Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Wengine utakuta wanafanyiwa mapenzi wanaamka wamelowa kabisa.Yeye alikua anatokewa na watu live chumbani wamelala sio nje ya kimaigizo kama yenu hiyo, yani chumbani wamelala mchawi anajitokeza taa inawaka, mwanamke kajifunika buibui jeusi juu mpaka chini huoni hata miguu
Ndiyo kwenye bibliaWapi, kwenye Bible???
Wewe nawe chumvi imwagwe kwenye Bible?Wapi, kwenye Bible???
😂😂 Nyumba yako Ina mauzauza khaaayaani kama kwangu aisee,kuna kipindi nilikuwa nikilala kuna milango ya vyumba vingine ilikuwa inajifungua yenyewe ni vyumba vilikuwa havitumiki kabisa
Pole sana aisee! Huu ufalme wa giza. Pray!!!Yani kitaa kuna wachawi kinoma
Naamini Uchawi ni Imani isiyo na Ukweli wala uhalisiaAtakuwa anaamini kwamba upo ila hajawahi kukutana nao. But usiombe ukutane na hiyo balaa, afadhali usimliwe na jirani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo kwenye biblia
Ameuliza kama Kuna mahali wameielezea chumvi Kwenye Bible...
Nauliza hayo Maandiko ni yao kwenye Bible???
[emoji23][emoji23] Nyumba yako Ina mauzauza khaaa
Poleni Sanamkuu acha kabisa kuna watu wanaweza hizi kazi.
Sema tu wamenikuta nina roho ngumu na mke wangu pia kauzu ingekuwa ni watu wengine wangehama na kuikimbia nyumba
Uchawi ni real aisee!Kuwarithisha Imani ya kichawi ni kawaida kwa waafrika lakini si uhalisia.
Uchawi ni IMANI, na Imani ni kuamini kitu ambacho yamkini hakipo lakini unaweza kuamini tu huzuiwi na unaweza kuwarithisha kizazi kizazi Imani hiyo hata kama haina uhalisia
Ni sawa na habari ya kusema Mwanamke anambemenda mtoto pale atakapofanya mapenzi na Mwanaume asiye Mume wake kipindi ananyonyesha, Waafrika wanaamini habari ya kubemenda lakini kiuhakisia na kisayansi(ambayo ni uhalisia) hakuna kitu kama hicho.
Sijui kama umeelewa.
ndio naamini yupoUnaaamini Mungu yupo?
Hawarogeki Mkuu kwasababu hawaamini kama kuna uchawi wako wa kuweza kuwaroga, wanaamini katika technology na skillsKumroga Mzungu Kunahitaji Timing sana!
Poleni Sana
Nikupambana tu huwezi wakimbia, na ukiwa mtu wa Mungu wanakuchukia vile vileYani kitaa kuna wachawi kinoma
Usiogope sana, wakati mwingine ni hisia za kawaida kabisa za mwili. Lakini uchawi pia upoDah yani Dar sie ambao hatuko mlengo wa kushoto wala kulia tunanyanyasika sana yani.
Sometimes unatembea koridoni unaingia toilet usiku. Mlangoni unapopita unaskia msisimko wa ajabu.
Sijui kama atakuelewaUchawi ni imani na kumbuka katika mambo muhimu yanaomzunguka binadamu imani ni jambo la muhimu hivyo huwezi kukwepa imani
Jiulize kama uchawi upo kwanini usitumike kufanya mambo kama vile kushinda kitu au hata kupata maendeleo
Kwa mfano anatarget nini?Wachawi gani uliwaomba wakuloge, mchawi aloge hovyo hu target jambo