh.
Unaposali ndio ulifundishwa kutoa mimba ni kawaida.
Na ndiye anayewabikiri kabla ya ndoaNajaribu Kufikiria Ni Mwanaume ndiye anayekataa Mimba......
Ni huyo huyo anakataa Kuoa Single Mama.....
Lakini pia ni huyo huyo Anataka Kuoa Mwanamke Bikra.
Ajabu zaidi ni Huyo huyo anaomba namba kila mwanamke atakayepita mbele yake.
HahahahahWe wakat unasali ndiyo ulifundishwa kutelekeza mimba? Kuwa na wanawake zaid ya mkeo wa ndoa je? Kwa upande wako dunia iko slow sana