Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

haya mambo ni rahisi kuyapanga kama halijakukuta jambo ila ukikutwa ndoyaliyonitokea mie
 
Tatizo la uchoyo, kwani mkishea dudu na dada wa kazi kuna tatizo? Tena mmeo anapunguza gharama za kuhonga, angalia sasa anaenda kumpangia apartment na anazaa nae.
uhh wewe weeee
 
asante
 
ulianza vizuri sana afu ukakosea kuzimia.

ulikosea sana kuzimia sasa unless utuambia walikupataje mvunguni itabidi utusevie vitafunwa tunywe na hii chai.

Afu hiyo faraja unayotafuta kuwa makini. Kuna mzabzab aisee sijui kama atakuacha salama.
uvumilivu 0
 
Uzazi unatolewa na Mungu hayo mengine hayanihusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…