Nimeguswa na wale wananchi waliookoa watu ajali ya ndege

Nimeguswa na wale wananchi waliookoa watu ajali ya ndege

Pamoja na kuguswa na tukio hili na maumivu tuliyo nayo kwa kupoteza ndugu zetu..tuwe wakweli, unasifia watu ambao wanaweza kuongeza tatizo lililotokea..ajali zinapotokea ni muhimu sana kuelekeza watu wakae mbali na tukio hadi pale watu wenye ujuzi,

uwezo na utaalamu wafike eneo la tukio kwa ajili ya uokozi, ajali ya mv bukoba ilipotokea waliosababisha meli izame ni watu ambao wala hawana utaalam wowote wa uokozi waliamua kuitoboa meli upande wa juu hewa ikaingia ndani within 20 minutes meli ikazama chini, wataalam walisema kama meli isingetobolewa kulikuwa na uwezekano wa meli kuelea hata siku mbili..lakini lipo jambo jingine,

ukiacha kazi zingine za uokozi kuna namna hata vile majeruhi wanastahili kubebwa, mfano mtu amepata dislocation ya uti wa mgongo then watu wasiojua namna ya kumbeba wanammbeba, hata kama damage ya mgongo ilikuwa inaweza kutibika waliombeba kwa sababu hawajui majeruhi abebwe namna gani wataongeza tatizo pengine la kumfanya majeruhi asipate tiba ya kumponyesha.

Tusaidiane kutoa elimu kwa watu wanaokuwa karibu na ajali inapotokea wapime kiwango cha usaidizi wanachoweza kutoa ili wasiongeze madhara zaidi ya chombo au madhara kwa majeruhi, vinginevyo wakae pembeni wasubiri wahusika wa uokoaji wafike.
Wewe ni mchawi.
 
Pamoja na kuguswa na tukio hili na maumivu tuliyo nayo kwa kupoteza ndugu zetu..tuwe wakweli, unasifia watu ambao wanaweza kuongeza tatizo lililotokea..ajali zinapotokea ni muhimu sana kuelekeza watu wakae mbali na tukio hadi pale watu wenye ujuzi,

uwezo na utaalamu wafike eneo la tukio kwa ajili ya uokozi, ajali ya mv bukoba ilipotokea waliosababisha meli izame ni watu ambao wala hawana utaalam wowote wa uokozi waliamua kuitoboa meli upande wa juu hewa ikaingia ndani within 20 minutes meli ikazama chini, wataalam walisema kama meli isingetobolewa kulikuwa na uwezekano wa meli kuelea hata siku mbili..lakini lipo jambo jingine,

ukiacha kazi zingine za uokozi kuna namna hata vile majeruhi wanastahili kubebwa, mfano mtu amepata dislocation ya uti wa mgongo then watu wasiojua namna ya kumbeba wanammbeba, hata kama damage ya mgongo ilikuwa inaweza kutibika waliombeba kwa sababu hawajui majeruhi abebwe namna gani wataongeza tatizo pengine la kumfanya majeruhi asipate tiba ya kumponyesha.

Tusaidiane kutoa elimu kwa watu wanaokuwa karibu na ajali inapotokea wapime kiwango cha usaidizi wanachoweza kutoa ili wasiongeze madhara zaidi ya chombo au madhara kwa majeruhi, vinginevyo wakae pembeni wasubiri wahusika wa uokoaji wafike.
kwahiyo unaona mtu anakufa unasubiri mtaalam wa uokozi?
usitumie matako kufikiri.
 
Kwanza nikujibu post yako ya 92 tabia ya kutoroka kwenye mada na kuanza kuongelea mtu aliyetoa maoni au hata kutoa lugha isiyo na staha ni kukosa nidhamu binafsi na kuheshimu mawazo ya wengine..hakuna anayekuja kuandika hapa kwa lengo la kubomoa kupitia matukio kama haya tunataka kujenga ili yanayoonekana ni mapungufu yarekebishwe..pili kwa suala la mv bukoba kujua nani alitoboa sidhani ina uzito, sabab sote tunajua meli ilitobolewa ikazama, na hakuna mahali nimesema wavuvi ndio walitoboa, lbd uonyeshe hiyo post, tatu hakuna mahali nimeandika kikosi, kwa anayesoma kwa lengo la kuelewa ataona maana ya kile ninajaribu kujenga na si kubadilisha maneno, nikisema hata polisi mmoja au wawili wakifika kwenye tukio hicho si kikosi..mambo ya kujifunza ni mengi ikiwemo kukubali ukweli kama ulivyo, mara nyingi inapotokea hali km hii wengi wanatetea kile walichofanya watu ni sahihi na serikali imeshindwa kufanya sehemu yake kitu ambacho si kweli wakati mwingine, huko nyuma utamaduni huu wa watu kusaidia matukio ya ajali ulileta malalamiko hasa pale watu wanaowahi kwenye tukio pamoja na kusaidia wengine wanafanya uhalifu, wanasachi mifukoni mwa majeruhi au kuchukua vitu vya majeruhi na hapo ndipo inakuwepo haja ya kusubiri ili angalau wanausalama wafike kwenye tukio ili wasimamie uokozi wa awali, si wote wanaweza kuwa wema kufanya uokozi wengine wanakuwa wamepata nafasi ya kufanya uhalifu pamoja na uokozi..tukio la morogoro ajali ya Lori la mafuta ni mfano wa haya ninayosema. Kutukana watu usiowajua kisa tu wametofautiana na wewe kufikiri ni hulka mbovu kabisa na sijui kwa nini watanzania wengi matusi ndiyo maneno mepesi kusema badala ya kutoa hoja na mifano..tuelimishane kwa staha ili kujenga, that's all.
In an ideal world where everthing is 100% efficient ulichokiandika pale kiko sahihi 100% ... Lakini kiuhalisia hasa kwa nchi yetu uko chaka kabisa, na umekasirisha watu kwa kujifanya huujui uhalisia wa mambo.

Mvuvi anacheza na maji kila siku, pengine alishaokoa watu au alishajiokoa yeye mwenyewe zaidi ya mara 100. Mtaalam gani wa uokozi majini bongo hii anamzidi mvuvi ujuzi? Hasa wa vitendo?
 
Utakuwa ujinga wa kiwango cha juu kutetea experience mbovu..kila mahali polisi wapo, tena siku wengi tuna namba zao, viongozi wapo nk..watu wasubiri hata dk 20 ili wenye dhamana za kushughulika na usalama wa watu na mali zao wafike ili chochote kinachofanyika kifanyike kwa maelekezo..ajali ya morogoro kwa mfano ya ile Lori ya mafuta wewe unaona ni sawa ilivyofanyika watu kuvamia pasina na tahadhari hata ya usalama wao wenyewe..walipona sasa, na ubongo bongo wako..
siku utakapopata ajali wewe o familia yako utawaambia watu watakaa hata dk 60 wakisubiri wataalam waone wanawaokoa vip!
 
Ndio maana nikasema cha kwanza ni kusubiri hata dk 20 basi ili polisi wafike kwenye tukio maana hata wao ni wataalam na wana nyezo muhimu kuharakisha zoezi la kuanza uokozi kufanyika, lakini hata tu wakiona ajali ilivyotokea wana ufahamu kuelekeza uokozi wa awali ufanyike vipi..watu wawe na kusubiri kidogo kuliko kuanza uokozi wanavyojua wao wenyewe kwa sababu tu wako kwenye tukio.
We mume wako/mke wako, kaka,dada, mama,baba,mtoto au hata wewe mwenyewe ikitokea kupatwa na ajali uko tayari watu wasubiri hizo dakika?
 
Ulaya gani wewe..tumia akili bwana, hivi kusubiri polisi wafike kwenye tukio ni mambo ya ulaya..
we chizi nini?unaona watu wanakufa unasubiri polisi waje kufanya nin sasa?
huo ubongo umejaza makamasi?

polisi si ndo hao wamekuja na virungu vyao kwapani wako pembeni huku wavuvi wakiendelea kuokoa roho za watu.
 
Hongereni sana Wavuvi...mmeonyesha mfano mkubwa na Funzo kwa jamii na Taifa
 
Ulaya gani wewe..tumia akili bwana, hivi kusubiri polisi wafike kwenye tukio ni mambo ya ulaya..
Naomba Mungu siku upate ajali hata ya Gari umebanwa na kitu chochote watu wafike wakuangalie tu wasema tunasubiri professionals waje kukusaidia! Tokea siku hiyo ndo utambua kuwa kuna rangi zaidi ya 7
 
Pamoja na kuguswa na tukio hili na maumivu tuliyo nayo kwa kupoteza ndugu zetu..tuwe wakweli, unasifia watu ambao wanaweza kuongeza tatizo lililotokea..ajali zinapotokea ni muhimu sana kuelekeza watu wakae mbali na tukio hadi pale watu wenye ujuzi,

uwezo na utaalamu wafike eneo la tukio kwa ajili ya uokozi, ajali ya mv bukoba ilipotokea waliosababisha meli izame ni watu ambao wala hawana utaalam wowote wa uokozi waliamua kuitoboa meli upande wa juu hewa ikaingia ndani within 20 minutes meli ikazama chini, wataalam walisema kama meli isingetobolewa kulikuwa na uwezekano wa meli kuelea hata siku mbili..lakini lipo jambo jingine,

ukiacha kazi zingine za uokozi kuna namna hata vile majeruhi wanastahili kubebwa, mfano mtu amepata dislocation ya uti wa mgongo then watu wasiojua namna ya kumbeba wanammbeba, hata kama damage ya mgongo ilikuwa inaweza kutibika waliombeba kwa sababu hawajui majeruhi abebwe namna gani wataongeza tatizo pengine la kumfanya majeruhi asipate tiba ya kumponyesha.

Tusaidiane kutoa elimu kwa watu wanaokuwa karibu na ajali inapotokea wapime kiwango cha usaidizi wanachoweza kutoa ili wasiongeze madhara zaidi ya chombo au madhara kwa majeruhi, vinginevyo wakae pembeni wasubiri wahusika wa uokoaji wafike.
Kiutaratibu yawezekana ukawa na hoja lakini kiubinadamu haiwezekani.
Hawa wavuvi wamefika kwenye eneo ilipo ndege, labda wanasikia watu wanalia ndani, hawaoni mtu yeyote wa kuwaelekeza wafanye nini, halafu eti wasubiri tu! Wasubiri mtu hewa. Ndugu yangu ubinadamu hautaki hivyo.
Kama wangeona vyombo vya uokoaji vinasogea haraka na kupewa ishara kuwa subirini, wangesubiri.
Manusura mmoja anasema hata baada ya mlango kufunguliwa na wao kutoka nje hawakuona chombo chochote cha kupanda, baadae ndipo mitumbwi ya wavuvi wa kawaida ilifika, hata wakawa wanahofia kupanda.
Fikiria muda wote huo, hao waliotakiwa kutoa maelekezo sahihi walikuwa wapi? (na unaambiwa ndege ilizunguka hewani kwa nusu saa - wakati wote huo wanajiandaa - mpaka rubani anaambiwa tua majini tutakuja kuwaokoa - anatua hawapo!)
Ndugu yangu, nyumba inaungua, watu wamo ndani wanapiga kelele wewe badala uvunje ukuta unashauri wasubiriwe zimamoto!! (na hujui watafika lini). Vunja ukuta hata kama itasababisha nyumba ianguke na hao waliomo wauawe na vifusi. Fanya kitu kuliko kutofanya chcochote.
 
TrueVoter, chutama! Nyeti zote umezianika nje hadi watoto wanakucheka. Lazima sasa, kama Watanzania, tukiri kitu kimoja...hatuna uongozi!

Tunao walafi wanaokula kwa urefi wa kamba zao kama walivyoshauriwa na kiongozi wao mkuu hivyo ni wajibu wao na jukumu lao, kumtukuza!

Watanzania, hivi sasa tumefikia kiwango cha kutisha cha ujinga na nashangaa hajajitokeza mnafiki moja kuipa pongezi serikali ya CCM chini ya SSH!

Lucas mwashambwa, unatakiwa huku JF uanzishe thread ya kumtukuza kiongozi wa serikali kwa kuhakikisha Watanzania tunaishi kwa usalama zaidi!
 
TrueVoter, chutama! Nyeti zote umezianika nje hadi watoto wanakucheka. Lazima sasa, kama Watanzania, tukiri kitu kimoja...hatuna uongozi!

Tunao walafi wanaokula kwa urefi wa kamba zao kama walivyoshauriwa na kiongozi wao mkuu hivyo ni wajibu wao na jukumu lao, kumtukuza.

Watanzania, hivi sasa tumefikia kiwango cha kutisha cha ujinga na nashangaa hajajitokeza mnafiki moja kuipa pongezi serikali ya CCM chini ya SSH!

Lucas mwashambwa, unatakiwa huku JF uanzishe thread ya pongezi kwa kiongozi wa serikali kwa kuhakikisha Watanzania tunaishi kwa usalama zaidi!
Ni ukweli ulio wa wazi kabisa kuwa kazi inayofanya serikali yetu chini ya uongozi shupavu wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Ni kubwa Sana na ya kutukuka, Ni serikali iliyotujengea moyo wa uzalendo ,upendo , kujitoa na kujitolea miongoni mwetu watanzania, Ni serikali ambayo imejenga umoja wa kitaifa na mshikamano wa kitaifa ,Ndio sababu unaona hata kwa tukio la Jana namna watanzania walivyojitolea kuokoa maisha ya watanzania wenzetu waliopatwa na ajari, lakini pia umeona namna mh Rais wetu alivyoguswa na suala Hilo na kuagiza kijana mtanzania mmoja apatiwe ajira haraka Sana, Jambo hili limepokelewa kwa shangwe na hisia Kali Sana za kumpongeza Rais wetu kwa uamuzi wake huo wa upendo na uzalendo wa kujali juhudi na uwezo wa mtu mmoja mmoja, lakini pia hatua za kiuchunguzi zinaendelea kuchukulia ili kubaini sababu ya msingi ya kutokea ajari Ile ili hatua ziweze kuchukuliwa ikibaibika Kuna mtu hakutekeleza wajibu wake ipasavyo, Tumwamini Rais wetu mpendwa mama Samia na Tumuunge mkono
 
Ni ukweli ulio wa wazi kabisa kuwa kazi inayofanya serikali yetu chini ya uongozi shupavu wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Ni kubwa Sana na ya kutukuka, Ni serikali iliyotujengea moyo wa uzalendo ,upendo , kujitoa na kujitolea miongoni mwetu watanzania, Ni serikali ambayo imejenga umoja wa kitaifa na mshikamano wa kitaifa ,Ndio sababu unaona hata kwa tukio la Jana namna watanzania walivyojitolea kuokoa maisha ya watanzania wenzetu waliopatwa na ajari, lakini pia umeona namna mh Rais wetu alivyoguswa na suala Hilo na kuagiza kijana mtanzania mmoja apatiwe ajira haraka Sana, Jambo hili limepokelewa kwa shangwe na hisia Kali Sana za kumpongeza Rais wetu kwa uamuzi wake huo wa upendo na uzalendo wa kujali juhudi na uwezo wa mtu mmoja mmoja, lakini pia hatua za kiuchunguzi zinaendelea kuchukulia ili kubaini sababu ya msingi ya kutokea ajari Ile ili hatua ziweze kuchukuliwa ikibaibika Kuna mtu hakutekeleza wajibu wake ipasavyo, Tumwamini Rais wetu mpendwa mama Samia na Tumuunge mkono
Asante mkuu kwa sifa zisizo na kifani kwa mama yetu Samia Suluhu.
Lakini ninyi ndio mnapewa majukumu ya kufanya na mnawaachia wavuvi kufanya uokoaji huku mnaimba ngonjera za sifa.

1667821434414.png
 
Asante mkuu kwa sifa zisizo na kifani kwa mama yetu Samia Suluhu.
Lakini ninyi ndio mnapewa majukumu ya kufanya na mnawaachia wavuvi kufanya uokoaji huku mnaimba ngonjera za sifa.
Mimi Ni mkulima natekeleza wajibu wangu wa kulima ili wa mjini mpate chakula
 
Ni ukweli ulio wa wazi kabisa kuwa kazi inayofanya serikali yetu chini ya uongozi shupavu wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Ni kubwa Sana na ya kutukuka, Ni serikali iliyotujengea moyo wa uzalendo ,upendo , kujitoa na kujitolea miongoni mwetu watanzania, Ni serikali ambayo imejenga umoja wa kitaifa na mshikamano wa kitaifa ,Ndio sababu unaona hata kwa tukio la Jana namna watanzania walivyojitolea kuokoa maisha ya watanzania wenzetu waliopatwa na ajari, lakini pia umeona namna mh Rais wetu alivyoguswa na suala Hilo na kuagiza kijana mtanzania mmoja apatiwe ajira haraka Sana, Jambo hili limepokelewa kwa shangwe na hisia Kali Sana za kumpongeza Rais wetu kwa uamuzi wake huo wa upendo na uzalendo wa kujali juhudi na uwezo wa mtu mmoja mmoja, lakini pia hatua za kiuchunguzi zinaendelea kuchukulia ili kubaini sababu ya msingi ya kutokea ajari Ile ili hatua ziweze kuchukuliwa ikibaibika Kuna mtu hakutekeleza wajibu wake ipasavyo, Tumwamini Rais wetu mpendwa mama Samia na Tumuunge mkono
Swali kwako Lucas mwashambwa, je vikosi rasmi vya uokoaji vilifika kwenye tukio baada ya muda gani?
 
Katika ripoti ya uchunguzi hayo yote yatabainishwa na yeyote aliyezembea atawajibishwa kwa uzembe wake, Najuwa walichelewa lakini huu si muda wa kutupiana lawama
Ripoti ya uchunguzi! isije ikawa kama ile ya benki kuu iliyotakiwa itoke mapema mwaja jana lakini hadi leo hata ule ujasiri wa kukiri uwepo wake umeshindikana.
 
Ripoti ya uchunguzi! isije ikawa kama ile ya benki kuu iliyotakiwa itoke mapema mwaja jana lakini hadi leo hata ule ujasiri wa kukiri uwepo wake umeshindikana.
Hapana mkuu haiwezi kuwa Kama hivyo, Tuiamini serikali yetu ya mama Samia
 
Back
Top Bottom