Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,967
- 8,547
Mwacha mwenyewe ajibu.Tumia akili.
Amesema amewapa funguo mwenyewe wakaondoka nayo.
Wewe tuliza kinyeo hicho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwacha mwenyewe ajibu.Tumia akili.
Amesema amewapa funguo mwenyewe wakaondoka nayo.
Hakuna kitu kinaumiza pia kama kupoteza ama kutibiwa simu.Mimi niliibiwa simu nikaweuka sembuse gari, sijui sasa hivi utakuwa na hali gani? Polee.
Nenda kijiwe kilichopo karibu na wewe ongea private na watu wanao kaa pale watakupa connection.
Majuzi niliibiwa vifaa vya ofisi connection nilipewa na watu ambao sikuamini, nilivikamata viko police, hapo ni baada ya mwezi.
Polee sana
Polisi?This is a joke right ? wazee huwajui ?
Haahaahaa...akaacha na ujeuri?Kuna wapuuzi hapa hawajawai kukutwa na matukio.
Kuna kipindi niko na bibi mmoja ana hela na nyodo sana.
Ikafika siku mi nirudi kwake kutoka job.
Nampigia yupo bar sa nane usiku anacheza pool zamani hizo.
Hapo sa nane usiku.
Nafika pale bar e bana tuondoke aaah akawa mkali huyo kanipa key nenda nyumbani ntakukuta duh.
Mi nikajiondokea.
Sasa ile nafika home kwake nikakuta majambazi wamengoa dirisha zima wameweka pembeni wanahamisha kila kitu.
Jamaa walikua na mkokoteni bajaj hamna enzi hizo.
Wanasomba wanapeleka wanarudi wanasomba tv cm,hela chochote kinachobebeka .
E bana nilivyowakurupua mbinu sisemi wakatoka baruti na mkokoteni wao walikua wa4.
Nikaacha vile vile nikamrudia huyu mwanamke bar.
Namkuta bado anacheza pool.
Najaribu kumwambia huko home majanga twende ukaone.
Ndo kwaanza ananambia "we wivu tu unakusumbua"
Mama umeibiwa kila kitu pale kwako hapafai
Ndio anashtuka "unasema"
Namjibu"nimefika nimekuta wezi wamengoa dirisha lote wanatoa vitu pale.
E bana akatupa fimbo ya pool ingia kwenye gari twende.
Tukafika kweli kakuta kile nilichomwambia ndio kilivyo.
Ayayaya dem kaanza kilio,nikaanza kazi kubembeleza.
Yule mwanamke uchungu ule wa kuibiwa wakati ye ni mtoto wa mjini ilimuuma sana.
Nilikodi rum hotel wiki atulie kidogo maana alikua anaweweseka tu then kilio.
Ikabidi ahamie kwangu tu maisha yaendelee
yaaaap, moja kwa moja...jamaa wanajuaga mtandao waoPolisi?
nilichukulie vyovyote vile uwezavyo, i don't care. nasisitiza hii ni chai.Hivi ushawahi kuibiwa wewe hata penseli???
Huwezi kuhisi mleta mada amechanganyikiwa hata kuileta tu taarifa hapa anastahili pongezi, pengine angekua amezimia,
Unayajua majambazi wewe hasa yakivamia ndani kwako,
Msipende ujuaji kwenye kila kitu, vingine mkiona vimekuzidi kimo mnakausha tu.
Unajiandaa kuibiwa 😎😎Wazee wapi hao mkuu?
Kwahiyo mateller wanawapigia wao simu au straight kwa majambazi?yaaaap, moja kwa moja...jamaa wanajuaga mtandao wao
hiki kijikaratasi hata mimi hapa nilipo naweza nikakiandika na kukituma jf. bado huja ni convince. acha chai kijana
Hehehe mkuu unanitishaUnajiandaa kuibiwa [emoji41][emoji41]
Wewe hatuibi gari, tunakuiba na wewe ukiwa kwenye gari yako
nilichukulie vyovyote vile uwezavyo, i don't care. nasisitiza hii ni chai.
kama sio chai kwanini picha ipo pixelated (number plate haionekani)?.
kwanini ameshindwa ku provide two or three pictures of his care taken from different angles?.
unataka kuniambia kwa mda wote ambao amekuwa anamiliki hilo gari, alibahatika kupiga picha moja tu?. i can't buy it?.
wabongo tunajuana, gari is one of a prestige item for someone who owns it, mara nyingi tunapiga nayo picha. mimi k-vitz changu nishakipiga picha sana, picha zake zimejaa kwenye gallery yangu ya simu yangu.
mwambie huyo jamaa yako asituchulie sisi watoto.
tuna lock gari kwa nje tu, na wewe ukiwa ndani tunakupandisha kwenye brekadown tunakusaifrisha hadi malawi ukiwa ndani ya gariHehehe mkuu unanitisha
hiki kijikaratasi hata mimi hapa nilipo naweza nikakiandika na kukituma jf. bado huja ni convince. acha chai kijana
Wenye vitz wote muuwawe 😀Kwahiyo sisi wenye vitz hatuna magari?
Unamwita ndugu mchukuaji.Kwahiyo mtu aje kuchukua mali yako atokomee nayo utamwita rafiki au mjomba??
Aweke steering lock wakati ameshikiwa bastola?Pole sana mkuu....kwanini hukuweka steering lock?....halafu hayo maboya yanakujaga kamili na wese ya kutosha na wanawekea kule fuel pump kwa lita tano tano
Mpwayungu kama mpwayungu
Ujumbe kama huu kama unamaanisha ungemfuata PM.Ntumie chases no. Yake na laki 2 tu baada ya nusu ntakwambia kko wapi.