Nimehangaika sana bila mafanikio

Nimehangaika sana bila mafanikio

Sawa ntafanya ivo japo kusema ukweli ananisaidia sana kupambana na hii hali na anaonesha kutojali ili nisiwe na mawazo hapo ndo huwa najipa iman huenda sio yeye
Jitulize bas...ondoa hiyo was was moyoni then mambo yatakaa sawa
 
Kama ungalikuwa unasimamisha ila haina nguvu, ningekushauri kitu. Lakini kama haisimami, hapo sielewi. Maana mtu ninayemfahamu anakupa dawa ya kienyeji na kama husimamishi sawasawa inasimama kama mwanzo. Gharama yake huwezi amini ni shs 65,000 tu
Duuh noma sana
 
Kibaya zaidi mkuu uyo mchepuko nilipita nae kimasihara tu yaani nilipita nae tukaachana na hatukuonana tena na sina mawasiliano nae
Kazi unayo tena pevu Ng'wanawane! Na ukisikia mshahara wa dhambi (hata kama siyo mauti) ndo kama hivi sasa!

Kwa Mwamposa kule kuna shuhuda nyingi za watu waliokuwa wamekata kabisa umeme kama wewe wakaombewa na TANESCO yao ikarudisha umeme wenye nguvu kwa kasi ya ajabu. Jaribu na huko kama una imani!
 
0746081082,,,pole sana hebu ukipata muda jaribu kimpigia huyo ingawa yupo busy sana lkn atapokea hrf ongeanae shida yako Kwa ufupi kama lipo ndani ya uwezo wake basi utapona! Uwe na Imani matatizo yapo ndani ya maisha yetu! Pole sana
Huyo nani?
 
Naona ni mgeni humu ila kwa kukusaidia kijana wangu chukua huu ushauri.

Sijasoma hadi mwisho ila tafuta muda mzuri ukae na mkeo faraga, mpe hadithi ya tukio zima la kuchepuka kwako na mueleze tu ukweli usione shida, mpe sorry ya nguvu mwanamme hawezi kulia ila ikibidi karibisha chozi hapo.

Then atakusamehe, baada ya msamaha tulia na tafuta siku tulivu upate show kwa bimkubwa wako huyo.

Ni wengi mnadhani mmerogwa kumbe siku unafunga NDOA na mkwe wangu aliweka/uliweka agano la aina hiyo ila umepofushwa kwa kusahau.

Ukipona mshukuru Mungu.

🙏🏾.
Umeongea kiutu uzima sana asipofuata huu ushauri basi acha aendelee kutapeliwa😆😆😆
 
Huyo nani?
Huyo ni ngaliba wa miti shamba sio mganga ndiomana nimekwambia mwambie tatizo Kwa ufupi baada ya yeye kupokea! Ni kijana mdogo sana lkn anatibu magonjwa mengi na makubwa ambayo siwezi kuweka hadharani!
 
Ahsante mkuu ila mke wangu kwa asilimia kubwa hana kinyongo na mm kwani kiuhalisia anafaham kuwa nilichepuka japo sikumwambia na pia ananisaidia sana kutafuta wataalam huko kwao ila hatufanikiwi na kuhusu mtu niliechepuka nae sina mawasiliano nae kwa sasa nilipita nae tu kimasihara akasepa tukapoteana hadi leo.
Kasepa na umeme wako wa luku babaluku umebakia na Giza tu, hata nilale na Malaya condoms zenye Mbegu zangu naondoka nazo na simuachi anifutefute Mbegu zangu, hao viumbe ni wanga balaa wanaroga kishenzi
 
Back
Top Bottom