Nimeibiwa gari na majambazi nyumbani, msaada tafadhali

Nimeibiwa gari na majambazi nyumbani, msaada tafadhali

Duh aiseee pole sana. I hope umeshatoa taarifa kitu cha polisi na tayari wameshaweka macho maeneo yyote ambayo gari inaweza pitishwa ndani ya muda huu.....

Unaweza tupatia details zaidi kuwa gari ulipaki wapi katika hilo eneo, wewe ulikuwa wapi na ilichukua muda gani kugundua umeibiwa.

Ufunguo uliweka wapi?!

Ndani ya hizi siku kadhaa nyuma ni maeneo gani uliachia ufungua kwa mtu yaani funguo hukuwa nazo mikononi mwako ?!

Haya maswali yatatoa mwanga tujue namna ya kukushauri cha kufanya.
Maswali hayana msaada hayo.
Funguo walimpokonya kwa nguvu wakaondoka
 
Pole sana ndo maana mm nikipak lazma nizime swichi ya waya ya pump ya mafuta ili hata ukiwasha utawasha adi ufe haliwaki
Unajidanganya.
Mwenzio amepokonywa kwa nguvu, hajaibiwa. Hata ungekua wewe hio switch ungeonesha kwa lazima. La sivo wakusambaze ubongo
 
Hivi ushawahi kuibiwa wewe hata penseli???

Huwezi kuhisi mleta mada amechanganyikiwa hata kuileta tu taarifa hapa anastahili pongezi, pengine angekua amezimia,

Unayajua majambazi wewe hasa yakivamia ndani kwako,

Msipende ujuaji kwenye kila kitu, vingine mkiona vimekuzidi kimo mnakausha tu.
Kuna wapuuzi hapa hawajawai kukutwa na matukio.
Kuna kipindi niko na bibi mmoja ana hela na nyodo sana.
Ikafika siku mi nirudi kwake kutoka job.
Nampigia yupo bar sa nane usiku anacheza pool zamani hizo.
Hapo sa nane usiku.
Nafika pale bar e bana tuondoke aaah akawa mkali huyo kanipa key nenda nyumbani ntakukuta duh.
Mi nikajiondokea.
Sasa ile nafika home kwake nikakuta majambazi wamengoa dirisha zima wameweka pembeni wanahamisha kila kitu.
Jamaa walikua na mkokoteni bajaj hamna enzi hizo.
Wanasomba wanapeleka wanarudi wanasomba tv cm,hela chochote kinachobebeka .
E bana nilivyowakurupua mbinu sisemi wakatoka baruti na mkokoteni wao walikua wa4.
Nikaacha vile vile nikamrudia huyu mwanamke bar.
Namkuta bado anacheza pool.
Najaribu kumwambia huko home majanga twende ukaone.
Ndo kwaanza ananambia "we wivu tu unakusumbua"
Mama umeibiwa kila kitu pale kwako hapafai
Ndio anashtuka "unasema"
Namjibu"nimefika nimekuta wezi wamengoa dirisha lote wanatoa vitu pale.
E bana akatupa fimbo ya pool ingia kwenye gari twende.
Tukafika kweli kakuta kile nilichomwambia ndio kilivyo.
Ayayaya dem kaanza kilio,nikaanza kazi kubembeleza.
Yule mwanamke uchungu ule wa kuibiwa wakati ye ni mtoto wa mjini ilimuuma sana.
Nilikodi rum hotel wiki atulie kidogo maana alikua anaweweseka tu then kilio.
Ikabidi ahamie kwangu tu maisha yaendelee
 
IMG_20211103_073729_6.jpg

Haya matukio ya wizi recently yamekua mengi Sana.....

Juzi sista kavamiwa wamekomba kila KITU...
Nyumba ipo ndani ya uzio...
Ufunguo wa gari ulikua juu ya dressing hawakuchukua.....

Watakua waliwa spry maana wali ingia mpk chumbani wakiwa wamelala......

Tuna mshukuru Mungu hawakuwaumiza....Maana uhai ni muhimu kuliko Mali...
 
Ni gari aina ya pajero io nyeupe T893 DWT maeneo ya bahari beach wameiba vitu vingi atakayeona msaada tafadhali gari haina mafuta ya kutosha kwa hiyo itakuwa imezima njiani popote namba ya mawasiliano 0655385246

View attachment 1999715View attachment 2000213
Pole sana mkuu....kwanini hukuweka steering lock?....halafu hayo maboya yanakujaga kamili na wese ya kutosha na wanawekea kule fuel pump kwa lita tano tano
 
View attachment 2000349
Haya matukio ya wizi recently yamekua mengi Sana.....

Juzi sista kavamiwa wamekomba kila KITU...
Nyumba ipo ndani ya uzio...
Ufunguo wa gari ulikua juu ya dressing hawakuchukua.....

Watakua waliwa spry maana wali ingia mpk chumbani wakiwa wamelala......

Tuna mshukuru Mungu hawakuwaumiza....Maana uhai ni muhimu kuliko Mali...
Kamata mchoma dirisha.
 
Tatizo kubwa la kufunga Gps module hapa kwetu ni location za kuficha hicho kifaa , hii ilitakiwa iwe siri kuu , ila watu wameshindwa kuweka miiko ya kazi , kila mtu ikiwemo wezi , wanajua ni location ipi kwa gari ipi ,Gps module inawekwa.

Kuna raia huwa wanafunga hata GPS mbili at least kama mchongo umetoka kwa watu wa kampuni mojawapo, ya pili itakuwa inafanya kazi...
 
Nchi zetu za kibongo hizi yaani kila mahali ni tabu tu...

Pole sana mkuu, bila shaka kwa kudra za Mungu utafanikiwa kulipata...
 
Back
Top Bottom