Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Tunabishana pale tunaposhindwa kueleweshana na hatimaye kuelewanaNadhani hatubishani.
Uchawi ni nguvu za giza (kwa kifupi), ni uwezo zaidi ya ule wa kawaida wa kibinadamu.
Hizo nguvu ulizipimaje na kujua ni zaidi ya uwezo wa kibinadamu?
How did u measure that?