Nimehangaika sana bila mafanikio

Sawa ntafanya ivo japo kusema ukweli ananisaidia sana kupambana na hii hali na anaonesha kutojali ili nisiwe na mawazo hapo ndo huwa najipa iman huenda sio yeye
Jitulize bas...ondoa hiyo was was moyoni then mambo yatakaa sawa
 
Kama ungalikuwa unasimamisha ila haina nguvu, ningekushauri kitu. Lakini kama haisimami, hapo sielewi. Maana mtu ninayemfahamu anakupa dawa ya kienyeji na kama husimamishi sawasawa inasimama kama mwanzo. Gharama yake huwezi amini ni shs 65,000 tu
Duuh noma sana
 
Kibaya zaidi mkuu uyo mchepuko nilipita nae kimasihara tu yaani nilipita nae tukaachana na hatukuonana tena na sina mawasiliano nae
Kazi unayo tena pevu Ng'wanawane! Na ukisikia mshahara wa dhambi (hata kama siyo mauti) ndo kama hivi sasa!

Kwa Mwamposa kule kuna shuhuda nyingi za watu waliokuwa wamekata kabisa umeme kama wewe wakaombewa na TANESCO yao ikarudisha umeme wenye nguvu kwa kasi ya ajabu. Jaribu na huko kama una imani!
 
Sawa ntafanya ivo japo kusema ukweli ananisaidia sana kupambana na hii hali na anaonesha kutojali ili nisiwe na mawazo hapo ndo huwa najipa iman huenda sio yeye
Sio yeye wewe ndio una TATIZO
 
0746081082,,,pole sana hebu ukipata muda jaribu kimpigia huyo ingawa yupo busy sana lkn atapokea hrf ongeanae shida yako Kwa ufupi kama lipo ndani ya uwezo wake basi utapona! Uwe na Imani matatizo yapo ndani ya maisha yetu! Pole sana
Huyo nani?
 
Umeongea kiutu uzima sana asipofuata huu ushauri basi acha aendelee kutapeliwa😆😆😆
 
Huyo nani?
Huyo ni ngaliba wa miti shamba sio mganga ndiomana nimekwambia mwambie tatizo Kwa ufupi baada ya yeye kupokea! Ni kijana mdogo sana lkn anatibu magonjwa mengi na makubwa ambayo siwezi kuweka hadharani!
 
Kasepa na umeme wako wa luku babaluku umebakia na Giza tu, hata nilale na Malaya condoms zenye Mbegu zangu naondoka nazo na simuachi anifutefute Mbegu zangu, hao viumbe ni wanga balaa wanaroga kishenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…