Nimeibiwa gari na majambazi nyumbani, msaada tafadhali

Nimeibiwa gari na majambazi nyumbani, msaada tafadhali

nilichukulie vyovyote vile uwezavyo, i don't care. nasisitiza hii ni chai.

kama sio chai kwanini picha ipo pixelated (number plate haionekani)?.

kwanini ameshindwa ku provide two or three pictures of his care taken from different angles?.

unataka kuniambia kwa mda wote ambao amekuwa anamiliki hilo gari, alibahatika kupiga picha moja tu?. i can't buy it?.

wabongo tunajuana, gari is one of a prestige item for someone who owns it, mara nyingi tunapiga nayo picha. mimi k-vitz changu nishakipiga picha sana, picha zake zimejaa kwenye gallery yangu na nyingine zipo katika kurasa zangu za mitandao ya kijamii.

mwambie huyo jamaa yako asituchulie sisi watoto.

Amekuambia ameporwa vitu vingi ikiwemo simu zake....

Hili ni gumu kulielewa?

Kuna post ameonesha kabisa na RB Aliyopewa polisi....
 
bado hainishawishi kumuamini, siku hizi kuna mfumo wa ku-save images, documents, password nk. moja kwa moja kwenye server za google, apple na makampuni mengine.

kwa google mfumo huu huitwa google cloud, kwa apple mfumo huu unaitwa icloud.

leo hii ukiibiwa simu halafu ukataka ku-restore baadhi ya data zako muhimu, ni rahisi sana. unaweza ku restore hata kwa computer ya ofisini kwako au ya jirani yako,almradi tu iwe connected na internet.

nilitegemea huyo jamaa baada ya kuibiwa gari pamoja na simu(kama anavyodai), angefanya hivyo ili atulee picha yenye ubora inayoonyesha number plate ya gari lake

Kama wewe Mungu amekubariki una uelewa na hayo mambo ya online storage isiwe ticket ya kuwadhihaki wengine....

Kuna msururu wa watu wengi hawana uelewa na hayo mambo....
 
Kama wewe Mungu amekubariki una uelewa na hayo mambo ya online storage isiwe ticket ya kuwadhihaki wengine....

Kuna msururu wa watu wengi hawana uelewa na hayo mambo....
Hawa vijana wanadhani kwa vile wao wanajua vitu sijui icloud na makorokoro mengine kwa hivyo kila mtu anao uelewa huo.

Sisi wengine tulizaliwa enzi za simu za kuzungusha kwa hivyo hayo mengine wala hatuyaelewi.
 
Ni gari aina ya pajero io nyeupe T893 DWT maeneo ya bahari beach wameiba vitu vingi atakayeona msaada tafadhali gari haina mafuta ya kutosha kwa hiyo itakuwa imezima njiani popote namba ya mawasiliano 0655385246

View attachment 1999715View attachment 2000213
Nimecheka sana baada ya kuona hako kakaratasi ka RB.

Yaani miaka karibu 61 sasa ya Uhuru RB yaandikwa kwa mkono?

Hata hivyo nikupe pole sana mkuu kwa kuibiwa gari yako.

Lakini hii ndo hali halisi ambayo ndo yaendelea hapa nchini kwa sasa khasa jijini Dar.

Anza na makao makuu ya soko la vifaa vilivyoibwa vya magari Gerezani ila nakuhakikishia wizi huo waitwa "steal to order" yaani mteja tayari yupo standby.

Ila sikushauri kupoteza muda kwa hilo.

Wananchi twapaswa kuchukua tahadhari zaidi ili kuokoa maisha na familia zetu.

Pia tuwekeze zaidi kwenye ulinzi wa nyumba zetu kwa vifaa kama "alarm systems" za kutuamsha au ving'ora ambayo vitaamsha hata majirani.
 
hiki kijikaratasi hata mimi hapa nilipo naweza nikakiandika na kukituma jf. bado huja ni convince. acha chai kijana
Hebu kiandike chako ukiweke hapa kama ni rahisi hivyo.
Ungekuwa umewahi kuona na kesi yoyote ya kugushi nyaraka inavyokuwa ngumu wala usingerahisisha hivo
 
Hakuna kitu kinaumiza pia kama kupoteza ama kutibiwa simu.
Wewe acha ilikuwa bado mpyaaa nimeiwekea cover nzuri dah yule mwizi alikuwa na dawa, alinisalimia vizuri afu alikuwa smart ana simu kubwa mbili mkono, naongea na mtu simu ilipita sikioni niliumia sana, nikaenda police😂😂😂😂 na risiti na box la simu kilichoendelea ni historia sitokaa niwe na simu inayozidi laki nne ni matumizi mabovu ya pesa.
 
Nunua nyingine tu. Ikiwezekana hata mbili. Halafu ajiri Mmasai analala kwenye gsri 24 hours
 
Duh aiseee pole sana. I hope umeshatoa taarifa kitu cha polisi na tayari wameshaweka macho maeneo yyote ambayo gari inaweza pitishwa ndani ya muda huu.....

Unaweza tupatia details zaidi kuwa gari ulipaki wapi katika hilo eneo, wewe ulikuwa wapi na ilichukua muda gani kugundua umeibiwa.

Ufunguo uliweka wapi?!

Ndani ya hizi siku kadhaa nyuma ni maeneo gani uliachia ufungua kwa mtu yaani funguo hukuwa nazo mikononi mwako ?!

Haya maswali yatatoa mwanga tujue namna ya kukushauri cha kufanya.
Umeongea kitu kizuri kwasababu upo uwezekano wa mtu kuchongesha funguo endapo kama aliwahi kumpa mtu funguo ya gari
 
Umeongea kitu kizuri kwasababu upo uwezekano wa mtu kuchongesha funguo endapo kama aliwahi kumpa mtu funguo ya gari
Umeandika kinyesi (as long as thread hii inahusika).

Mtu ameshikiwa bastola, akafungwa kamba. Akapokonywa funguo Kwa nguvu. Watu wakasepa.

Halafu eti wewe unaleta story za kuchongesha funguo!! Pathetic
 
Umeandika kinyesi (as long as thread hii inahusika).

Mtu ameshikiwa bastola, akafungwa kamba. Akapokonywa funguo Kwa nguvu. Watu wakasepa.

Halafu eti wewe unaleta story za kuchongesha funguo!! Pathetic
Umeni-attack badly as if mi ndo mwizi mwenyewe nimekutwa na hilo gari

Umesoma post ambayo nimeinukuu ina maelezo yeyote kuhusiana na kushikiwa bastola?

Main post yenyewe haina hayo maelezo ambayo we umeyaandika ya kushikiwa bastola, labda kama ulikua unazungumzia uporaji mwingine ambao umeelezwa kwenye comments za wadau na mimi sijausoma
 
Umeni-attack badly as if mi ndo mwizi mwenyewe nimekutwa na hilo gari

Umesoma post ambayo nimeinukuu ina maelezo yeyote kuhusiana na kushikiwa bastola?

Main post yenyewe haina hayo maelezo ambayo we umeyaandika ya kushikiwa bastola, labda kama ulikua unazungumzia uporaji mwingine ambao umeelezwa kwenye comments za wadau na mimi sijausoma
Kwahiyo unakubali kwamba umedandia treni kwa mbele!!
 
Wewe ni mubishi kaweka huku Hadi RB yake ya police mkuu, na alipoanzisha Uzi yuko kwenye panic mode so kukumbuka hayo yote ya google sijui nini ni ngumu, pia wameondoka na simu zote, so usibeze majanga ya wengine shukuru Mungu ka hayajakukuta, na sioni sababu ya mtu kudaganya jambo sensitive Ili apate nini sasa!?
Nimemshangaa sana mdau namna alivyoshupalia hilo suala la picha. Inashangaza mno
 
Back
Top Bottom