Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mume wake awe antuma meseji kwenye simu kuomba wakati wanalala pamoja? Kwamb anashindwa kumwomba wakiwa pamoja? Ndio maana siamini. Labda sio mume wake basi, anatuzuga tu hapa kutaka kujua maoni ya watu kama aendelee kutoa au asiendelee. Kwa sababu kutokana na maoni yake alishatoaKwaivo we unaujua ukweli tofauti na mhusika anavoeleza? Yaan hayo mambo yapo wanaume zetu wengi siku hizi wanatoka nje sababu ya mi*k*n*d*u ya wadangaji jamani
Na wewe yalikukutaMi namwomba Mungu akulinde,we ndo pacha wangu mamiee[emoji445] Achana nae
😂😂Dada unamaamuzi magumuWa nini Sasa Mpaka hapo?
MmmhNikusahuri mwanaume anae fira Kuna mambo yafatayo uwa yamejiri kwake
Kwanza ni mtu anae amini uchi wa mke wake au awala Ake umetanuka sana Kwa msingi huo unakuta atafuta pa kumbana,mkiwa mnajamiiana akikisha umebana mapaja Ili umbane. Aise kitu Iko Tait.
Tatu ni Pepo limemuingilia Iko siku anakooingiza na yeye atatamani aingiziwe,hapo atakutana na wastaafu kama sisi tunakulagaaaa imba hako kanyimbo dada
🤣hapo hakuna namna mpenz😂😂Dada unamaamuzi magumu
🤣🤣🤣Kuna ule Uzi wa fantasy nawaona Leo humu amakweli shetani anaweza kuwa malaika 😂😂😂😂
Jifanye sio kesi chepuka wakubutue wanwake sikuhiz ni mabaunsa😂😂😂Kuchepuka hapa sio case kabisa. Ishu iyo ya pili.
We ndo walewwaleMume wake awe antuma meseji kwenye simu kuomba wakati wanalala pamoja? Kwamb anashindwa kumwomba wakiwa pamoja? Ndio maana siamini. Labda sio mume wake basi, anatuzuga tu hapa kutaka kujua maoni ya watu kama aendelee kutoa au asiendelee. Kwa sababu kutokana na maoni yake alishatoa
Hayo mawasiliano yana semaje shida ni kwwamba huweki wazi embu dadabua ili tuelewe vyema tusike kuamini anakula kumbe shemwji ndio anapakuliwa ..maana siku izi ushogacravy umeenea sanaNimekuta mawasiliano kwenye simu yake.
Huyo sio mume ni hayawani, mkimbie, la sivy UTI, PID, FANGAS vinakuhusu.Habari,
Nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.
Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.
Asanteni.
Una wivu mpaka unashindwa kujizuiaHuyo sio mume ni hayawani, mkimbie, la sivy UTI, PID, FANGAS vinakuhusu.
Sio mara ya kwanza ndugu. Niliwahi kumkamata na sms za kumuomba mwanamke hiyo kitu nikashangaa na kumsema sana lakini ameendelea inaniuma sanaa