Nimehesabu, Polisi walimpiga Hamza risasi 19 baada ya kuwa ameanguka chini na sio tishio tena kwa usalama

Nimehesabu, Polisi walimpiga Hamza risasi 19 baada ya kuwa ameanguka chini na sio tishio tena kwa usalama

Hiyo video ndio imelivua nguo kabisa jeshi letu la polisi, yaani raia mmoja mwenye silaha aliyesimama wazi barabarani ameweza kuwadhibiti zaidi ya askari polisi 20 waliokuwa wamemzunguka mafichoni, hata baada ya raia huyo kusalimu amri kwa kunyoosha mikono juu bado askari wetu walishindwa kutumia fursa ya kumkamata na kuishia kumminia risasi ovyo ovyo.
 
Haya matukio muachane nayo,hayasaidii chochote.kama kufa ashakufa,

Kuhusu weledi wa polisi kukabiliana na mtu kama huyu hili nalo tuwaachie polisi wenyewe.

Hebu fikiria polisi anafanya kazi zaidi ya miaka kumi ila hajawahi kupambana na jambazi ana kwa ana,licha ya kuwa na mafunzo

Tukumbuke:hakuna mafunzo Wala mazoezi kwenye kupigana/au kushambuliana,bali Kuna nafasi moja tu,ya kumpiga adui/mpinzani wako.

Wengi wanahoji kwanini asingekamatwa akiwa hai? Mimi nakataa....

Lazima askari wetu walikuwa makini kuhusu vilipuzi n.k.

Lakini pia,hebu fikiria...yaani wewe unayesoma hii comment unaona Askari wenzio wamepigwa risasi,wamelala

Bado tu una wazo la kumkamata akiwa hai?
Watanzania tuache unafiki,wengi hatuwezi.


Hapo kwenye paragraph ya 2 [emoji115] Sasa sijakuelewa, umesema kuhusu weledi wa kukabiliana na adui waachiwe wenyewe polisi?

Una maana gani kusema hivyo?

Unajua polisi Ndiyo wamepewa jukumu la kulinda raia na mali zao kikatiba?

Kwa hiyo watu wakiwa na tashwishwi yoyote wasihoji badala yake wawaachie wenyewe au unamaana kani?
 
Haya matukio muachane nayo,hayasaidii chochote.kama kufa ashakufa,

Kuhusu weledi wa polisi kukabiliana na mtu kama huyu hili nalo tuwaachie polisi wenyewe.

Hebu fikiria polisi anafanya kazi zaidi ya miaka kumi ila hajawahi kupambana na jambazi ana kwa ana,licha ya kuwa na mafunzo

Tukumbuke:hakuna mafunzo Wala mazoezi kwenye kupigana/au kushambuliana,bali Kuna nafasi moja tu,ya kumpiga adui/mpinzani wako.

Wengi wanahoji kwanini asingekamatwa akiwa hai? Mimi nakataa....

Lazima askari wetu walikuwa makini kuhusu vilipuzi n.k.

Lakini pia,hebu fikiria...yaani wewe unayesoma hii comment unaona Askari wenzio wamepigwa risasi,wamelala

Bado tu una wazo la kumkamata akiwa hai?
Watanzania tuache unafiki,wengi hatuwezi.
Nafikiri polisi wetu wanajua kuact unprofessional na sio Professional that's why hata kwenye kuapply tactics ni Zero Minded.
 
Angalia wanavyotembe kwa kujimwambafy kishujaa utafikiri wametoka kwenye mapambano makali mstari wa mbele vitani, kumbe imechukua zaidi ya saa kukabiliana na mtu mmoja ambaye wamemuua baada ya yeye kuishiwa risasi na kujiweka peupe apigwe risasi

View attachment 1909185
wakisikia mlipuko wanachanja mbuga kuelekea mafichoni
 
Tushukuru Mungu huyu jamaa alikuwa sio gaidi alikuwa na shida na polisi ccm tu,angekuwa gaidi raia zaidi ya mia wangekufa,maana alitamba zaidi ya nusu saa akiwa amezungukwa na daladala kibao zenye abiria


Inategemea bana acheni kuvunga kuwa sio gaidi.


Tusubiri taarifa ya uchunguzi.
 
We endelea kupaka hizo ta.ko mafuta tu unawezaje kuthibitisha silaha imeishiwa risas na uko umbali zaid ya mita 100/50? silaha yoyote hata ikiwa na magazine hiyo siyo silaha salama na inaweza kuuwa pia huwez kumsogelea labda aaweke silaha chini
Unapokea kodi zetu afu unaogopa kufa pimbi wewe wakati uliapa
 
Ulijuaje kama risasi ziliisha kwenye bunduki unazifahamu kanuni za umilikaji wa silaha? Kanuni inasema "muda wote amini silaha ina risasi",kitendo cha adui kunyoosha mikono juu ile ni fighting tactical yakumpumbaza unayepambana naye ndio maana polisi hawakutaka kuamini wakaendelea kumshambulia.Hivyo niwape rai musipende kuleta siasa kwenye mambo ambayo yanahatarisha uhai wa watu,ndugu zetu wamekufa aisee acheni use..

msiwafunze kazi polisi wetu wana mbinu zote za kimapigano ila pale ilikuwa ngumu sana kutumia mbinu ya 'close battle' na ndio maana wakamtanguliza yule askar aliyevalia kirai(mwenye pistol/aliyepigwa na adui).
Nyie maboya mnapenda kusifiwa tu mkiyatinganya hamtaki kukoselewa nawaamini mgambo 100% kuliko Polisi legelege
 
Nimeangalia video juu ya tukio la huyu mtu anaetuhumiwa kuua askari, na kuangalia kilichotokea.

Baada ya kuwa amemaliza risazi katika SMG ya pili aliyokuwa nayo na kunyoosha mikono juu, polisi walimpiga risasi ambayo ilimfanya aanguke chini. Hakukuwa na haja tena kuendelea kumpiga risasi mtu ambaye amejeruhiwa kaanguka chini.

Alipokuwa amejeruhiwa na kuanguka chini, Polisi waliendelea kumpiga risasi akiwa amelala chini ambazo nimehesabu na kukuta walimpiga risasi 19. Ajabu ni kwamba kundi lote lile la Polisi walifanikiwa kumpiga pale tu alipoishiwa risasi na kuonyesha wazi alishaamua kufa - maana alijifanya target rahisi sana.

Sasa hili lina maana gani? Ni wazi kwamba polisi wetu hawana weledi katika matukio kama haya, kwa kuwa baada ya kuwa umeona ameishiwa risasi na si tishio tena, jambo la msingi inabidi kuwa ni kumkamata akiwa hai ili kuweza kupata habari zaidi atakapodhibitiwa.

Kwa hiyo Polisi walipaswa kumkaribia kwa umakini katika formation ambayo kunakuwa na askari wanamsogelea wakiwa na silaha tayari, na wengine waanawa-cover askari wanaomsogelea katika kitu tunaita "flanks".

Lakini pia, kuna upande wa pili, kwamba huenda kuna askari walikusudia kumuua ili huyu mtu asitoe taarifa juu ya ugomvi wake na askari, maana mfu haongei!

Kwahiyo kuna conclusion mbili tu hapa, kwamba polisi wetu wako very unprofessional, na pia walikusudia huyu mtu asitoke kwenye hili tukio akiwa hai.


View attachment 1909036
Mkuu si kweli kwamba hawana uweledi, hukuona clip walivyo vamia hotel alimokuwepo mbowe mwanza? Labda useme uweledi wao una mipaka! Yaan inasikitisha Sana kuona mtu tayar ameisha ingia kwenye 18 zako bado unamchakaza bila kukumbuka atakusaidia kukupa data
 
Nimeangalia video juu ya tukio la huyu mtu anaetuhumiwa kuua askari, na kuangalia kilichotokea.

Baada ya kuwa amemaliza risazi katika SMG ya pili aliyokuwa nayo na kunyoosha mikono juu, polisi walimpiga risasi ambayo ilimfanya aanguke chini. Hakukuwa na haja tena kuendelea kumpiga risasi mtu ambaye amejeruhiwa kaanguka chini.

Alipokuwa amejeruhiwa na kuanguka chini, Polisi waliendelea kumpiga risasi akiwa amelala chini ambazo nimehesabu na kukuta walimpiga risasi 19. Ajabu ni kwamba kundi lote lile la Polisi walifanikiwa kumpiga pale tu alipoishiwa risasi na kuonyesha wazi alishaamua kufa - maana alijifanya target rahisi sana.

Sasa hili lina maana gani? Ni wazi kwamba polisi wetu hawana weledi katika matukio kama haya, kwa kuwa baada ya kuwa umeona ameishiwa risasi na si tishio tena, jambo la msingi inabidi kuwa ni kumkamata akiwa hai ili kuweza kupata habari zaidi atakapodhibitiwa.

Kwa hiyo Polisi walipaswa kumkaribia kwa umakini katika formation ambayo kunakuwa na askari wanamsogelea wakiwa na silaha tayari, na wengine waanawa-cover askari wanaomsogelea katika kitu tunaita "flanks".

Lakini pia, kuna upande wa pili, kwamba huenda kuna askari walikusudia kumuua ili huyu mtu asitoe taarifa juu ya ugomvi wake na askari, maana mfu haongei!

Kwahiyo kuna conclusion mbili tu hapa, kwamba polisi wetu wako very unprofessional, na pia walikusudia huyu mtu asitoke kwenye hili tukio akiwa hai.


View attachment 1909036
Uoga tu.. wanajua atanyenyuka awashambulie
 
Naangaliaga documentary za wenzetu walivyo sharp na wako well traiined,wanawakamata waharifu wazimawazima bila kuua.
Hizi mbulula za bongo zina rukaruka.
Zimezoea kukamata mateja, walevi na waandamanaji,hivyo tu wajuavyo.
 
Police wa Tanzania hawajui kwamba habari ni muhimu zaidi.. ni kweli baada ya kuishiwa risasi alikuwa si threat tena....kulikuwa hamna haja tena ya kumtwanga ya kichwa.

Adui akishanyoosha mikono juu na kuweka silaha chini, huyo muda huo huo anageuka na kuwa shahidi mkubwa mno tena wa thamani kubwa!!

Kwa mfano sasa hivi wangeshajua why ali-target askari tu na si raia.
Wewe ulimuona akinyoosha mikono juu?

Wewe ungeweza kusubiri ushahidi na wenzio amesha waua?
 
Au kijimwambafy. Unajua kuna polisi hawajawahi kuwa katika mpambano wa risasi kwa hiyo wanakuwa na mchemko fulani wa excitement katika tukio kama hili na watapiga risasi ovyo hata isipostahili.

Lakini oia kama nilivyosema, huenda baadhi yao walijua kabisa lazima mtu huyu afe la sivyo atatuumbua!
Hakuna kitu kibaya kwenye mapambano ya risasi kama kupiga risasi za woga. Kwanza unakosa target. Ingekuwa ni magaidi wenye mafunzo na wako kama watano hivi polisi wengi wangeuawa na ingechukuwa muda mrefu sana kuwashinda. Hebu angalia alipotoka kwenye hicho kibanda yule aliyejeruhiwa alikuwa bado amelala pale pembeni. Ina maana kama angekuwa hajaishiwa risasi angeweza kumuua kirahisi tu.
 
Hawa keyboard warrior cum experts hawawezi kujiuliza vitu kama hivyo, wanatafuta cha kulaumu tu!
Yaani kuna watu wanaongea mashudu hadi unawish waingie kwenye 18 pumbaff!
Mtandaoni kila mtu ni analyst na hajawahi walau kumiliki manati let alone kupigana ngumi za mtaa kwa mtaa!
 
Wewe ulimuona akinyoosha mikono juu?

Wewe ungeweza kusubiri ushahidi na wenzio amesha waua?
Ndiyo maana wao ni Police na mimi ni raia. Kwanza jamaa hakuwa threat that much sababu hakuna na shida na raia..target yake ilikuwa kwa askari tu ambao wako trained..sasa tatizo lipo wapi ndugu.

Excecution haikuwa successful baada tu ya kumuua for my view.
 
Nimeangalia video juu ya tukio la huyu mtu anaetuhumiwa kuua askari, na kuangalia kilichotokea.

Baada ya kuwa amemaliza risazi katika SMG ya pili aliyokuwa nayo na kunyoosha mikono juu, polisi walimpiga risasi ambayo ilimfanya aanguke chini. Hakukuwa na haja tena kuendelea kumpiga risasi mtu ambaye amejeruhiwa kaanguka chini.

Alipokuwa amejeruhiwa na kuanguka chini, Polisi waliendelea kumpiga risasi akiwa amelala chini ambazo nimehesabu na kukuta walimpiga risasi 19. Ajabu ni kwamba kundi lote lile la Polisi walifanikiwa kumpiga pale tu alipoishiwa risasi na kuonyesha wazi alishaamua kufa - maana alijifanya target rahisi sana.

Sasa hili lina maana gani? Ni wazi kwamba polisi wetu hawana weledi katika matukio kama haya, kwa kuwa baada ya kuwa umeona ameishiwa risasi na si tishio tena, jambo la msingi inabidi kuwa ni kumkamata akiwa hai ili kuweza kupata habari zaidi atakapodhibitiwa.

Kwa hiyo Polisi walipaswa kumkaribia kwa umakini katika formation ambayo kunakuwa na askari wanamsogelea wakiwa na silaha tayari, na wengine waanawa-cover askari wanaomsogelea katika kitu tunaita "flanks".

Lakini pia, kuna upande wa pili, kwamba huenda kuna askari walikusudia kumuua ili huyu mtu asitoe taarifa juu ya ugomvi wake na askari, maana mfu haongei!

Kwahiyo kuna conclusion mbili tu hapa, kwamba polisi wetu wako very unprofessional, na pia walikusudia huyu mtu asitoke kwenye hili tukio akiwa hai.


View attachment 1909036
Wewe Kwa mfano ndo askari ,ungeaminije kuwa kaanguka Kwa kupigwa risasi na kama angejiangusha je,,bro kila kazi ni ngumu .kuna mtu ukimpa silaha anazimia papo hapo.kwa hiyo msifundishe watu kazi ....
 
Back
Top Bottom